COMRADE 07
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 337
- 150
Tafuta dream league soccer16...utaipenda sana..ila angalia iije kukufanya uache kufanya mambo mengineGame yoyote ya mpira iliyo na multiplayer mode.Msaada tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta dream league soccer16...utaipenda sana..ila angalia iije kukufanya uache kufanya mambo mengineGame yoyote ya mpira iliyo na multiplayer mode.Msaada tafadhali
Google au nenda youtube andika kama ulivyouliza utapata video ya kukuelekeza kama ya dk nne ivJaman jinsii ya kuroot
Tecno C9
Google kingroot Apk download kisha irun..Jaman jinsii ya kuroot
Tecno C9
kuludisha cjui ila kama ni kurudisha futa hiyo app uliyoiwekaNilitumia ifont kubadili font style kwenye sim naitaji kurudisha font ya zamani sasa nashindwa kuludisha ile ya zamani nifanyeje sasa wakuu anaejua naomba anijuze jinsi ya kuludisha
Hii version ya kingroot inaweza ku root marshmallow!!!!?Google kingroot Apk download kisha irun..
KingRoot 4.5.0 APK Download by KingRoot Studio - APKMirror
Imegoma broGoogle kingroot Apk download kisha irun..
KingRoot 4.5.0 APK Download by KingRoot Studio - APKMirror
Jaman pia iko solo launcher mayo nzur xaanaa Niko nayoo toka kipindi cha Itel 1452Naitumia hiyo Launcher kitambo sana, tangu zama za TECNO N3 mpk sasa nipo kwenye BOOM J8.
Naipenda sana hiyo launcher na ipo vzr sana kwa upande wangu.
Naombaaa nielekezee umeroot vepee mbonaa kwanguu inagomaa sanaaa.??Hata mi kwangu ilikuwa hivyo,ila kuna mtu akanishauri ni restore baada kufanya hivyo mambo yakawa safi
Lugha ilotumika hapo .... nmebaki gizani .... utofauti wa ..."download" na "pakua" ni nini?sio lazima udownload app....unaweza pakua tu
Namaanisha sio lazma uwe na app ndio ikuwezeshe kupakua video.....ila unaweza ingia direct you tube na kupakua unachokihitajiLugha ilotumika hapo .... nmebaki gizani .... utofauti wa ..."download" na "pakua" ni nini?
Ni kama whatsapp tu.Msaada wa kujua Google allo unafanya VP kaz
Powasanteee