johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,730
Hata mm nimekushangaa mkuu ulitususaKitambo sana sija subscribe kwenye huu uzi vingi vimenipita, ngoja nifanye kupitia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm nimekushangaa mkuu ulitususaKitambo sana sija subscribe kwenye huu uzi vingi vimenipita, ngoja nifanye kupitia
BesoccerAsante,nilkua na maanisha app ambayo ntapata updates za mechi analysis,stats etc...
Mkuu unaeza weka logo yake photo editor ziko nyng sanaaaHans pol alinielekeza app inaitwa photo editor iko vizur aisee ijaribu na ww kuna picha nime change kwa kutumia hii app nikiweka app huwez amin
Mgaya nimerudi tena mkuu humu ndani, bega kwa bega kuanzia sasa tupo pamoja sana, kule pia usitususe jokes forumHata mm nimekushangaa mkuu ulitususa
Bofya hilo neno dawnloadkwangu inakataa inaniandikia hivi:-![]()
Ya nini hiiRoehsoft ram expander
Hii inasaidia kukuza mtaji wako mara kumiYa nini hii
Fafanua kuhusu msisitizo wako,so ili wanachama tukuelewe.Hii inasaidia kukuza mtaji wako mara kumi
Jamani inaitwa roehsoft ram expander narudia ram expander ili nieleweke kwa mara ya tatu RAM EXPANDER[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Its a jokeFafanua kuhusu msisitizo wako,so ili wanachama tukuelewe.
Umetisha sana mkuu hiki ndo kitu nnachofikiria kuwa nacho, Asante!Its a joke
Learn to take a joke
Kazi ya hiyo app ni kuongeza ukubwa wa ram yako kwa kupartition sehemu ya micro sd yako kutumika Kama ram pale inapohitajika
Kwa mfano sim yako ina ram ya 256 mb na unataka u multitask kati ya app tatu au zaidi au unataka kucheza ram intensive game kwa ram ya 256mb ni karibu sawa na haiwezekani ila kama una root acces na sd card na hiyo app utapartition sehem ya memory card iwe ram ila hautaweza kuifanyia kitu chochote hiyo partition zaidi ya kutumika kama ram unaweza kuexpand mpaka 4gb(max)
No problemUmetisha sana mkuu hiki ndo kitu nnachofikiria kuwa nacho, Asante!
Mimi natumia app ya swapper kufanya hayo yoteIts a joke
Learn to take a joke
Kazi ya hiyo app ni kuongeza ukubwa wa ram yako kwa kupartition sehemu ya micro sd yako kutumika Kama ram pale inapohitajika
Kwa mfano sim yako ina ram ya 256 mb na unataka u multitask kati ya app tatu au zaidi au unataka kucheza ram intensive game kwa ram ya 256mb ni karibu sawa na haiwezekani ila kama una root acces na sd card na hiyo app utapartition sehem ya memory card iwe ram ila hautaweza kuifanyia kitu chochote hiyo partition zaidi ya kutumika kama ram unaweza kuexpand mpaka 4gb(max)
Hahhaaha [emoji106] mkuu, tatizo la kule ukiingia hutamani kutoka[emoji23] [emoji23]Mgaya nimerudi tena mkuu humu ndani, bega kwa bega kuanzia sasa tupo pamoja sana, kule pia usitususe jokes forum
Up kipHahaa dah kiswahili kigumu eti kichungulio
Jaribu fotmobAsante,nilkua na maanisha app ambayo ntapata updates za mechi analysis,stats etc...
Lekebisha tarehenaomben mnisaidie jaman mm kwng OgWhatsapp inatokea iv....
na ata nikilekebisha saa bado haifanyi chochote.