Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

View attachment 2136843

* Kwangu nikitaka app za simu bila kutumia googleplay ambayo inahitaji akaunti ya email kabla ya chochote huwa na google 'jina la app'.apk ... unapata app ya ku download moja kwa moja chap bila kupitia googleplay

Hii app ina faida kwa mwanafunzi, mwanachuo, mfanyakazi wa ofisini kwa sababu, na yeyote anaetumia
  • Inaendana na Microsoft Office - Kwa mfano, kiuhalisia ni wanafunzi ama wanachuo wachache wanamiliki pc ama laptop, lakini wengi wana smartphone. Kwa hiyo, unashughulukia kazi ya WORD ama EXCEL shuleni ama chuoni una kiporo. Una copy hiyo kazi unaingiza kwenye simu kisha unaifungua na hii app, unamalizia kazi yako kitandani, una-save. Kesho shuleni una upload kazi ulio save - sasa ukifungua tena na WORD ukafungua kazi yako uliomalizia kitandani itakuja kama ulivoi save na format zitakuwa poa... Ama unaunganisha simu ku print pale stationary unaenda na homework done shuleni.
  • Hii app inasoma PDF hata ku-edit PDF... siku hizi fomu nyingi rasmi ama za kiserikali zinatumia mfumo wa PDF.
  • Hii app pia ina scan na unaweza ku save ulicho scan kama WORD, PDF ama mifumo mingine kama picha JPEG nk
  • Hii app nimeitumia mara nyingi kusoma vitabu - vitabu vingi vimo katika mfumo wa PDF na tunajua inafungua - lakini pia inafungua vitabu vya mfumo wa ePUB nahisi na mifumo mingine pia na inakupa uwezo wa kusoma kitabu kama kurasa na pia kukuza herufi.
Hii app ina vitu vingine sijavijaribu bado... ila kwa kweli ina kila kitu na zaidi kuhusiana na document. Yaani imeunganisha Microsoft Office + PDF + eREADER + ...
Naomba unitajie jina la hii app, picha imekatika haifunguki mkuu
 
Hivi wakuu hamna namna ya kufanya installation ya apps kwenye smart Tv
 
Kuna njia nyingi lakini njia rahisi mbili ninazopenda zitumia ya kwanza ni ingia playstore ya smart tv yako tafuta file linaitwa SEND FILES TO TV.kisha nenda kwenye smartphone yako kadownload file hilo hilo. Hii itakusaidia kutuma mafile au apk kutoka kwenye smartphone yako kwenda kwenye smarttv yako...ila hakikisha simu yako ipo same wifi na tv yako...usitumie vpn katika kusend files au apk itakugomea hiyo apk.


Baada ya kudownload hiyo 'SEND FILES TO TV' nenda kwenye playstore ya smart tv yako kadownload app inaitwa 'fX File Explorer' hii itakusaidia kufungua na kuinstall app uliyotumiwa. Chini hapo ni ambatanisha na image za hizo app
JPEG_20231004_184729_5265641365431047284.jpg
 
Njia nyingine ni kuinstall app inaitwa 'Aptoide TV'.hii inapatikana google so nenda google andika hilo jina kisha download kwenye simu yako na uisend kwa kutumia zile app nilizotaja hapo juu then install kwa smarttv yako hii ndio Aptoide TV hii ni playstore ya smartv ina apps ambazo google playatore hazipo.
JPEG_20231004_185322_9176468946272979681.jpg
JPEG_20231004_185445_4798037392473206308.jpg
 
Njia nyingine ni kuinstall app inaitwa 'Aptoide TV'.hii inapatikana google so nenda google andika hilo jina kisha download kwenye simu yako na uisend kwa kutumia zile app nilizotaja hapo juu then install kwa smarttv yako hii ndio Aptoide TV hii ni playstore ya smartv ina apps ambazo google playatore hazipo. View attachment 2771849View attachment 2771856

Mkuu mm naomba namna ya kuangalia mechi mbali mbali za mpira wa miguu kama vile EPL kwa kutumia Android smart tv.
 
Mkuu mm naomba namna ya kuangalia mechi mbali mbali za mpira wa miguu kama vile EPL kwa kutumia Android smart tv.
Mkuu njia hiyo ya kwanza mdio itakuwezesha kuangalia mpira...nenda kwenye google katafute app inaitwa SPORTS FIRE .. au Yaccine tv hizo zitakupa burudani unachagua tu uangalie channel za nch gani
JPEG_20231004_192925_384226716950173704.jpg

Hapa nacheck package ya dstv south africaView attachment 2771906
 
Mkuu njia hiyo ya kwanza mdio itakuwezesha kuangalia mpira...nenda kwenye google katafute app inaitwa SPORTS FIRE .. au Yaccine tv hizo zitakupa burudani unachagua tu uangalie channel za nch ganiView attachment 2771902
Hapa nacheck package ya dstv south africaView attachment 2771906

Samahan Mkuu,hizi unalipia au ni bando lako tu?halafu hyo yacine tv kila nikii download inanigomea kuonesha hzo channel zake sjawaj kuona ikikubal hata sku 1
 
Back
Top Bottom