Naitumia hiyo Launcher kitambo sana, tangu zama za TECNO N3 mpk sasa nipo kwenye BOOM J8.Tumia TFS LAUNCHER... ipo play store na ni bure kabisa... ni 3D na utaipenda.
Kama umeroot simu download app inaitwa ifont iko poaHata mi kwangu ilikuwa hivyo,ila kuna mtu akanishauri ni restore baada kufanya hivyo mambo yakawa safi
Jaribu live stream player iko poa sananimedownload mobodro ila sipati channels nifanye nini
Hiyo ni chager yko... BadilishaJaman mie naomben ushaur.... Sim yangu ya tecno j7 inasumbua sana kwenye kucharg... Badala ya kujaa wakat nacharg yenyewe inanyonya hadi inafikia hatua ya kushundwa kuwaka... Nishanunua charg hadi nimechoka sijaona mabadiliko. Ushaur wenu tafadhali
ipo plYstore?Jaribu live stream player iko poa sana
Google things dumbGoogle itanisaidia kupata hiyo hacked app
Mbona sijakuelewa weweGoogle things dumb
natafuta link ya GB whatsapp kwa ajiri ya iPhone ipo?Nimeipenda sana hii gb whatsapp iko vizur na sana
Umefanyaje kuroot?, mimi inashindikana,Mkuu naomba msaada wa apps nzuri ya fonts kwenye simu ya TECNO C9...nimeroot ila nikidownlod ifont kwenye playstore niki badili ina change kwenye browser tu ila kwenye kichwa cha simu aibadiliki...
Ipo..adGuardHivi Kuna App Ya Kuzuia Matangazo Ya Kwenye Simu Inafanya Kazi Bila Root??
Aisee!! Niliijaribu, But Sijaipenda Kma Adaway, Kwan Kuna App Inayoweza Root Mashamallow??Ipo..adGuard
Jaribu kutumia miracle boxAisee!! Niliijaribu, But Sijaipenda Kma Adaway, Kwan Kuna App Inayoweza Root Mashamallow??
Ngoja Nijaribu, Nitakujulisha Kaka.Jaribu kutumia miracle box