Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,083
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mambo ya mtonyoNenda Google play store ila inauzwa![]()
mkuu naomba link ya. hyo mobdro![]()
![]()
Mobdro ni kiboko yani soka la ulaya move Kali Chanel kibao unagusa tu
Siyo mzoefu wa kuweza kukutumia link app hii haipatikani play store ingia Google search andika download mobdromkuu naomba link ya. hyo mobdro
inakuwaje mkuu maelezo kidogoSmart booster
weka link mkuuKuna wakati simu inakupa ujumbe kuwa memory haina nafasi wakati nafasi iliyobaki ni kubwa basi tumia smart booster
Hakika Mkuu Mobdro IPO poa. .. Yaani ni ww tu na Bundle yako . ! .Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Unatumia aina gani ya simu mkuu?Mobdro inasifiwa sana humu ndani lakini kwangu ni shida nimetumia mitandao kama tigo na halotel ambayo huku niliko inaonyesha H+ lakini ukiangalia game inagandaganda tatizo nini!
Labda tu imeamua kuwa na bifu na weweMobdro inasifiwa sana humu ndani lakini kwangu ni shida nimetumia mitandao kama tigo na halotel ambayo huku niliko inaonyesha H+ lakini ukiangalia game inagandaganda tatizo nini!
Ndo maanaTecno h6