Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni simu yenyewe pia kuna app inategemea na edit zako unazoziitaji kama Mimi natumia natumia cymera.Hivi wadau kuweza ku-edit picha na texts kwenye smartphone kinachotumika ni app au uwezo wa simu husika?
Hii ina-edit picha ulizopiga kwa simu tu au na zile tofauti?Ni simu yenyewe pia kuna app inategemea na edit zako unazoziitaji kama Mimi natumia natumia cymera.
360 camera na Adobe PS touch
Fanya Uptodate.samsung galaxy s5 sm 9006v korean version. enzi za nyuma ilikubali katika galaxy y duos 6102.
Picha yeyote ileHii ina-edit picha ulizopiga kwa simu tu au na zile tofauti?
Poa mkuu.Fanya Uptodate.
Kwa kulekebisha tu mkuu...hii blackmart inapatika pia kwa simu ambazo haziko rootedBlackmart kwa rooted Android. Hiii app inakusaidia kupata app zooote za play store zinazouzwa bure. Haipatikani Google play. I search kwenye search engines
Ila uki-root simu yako ucjeku-download app za masuala ya bank kama NMB App. Wenyewe wameonya ktk vipeperushi vyao coz usalama wa account yako utakuwa mdogo sana.Bila rooting huwez enjoy simu yako. Sema tu wengi hawana elimu na hii ishu.
Kingroot.Dah natumia H6 TECNO nitumie root gani kwenye hii simu iweze kuroot
Tafuta apps inaitwa du booster hiyo inangata kabisaa aseeeAsanteni sana nimeinjoi but application ni kali mbaya
Vote vinashabiianaHivi wadau kuweza ku-edit picha na texts kwenye smartphone kinachotumika ni app au uwezo wa simu husika?
Mkuu hiyo game inaitwaje?Ebwane Mbona hizi game zinakataa Nikita kubadilisha gari simu yangu IPO rooted lakini inazingua![]()
Kabla sijajibu swali lako wewe wakati una root zipi sababu zilipelekea wewe kufanya hivyo?Ila uki-root simu yako ucjeku-download app za masuala ya bank kama NMB App. Wenyewe wameonya ktk vipeperushi vyao coz usalama wa account yako utakuwa mdogo sana.
Binafsi nimei-root simu yangu. Naimba unijuze nawezaifaidi vipi?
Kuna Simu Ukitaka Kuziroot, Pale Zinapojiboost Haziwakii Tenaa!! Mara Nyingi Huwa Feki Hazina Ubora.Kabla sijajibu swali lako wewe wakati una root zipi sababi zilipelekea wewe kufanya hivyo.
Maana waweza haribu simu tukaonana wabaya kumbe ni wewe mwenyewe hujajua unachotaka kufanya.
Mbona Mimi inagoma kudownload?MOBDRO ni app ya kuangalia TV.. (iptv)
Kwa Kutumia simu yako..
Ni app ambayo haipo Playstore..
Faida..
Ni kwamba unaweza kuangalia lots of Channel's zaidi ya channels 100.
Hasara..
Inakula sanaa mb kama YouTube.
Kazi kwako.
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
Simu yangu ni ya halotel so SIM 1 inaingia line ya halotel pekee.Kabla sijajibu swali lako wewe wakati una root zipi sababu zilipelekea wewe kufanya hivyo?
Maana waweza haribu simu tukaonana wabaya kumbe ni wewe mwenyewe hujajua unachotaka kufanya.
Hilo ni kweli uki root simu ambayo ni fake kwenye kuji reboot itaishia hapo hapo au isiwake kabisa, mimi hilo lilishanikuta.Kuna Simu Ukitaka Kuziroot, Pale Zinapojiboost Haziwakii Tenaa!! Mara Nyingi Huwa Feki Hazina Ubora.
Me Halijawah Nikuta Ila Nafahamu. So Bora Umwambie Kabisaa...Kma Ni Fake Asije Lia Humu Na Simu Inaweza Kuwa Fake Akajua Ni Orjino Ila Hill Zoez Likifanyka Ikazma Ndio Hivyo Fake. Kma Simu Orjino Hakuna Shida. Labda Shida Itakua Jinsi Ya Kukamilisha Zoez.Hilo ni kweli uki root simu ambayo ni fake kwenye kuji reboot itaishia hapo hapo au isiwake kabisa, mimi hilo lilishanikuta.
Simu ilikufa jumla.