Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Luck patcher tayari ninayo , sasa ndio unapitia njia ipi kuhamisha?
4ca3b6a4de86a74c38435a5d744d5c19.jpg
 
Android Manager...hii app unakonect na laptop mfano ukipoteza unaweza kuingia katika hiyo apps katika ukafuta data zako zote au kuiruhusu sim yako ipige alam muda wote na kukuonyesha location ilipo

The truth spy ....app hii inakusaidia kujua text za rafiki yako au girl wako unai download na kuinstall ktk sim ya mtu unaetaka kujua text zake nikafaili kadogo sana ni mb 1 nazan na hata ukistall kwa victim ye hawezi kukaona

Team Viewer.....app hii inakufanya kushare vitu ving kutoka katika computer na sim unaweza kufungua file za computer kupitia sim yako na ukaangalia katika simu yako file za computer

Sync hii app pia inakusadia kuche file za kwenye computer katika sim yako

Vault hii app unaweza ficha picha zako video,apps zako ,contacts na text na mtu asizione

Translate....hii ni app inakusaidia kubadili lugha mfano unakiswahili unataka kukipeleka katika kiingereza au kiingereza kwenda kichina,kijapan,kifaransa ni wewe tuuuu

Enjoy this few apps.....Out Do ze Does.... tchaooooo
P1
 
App ya sim card charger notifier ni nzuri inapatikana playstore
 
Kupitia videoder unaweza kudowload movie mpya kabisa katika HD kotoka movie 123
 
Msaada nikiwa naperuz ama kuchart hz social network yanatokea mayangazo had yananinyima poz naomba mwenyekujua app au namna ya kuzuis nisiyaone anisaidie
 
Msaada nikiwa naperuz ama kuchart hz social network yanatokea mayangazo had yananinyima poz naomba mwenyekujua app au namna ya kuzuis nisiyaone anisaidie
Ad blocker for Android AdClear

Download hii app itakusaidia
Ukishadownload weka on hapo
f8cd677fab0ce8e25974069f9a758852.jpg
kwenye alama nyeupe na juu ya panel ya simu yako itajiweka notification ya kialama cha ufunguo hapo itakua on Enjoy
 
Waku sana.

Lucky patcher ndio app inayofaa nini kwa simu yangu.

Nawasilisha kwa msaada.
 
Mkuu hii kitu nimeipenda sana, sawa kuipakua unakuwaje?
Maana nimejaribu naona inaniletea mambo ya emails
Una Google play? Kama unayo ukibofya hiyo link Biblia Takatifu Kiswahili - Android Apps on Google Play
itafunguka . Kama inagoma basi fungua google play app halafu itafute kwa jina hili 'Biblia Takatifu Kiswahili' zitakuja app nyingi tafuta hiyo app utaona icon yake na developer ni Robert Londo
0b824df20ab465393fdd2760e8072637.jpg
 
Una Google play? Kama unayo ukibofya hiyo link Biblia Takatifu Kiswahili - Android Apps on Google Play
itafunguka . Kama inagoma basi fungua google play app halafu itafute kwa jina hili 'Biblia Takatifu Kiswahili' zitakuja app nyingi tafuta hiyo app utaona icon yake na developer ni Robert Londo
0b824df20ab465393fdd2760e8072637.jpg
Ukiidownload unaweza rate 5 stars na kushare na wenzako. Kama utapata changamoto yoyote usisite kuuliza
 
Back
Top Bottom