Ipo Moja Unaset Namba Akipga Inajikata Bila Yy Kutambua Tatzo Na Kwenye Simu Yako Aiitii, Ila Ukiingia Kwenye Hii App Unakuta Calls $ Msg Za Uliowaset. Ila Wanapokupigia Au Kukusms Simu Aitoi Ishara Yyte.Mana kuna moja niliipakua naona inanizingua nashangaa namba nimeireject ila utashangaa inaita au mtu anatuma SMS
Hahaa dah kiswahili kigumu eti kichungulio
Nikipakua hapo ikimaliza nikiclick inaniambia can't open file
Halotel line ya chuoGb 7 kwa Tsh 7000..mtandao gani?
jaribu wifi mapApp gan inaweza ku unlock Wi-fe nyenye password
Hata mimi E5 inafanya hivyo bila ku-install hii application.Nilisahau waungwana CAll Popout ni ya lazima kuwa nayo hii unafanya kazi ukiwa rooted au bila root.
Application hii ukiwa unatumia mtandao simu inapoingia haikatishi ulichokua unafanya.
Mfano kama unatoa Tigo pesa simu ukiingia unauwezo wa ku mute na ukamalizia muamala.
Unapokea simu pale unapohitaji bila kuathiri shughuli zako.
Playstore wanayo
hiyo iko kuanzia android kitkat 4.4.4 na kuendeleaHa
Hata mimi E5 inafanya hivyo bila ku-install hii application.
Hii ipo superWakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Tuma na kwangu mkuu. 0625481925Nakutumia mkuu
Wakuu keybord gani kali na nzuri
Sawa mkuuNitumie na mimi plz hiyo whatsapp.
0625481925
Ok, nashukuru mkuu.Sawa mkuu
ipitishe apa pia kaka 0769031701Sawa mkuu
[emoji106]No baadhi sizioni whatsap hebu mnicheki hapa +255716026585
Mkuu mnatumiana nini huko kwa nini mambo yote yasiwekwe hapa jamvini hadharani..HUO UTAKUWA UCHOYO KAKANo baadhi sizioni whatsap hebu mnicheki hapa +255716026585
Chanel gani unaipenda sana hapaHata mimi nimeijaribu mobdro . aisee ipo poa sana. Kweli dunia ina mambo.
Sky sport na bt sport one mkuuChanel gani unaipenda sana hapa