donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Sidhani kama inawezekana maana hii ni more of hadware thing not softweaKwahiyo lg g3 yangu haiwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama inawezekana maana hii ni more of hadware thing not softweaKwahiyo lg g3 yangu haiwezi
Sawa. Asante mkuuSidhani kama inawezekana maana hii ni more of hadware thing not softwea
Apple store balaa sana mostly apps nyingi ni zakulipiaKwasisi tunaotumia iphone jaman izo apps tunazpate kama io poweramp
Ingia playstore search app inaitwa photo editor ina icon ya blue na camera yenye mkasi kwa pembeni utamaliza kila kitu.Sawa. Asante mkuu
Unatumia simu aina gani?Ooooh hance hii yangu sija-root bado
Nipe direction bas
Mkuu asante sana. Nimefanikiwa, the best photo editor ever! Ina mambo mengi sanaIngia playstore search app inaitwa photo editor ina icon ya blue na camera yenye mkasi kwa pembeni utamaliza kila kitu.
Pazuri sana hapa. Nadhani utapata jibu. Sijawahi kukwama hapa JF.Kwasisi tunaotumia iphone jaman izo apps tunazpate kama io poweramp
Hiyo App ukiijulia vizuri hutojuta, inafanya mambo mengi nje na hayo uliyo yaona.Mkuu asante sana. Nimefanikiwa, the best photo editor ever! Ina mambo mengi sana
View attachment 439018
Asante mkuu. Nzuri sana, naona ina na feature ya kucreate PDF. Nitaizoea taratibu bila shakaHiyo App ukiijulia vizuri hutojuta, inafanya mambo mengi nje na hayo uliyo yaona.
Nina picha nikikuonesha huwezi amini kama zime editiwa na hiyo App.
Hii app inaweza kuediti picha mfano kitu inabaki na rangi yake ila background inakuwa nyeusi?Hiyo App ukiijulia vizuri hutojuta, inafanya mambo mengi nje na hayo uliyo yaona.
Nina picha nikikuonesha huwezi amini kama zime editiwa na hiyo App.
Tuelekeza unatoaje background mkuu na attach hzo pic zako tuoneHiyo App ukiijulia vizuri hutojuta, inafanya mambo mengi nje na hayo uliyo yaona.
Nina picha nikikuonesha huwezi amini kama zime editiwa na hiyo App.
add 0757497175
Samsung E5Unatumia simu aina gani?
Haya swali kwako na wewe, umefanyaje hadi hyo pasenteji ya betrii inaonekana hapo katikatiMkuu asante sana. Nimefanikiwa, the best photo editor ever! Ina mambo mengi sana
View attachment 439018
Tumia photo editor yyote kama PicsArt vile utaweza nawewe kuchora choraKwahiyo lg g3 yangu haiwezi