Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Naomba app ya kuhamisha vitu kutoka kutoka kwenye simu kupeleka kwenye Memory card maana simu yangu inajaa Sana na siwezi hamisha storage.
 
naomba kujua km ni ki root simu yangu nitapoteza vitu vyote nilivyo kuwa navyo toka mwanzo mf km picha musick nk
 
naomba kujua km ni ki root simu yangu nitapoteza vitu vyote nilivyo kuwa navyo toka mwanzo mf km picha musick nk
Huwezi kupoteza, ila ushauri unapewa ufanye backup kwa tahadhari uwezi jua kuna njia ukikosea unaweza kubrick device yako.
 
Kuna App inaitwa satfinder kwa wale mafundi wa madishi inasaidia kuona uelekeo ambao satelite husika ipo.
 
MOBDRO is everything
37184ed3103f75d85ba79a0066803c60.jpg
 
Mkuu fikiri ndo ukoment kaka ..Si kila laini ya halotel imeungwa halo university
Oya acha kummaind mshikaji kwenye ishu ndogo kama hzi, mbona jamaa anaeleweka anachokisema... wew nini ambacho humwelewi.?
Watu kibao wana hizo line za chuo na sio wanafunzi, kwani mjini hapa kuwa kitu kinashindikana? .
 
Oya acha kummaind mshikaji kwenye ishu ndogo kama hzi, mbona jamaa anaeleweka anachokisema... wew nini ambacho humwelewi.?
Watu kibao wana hizo line za chuo na sio wanafunzi, kwani mjini hapa kuwa kitu kinashindikana? .
Wametoa hiyo kwa fixed time ila baada ya mwaka inakuwa ya kawaida tuu
 
MOBDRO ni app ya kuangalia TV.. (iptv)
Kwa Kutumia simu yako..
Ni app ambayo haipo Playstore..

Faida..
Ni kwamba unaweza kuangalia lots of Channel's zaidi ya channels 100.

Hasara..
Inakula sanaa mb kama YouTube.

Kazi kwako.
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
'' MGccI simu yangu inatatizo SD card damaged '' inaandika You may have to reform it,kama una maelekezo jinsi ya ku reform MSAADA pls.
 
Wakuu, nakata apps ya kubadili background ya picha kwenye simu......


Yaani napiga zangu picha huko Namtumbo , afu nachukua picha ya Dubai naitia pale kama background.......ukiniangalia unafikiri niko downtown Dubaiiiiiiik

Chap chap wakuu........
 
Back
Top Bottom