Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Msaada namna ya kuondoa [HASHTAG]#ads[/HASHTAG] kwny application ambayo unakuwa umedownload.

Mfano kama hiyo application ya mziki hapo chini kuna ads inataka niinstall na huwa zinabadilika kila wakati muda mwingine inatokea nyingine na hii ni pale ninapokuwa naitumia hiyo application huku nimefungua data....

Msaada wakuu tafadhari
 

Attachments

  • Screenshot_20170111-152926.png
    Screenshot_20170111-152926.png
    155.5 KB · Views: 70
Msaada namna ya kuondoa [HASHTAG]#ads[/HASHTAG] kwny application ambayo unakuwa umedownload.

Mfano kama hiyo application ya mziki hapo chini kuna ads inataka niinstall na huwa zinabadilika kila wakati muda mwingine inatokea nyingine na hii ni pale ninapokuwa naitumia hiyo application huku nimefungua data....

Msaada wakuu tafadhari
Kama simu yako ume root install adaway kisha iwe active
 
Nimejaribu kuinstall hyo twrp naona inaleta chenga chenga tu, nimecheki pia youtube still sijagain kitu hasa hasa kwa kuipata hyo twrp alafu nimeweka adaway inakataa kuendelea inadai hvi
0daf254ca62240beaf9a8e63e682658c.jpg

Unapatikana wapi mkuu labda nikuletee unifanyie ww? ngoja niiunroot kwanza hadi nitakapo kupata my No's 0716561026
Bila maelekezo kaka huwezi fanya hiyo ishu.
Japo ni simple, na simu iwe rooted.
 
Cm yang sio rooted maana bado sijaona sababu za kunifanya niiroot so nifanye vp kwa kuwa sio rooted
Kama huja root nunua hiyo app au tafuta paid version kwenye app kama aptoide, black market.
 
Msaada namna ya kuondoa [HASHTAG]#ads[/HASHTAG] kwny application ambayo unakuwa umedownload.

Mfano kama hiyo application ya mziki hapo chini kuna ads inataka niinstall na huwa zinabadilika kila wakati muda mwingine inatokea nyingine na hii ni pale ninapokuwa naitumia hiyo application huku nimefungua data....

Msaada wakuu tafadhari
Go for Lucky Patcher.....make sure ur device is rooted
 
Back
Top Bottom