dtj
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,333
- 1,379
Umekuwa msaada sana.
Tazama hata nakushukuru. Uwe na siku njema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekuwa msaada sana.
https://d2.downlod.me/d/4udzwcc6kql...df2b265jzfdatsv/Spotify-8.4.2.636-arm-Mod.apknani mweny Spotify craked app
Ukipata link,naomba unistue.maana hata mm nalitakaMsaada wa game la football fifa
Najaribu ku creat account inagoma inasema nipo list ya wanao subiri
MatangazoAds ni nini?
Mkuu hilo tatizo hata mimi ninalo.ni tatizo la kutumia simu mda mrefu.ikitoka kwenye macho itakua kichwa kinauma.ushaur punguza matumizi ya simu na tvNina sim ya tecno y2 yani nikiitazama screen sana macho yanauma sana alafu mwanga nimepunguza mpaka mwisho sijui tatizo ni nini,
Naombeni msaada kwa wale wanaojua jinsi ya kusolve hii ishu
GoodAndroid Manager...hii app unakonect na laptop mfano ukipoteza unaweza kuingia katika hiyo apps katika ukafuta data zako zote au kuiruhusu sim yako ipige alam muda wote na kukuonyesha location ilipo
The truth spy ....app hii inakusaidia kujua text za rafiki yako au girl wako unai download na kuinstall ktk sim ya mtu unaetaka kujua text zake nikafaili kadogo sana ni mb 1 nazan na hata ukistall kwa victim ye hawezi kukaona
Team Viewer.....app hii inakufanya kushare vitu ving kutoka katika computer na sim unaweza kufungua file za computer kupitia sim yako na ukaangalia katika simu yako file za computer
Sync hii app pia inakusadia kuche file za kwenye computer katika sim yako
Vault hii app unaweza ficha picha zako video,apps zako ,contacts na text na mtu asizione
Translate....hii ni app inakusaidia kubadili lugha mfano unakiswahili unataka kukipeleka katika kiingereza au kiingereza kwenda kichina,kijapan,kifaransa ni wewe tuuuu
Enjoy this few apps.....Out Do ze Does.... tchaooooo
jaribu kurudia tena.Najaribu ku creat account inagoma inasema nipo list ya wanao subiri
Jaman mwenye kujua game zur PES
Mkuu nimefata njia zote hizi nikitaka nova laucher ije kuwa nova laucher prime lakin baada ya kumaliza iyo process naona bado iko vile vile tu
Mimi natumia lucky patcher na inakubali bila shidaKwa nini face book na Twitter zinagoma kuhama kwenda sdcard memory kutoka internal memory? Natumia app ya Link2cd. Hebu tusaidiane maujanja wakuu. Internal space yangu ni ndogo.
Ngoja niijaribu mkuu nitaleta feedback
Luck patcher tayari ninayo , sasa ndio unapitia njia ipi kuhamisha?
https://d1.downlod.me/d/4qd3wik6kql...ova_Launcher-Prime-5.1-beta6_apkchest.com.apkMkuu nimefata njia zote hizi nikitaka nova laucher ije kuwa nova laucher prime lakin baada ya kumaliza iyo process naona bado iko vile vile tu
Hyo App ina kazi gani mkuu namie nidownload,!??jamii forum ni app nzuri sana inapatikana play store.