next generation
Member
- Feb 6, 2012
- 42
- 23
Nicekwa wapenda soccer hii app inafunika app zote na haina matangazo. pata updates za soccer hapa
Download Soccer Scores Pro Fot Mob v36 836 (Paid Version) apk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nicekwa wapenda soccer hii app inafunika app zote na haina matangazo. pata updates za soccer hapa
Download Soccer Scores Pro Fot Mob v36 836 (Paid Version) apk
BMkuu nimejaribu kutaka ku install imeniletea vitu vya ajabu kweli
Kama simu yako ume root install adaway kisha iwe activeMsaada namna ya kuondoa [HASHTAG]#ads[/HASHTAG] kwny application ambayo unakuwa umedownload.
Mfano kama hiyo application ya mziki hapo chini kuna ads inataka niinstall na huwa zinabadilika kila wakati muda mwingine inatokea nyingine na hii ni pale ninapokuwa naitumia hiyo application huku nimefungua data....
Msaada wakuu tafadhari
Mobdro unayo?Masaada app nzuri za android za kutazamia mpira
Bila maelekezo kaka huwezi fanya hiyo ishu.Nimejaribu kuinstall hyo twrp naona inaleta chenga chenga tu, nimecheki pia youtube still sijagain kitu hasa hasa kwa kuipata hyo twrp alafu nimeweka adaway inakataa kuendelea inadai hvi![]()
Unapatikana wapi mkuu labda nikuletee unifanyie ww? ngoja niiunroot kwanza hadi nitakapo kupata my No's 0716561026
Ndo mAana nilikutumi Namba mkuu walau tuchekiane kama upo dar nahitaji sana kuroot simu nifaidi hyo keki na mmBila maelekezo kaka huwezi fanya hiyo ishu.
Japo ni simple, na simu iwe rooted.
Cm yang sio rooted maana bado sijaona sababu za kunifanya niiroot so nifanye vp kwa kuwa sio rootedKama simu yako ume root install adaway kisha iwe active
Kama huja root nunua hiyo app au tafuta paid version kwenye app kama aptoide, black market.Cm yang sio rooted maana bado sijaona sababu za kunifanya niiroot so nifanye vp kwa kuwa sio rooted
Go for Lucky Patcher.....make sure ur device is rootedMsaada namna ya kuondoa [HASHTAG]#ads[/HASHTAG] kwny application ambayo unakuwa umedownload.
Mfano kama hiyo application ya mziki hapo chini kuna ads inataka niinstall na huwa zinabadilika kila wakati muda mwingine inatokea nyingine na hii ni pale ninapokuwa naitumia hiyo application huku nimefungua data....
Msaada wakuu tafadhari
Mkuu hamna inayo fanana na hiyohii haifanyi kazi tena tokea january wameiblock (upande wa whatsapp)
Mkuu hakuna cha keki hapo, simu yangu toka niiroot imekua slow kiutendajNdo mAana nilikutumi Namba mkuu walau tuchekiane kama upo dar nahitaji sana kuroot simu nifaidi hyo keki na mm
Sio kweli, soma faida za ku root simu, hiyo ni shida ya simu yako tu haitokani na ku root,Mkuu hakuna cha keki hapo, simu yangu toka niiroot imekua slow kiutendaj
Ninayo mkuu hii kwenye smart TV haikubari cjui kwa nnMobdro unayo?
Mbona inakubali tu kaka, angalia videos YouTube jinsi ya kuiweka...Ninayo mkuu hii kwenye smart TV haikubari cjui kwa nn