Nsanzi
Member
- Nov 30, 2016
- 84
- 70
KvpHivi kuna application ya kujua ditel za mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KvpHivi kuna application ya kujua ditel za mtu
Kwenye dekiKwenye deki au sub woofer?
Usikilize vipi nyimbo kwenye deki mkuu?Kwenye deki
HahahhahahhaUsikilize vipi nyimbo kwenye deki mkuu?
Au unavideo ktk simu unataka uziplay ktk tv via deki?
Yan unaweka picha yake alafu zije ditel zake kama jina alipo n.k
ku Root ndio nn jamani maana nami nna C 8 HAPANina tecno C8 nataka ku_root, mwenye kujua aniambie bas
Nina tecno C8 nataka ku_root, mwenye kujua aniambie bas
Kama hamjui hii ishu it's better mkaachana nayo tu. Au ukatumia muda wako kujifunza hadi ujue ndio ujaribu ktk simu yakoku Root ndio nn jamani maana nami nna C 8 HAPA
Kua makini na ujue unachokifanya ukibahatisha ku root unaweza haribu simu yako moja kwa mojaNina tecno C8 nataka ku_root, mwenye kujua aniambie bas
Channel pip inaonyesha ligi yanaendaje EnglandSky sport na bt sport one mkuu
Nam pia 0758101903
Kistaarabu tunawaomba mtengeze thread yenu, halafu kutwa muwe mnaandika namba zenu huko.Add na hii mkuu 0718847003
Ndio za nin hzo?Nam pia 0758101903
Add na hii mkuu 0718847003
Wanataka wawekwe sijui kwenye group gani huko.Ndio za nin hzo?
Watapelekwa magroup ya oriflame au forever we waacheWanataka wawekwe sijui kwenye group gani huko.
Wao wanaona kila anaesema ameanzisha group analengo lile alilolileta hapa jukwaani wakati wengine ni njia ya kukusanya members wawe wengi kwenye group yake ili atumie hiyo nafasi kutangaza bidhaa zake au kufanya biashara.Watapelekwa magroup ya oriflame au forever we waache