mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Tv za hustler na playboy tv zimeondelewa.mwanzo zilikuwepo.Nje ya mada vipi mkuu maana shida yetu sisi hiyo tv kama unayo tupatie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tv za hustler na playboy tv zimeondelewa.mwanzo zilikuwepo.Nje ya mada vipi mkuu maana shida yetu sisi hiyo tv kama unayo tupatie
Total Commander - file manager - Android Apps on Google PlayNaomba app ya kuhamisha vitu kutoka kutoka kwenye simu kupeleka kwenye Memory card maana simu yangu inajaa Sana na siwezi hamisha storage.
Huwezi kupoteza, ila ushauri unapewa ufanye backup kwa tahadhari uwezi jua kuna njia ukikosea unaweza kubrick device yako.naomba kujua km ni ki root simu yangu nitapoteza vitu vyote nilivyo kuwa navyo toka mwanzo mf km picha musick nk
powa mkuu ngoja nijaribuHuwezi kupoteza, ila ushauri unapewa ufanye backup kwa tahadhari uwezi jua kuna njia ukikosea unaweza kubrick device yako.
ila ni vizuri ukaelewa unataka kuroot simu kwa ajili ya nini.powa mkuu ngoja nijaribu
MOBDRO is everything
Oya acha kummaind mshikaji kwenye ishu ndogo kama hzi, mbona jamaa anaeleweka anachokisema... wew nini ambacho humwelewi.?Mkuu fikiri ndo ukoment kaka ..Si kila laini ya halotel imeungwa halo university
thx mkuu, aminia..!!Kwa wale wenye kusumbuliwa na adds kweny browser zao
Tumia adblock browser ipo play store. .hii no adds utazosumbuliwa nazo wala popups zozote ukiwa una browse
Wametoa hiyo kwa fixed time ila baada ya mwaka inakuwa ya kawaida tuuOya acha kummaind mshikaji kwenye ishu ndogo kama hzi, mbona jamaa anaeleweka anachokisema... wew nini ambacho humwelewi.?
Watu kibao wana hizo line za chuo na sio wanafunzi, kwani mjini hapa kuwa kitu kinashindikana? .
'' MGccI simu yangu inatatizo SD card damaged '' inaandika You may have to reform it,kama una maelekezo jinsi ya ku reform MSAADA pls.MOBDRO ni app ya kuangalia TV.. (iptv)
Kwa Kutumia simu yako..
Ni app ambayo haipo Playstore..
Faida..
Ni kwamba unaweza kuangalia lots of Channel's zaidi ya channels 100.
Hasara..
Inakula sanaa mb kama YouTube.
Kazi kwako.
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
Mkuu naenjoy sana ! ThanksAngalia mwanzo wa link tajwa utaikuta