Tusichokijua wabara ni kwamba-Wazenji na Watanganyika ni watu tofauti sana

Tusichokijua wabara ni kwamba-Wazenji na Watanganyika ni watu tofauti sana

Naaomba sana msije mkakunjana mashati Ktk jamvi mufike sehemu mukubaliane tuu ukweli ni huu mkuu, CCM wa zenji wametawaliwa kimawazo na wenzao wa Tanganyika hawana maamuzi yyte hali itakuwa hivi mpaka pale watakapo kaa kitako na kujiangalia mara mbili mbli nn chakufanya .
 
Wengi watashangaa sana nilichoandika ila kwa analyst wazuri watakubalina nami.Wabara hatujui haya.Wazanzibar kwa ujumla wao hawafanani sana na watanganyika kifikra.Values wanazochare na bara ni kidogo sana.

Kuna Aspect za dini ,na mahusiano ya kibiashara na baadhi ya vitu wazenj wanajifunza bara ndivyo vitufanyavyo tuendelee jion akuwa tupo ktk boat moja.Hao viongozi wa serikali wanaotoka zenj wamjifunza mengi sana kwa miaka mingi sana.Ndio leo tunaojidanganya kuwa tupo pamoja ktk hii safari ya muungano.Hatap hivyo hao jamaa wamejifunza tuu kuishi nasi ila bado ktk uhasilia wana "Wanbanwa na hili koti " ila ndipo ulipo urembo.NI kama kufuata asali huku nyuki wakikundunga mishale.


Hawa viongozi wa kizenj tulio nao hawana msaada ktk kuleta umoja , na wapo very well detached na watu wao kuhusu ukweli wa muungano, na wapo nao pamoja sana ktk kushangaa muungano na maelezo mengine kwanini Zanzibar ni failed Society.

Kwa hali halisi Watu wa bara wana fikra tofauti sana na mitazamo isiyokaribina kabisa kuhusu maisha na maendeleo ya taifa.

Fikra za watanzania ktk makubaliano mengi ya muungano na maendeleo ya Taifa si moja na wenzao wa Zenj hata kama ziliandalia pamoja.Kwani mud awa mipango wazenj wengi hujifunza kufikiri km wabara ila hawapati concept moja nao .Ndio maana wakirudi kwao na kusahihishwa na wenzao (ambao pia walipaswa eleweshwa makubaliano yalifikiwa vipi) basi hawa viongozi huishia jitetea kwa hayo waaminio wazenj.

Ingewezekana wabara wakawapa wazenj hata masaa 5 ya wao kufany amambo yao halafu Bara wakaaangalia basi watu wa bara wasingekaa waweze funga midomo tena kwa kubaki wazi.Na kuendelea kupanga mambo na wawakilishi wao bado kutaendelea washangaza wabara matokeo yanavyokuwa tofauti kwa wenzao kulalamika kwamba walichkubaliana ktk mipango sicho walichokuwa wakitaka.

Kwa ujumla tupo tofauti sana.....na wenzetu wa visiwani....na ziku zinapokwenda bara hawawezi pick up tena na ilipoachwa zenj ichukue njia yake.Zenj ibatabi kuwa visiwa vya "YASIYOTEGEMEWA".

We bana akili zako ni ukabila, udini, ubaguzi, ukaburu, uchadema, unyinyiemu, uzandiki na kila aina ya fikra ya kibaguzi
sijajuwa ndo aina ya watu tutakaokuwa nao baada ya ukombozi mpya toka nyinyiemu?
Yaaani sikuelewi kabisa!
 
We bana akili zako ni ukabila, udini, ubaguzi, ukaburu, uchadema, unyinyiemu, uzandiki na kila aina ya fikra ya kibaguzi
sijajuwa ndo aina ya watu tutakaokuwa nao baada ya ukombozi mpya toka nyinyiemu?
Yaaani sikuelewi kabisa!

haha...unaruhusiwa ku assume kila upendacho...ndio mlivyo watu wa aina yako ambao wamejaa sana nchini.
 
Kijana wa UVCCM anayedai kuwa vyama vingine zisivyo na uwakilishi wowote vinakwenda fanya nini Zenj..sijui yeye akiulizwa kafikaje na akakwenda Tanganyika kufanya nini na kwa mamlaka ya nani atajibu nini..kma haoni ni kwanini wengine nao wanastahili kwenda Zenj.
 
Mjadala wa bungeni kuhusu mswada wa sheria..wabunge wa zenj ,wabunge wa CCM bara pamoja na unafiki wao ila wanaonyesha tofauti sana na wenzao wa Zenj .
 
Nicholas Nimekusouma vizuri post zako za page 1!
Nimegundua unapoint nzuri tu but Wazenji wenye hasira wamekufanya uongelee ushabiki rather than facts!
...
Mimi ni Mzenji, na hizo kasumba za Muungano nadhani hauzijui vizuri!
...
Kiukweli Wazenji wengi ni wabaguzi, na wanajipenda wenyewe na Taifa lao rather than Watu wa Taifa lolote includes hao waarabu unaosema!
Wanachokihitaji Wazenji ni maendeleo na sio kitu kingine!
Maisha ya Wazanzibar wengi ni mabovu! Na mtazamo wa wazanzibar wengi kama sio wote wanatambua Tanganyika ndio chanzo! Na nyerere ndie adui mkubwa! Nadhani yale maneno alioyasema Nyerere dhidi ya Zenj bado unayakumbuka!
jee kama wewe ni mzenji, ungefurahia maneno yale?
...
So, ingawa wazenji ni wabaguzi mkumbuke chuki mlipandikiza wenyewe!
...
Mimi kama mimi napenda tuwe pamoja bila kuvunja muungano but marekebisho ni lazima yafanyike!
...
Naskitika kukuambia wazenji wengi hawana imani tena na waTanganyika!
...
Embu mwekundu pita hapa!
 
Last edited by a moderator:
Tanganyika na Zanzibari ni sawa na Binadamu na Nyoka hakuna wa kumuamini mwenzie... hata wakiwa marafiki ndio sawa sawa na huu Muungano..
 
Nicholas Nimekusouma vizuri post zako za page 1!
Nimegundua unapoint nzuri tu but Wazenji wenye hasira wamekufanya uongelee ushabiki rather than facts!
...
Mimi ni Mzenji, na hizo kasumba za Muungano nadhani hauzijui vizuri!
...
Kiukweli Wazenji wengi ni wabaguzi, na wanajipenda wenyewe na Taifa lao rather than Watu wa Taifa lolote includes hao waarabu unaosema!
Wanachokihitaji Wazenji ni maendeleo na sio kitu kingine!
Maisha ya Wazanzibar wengi ni mabovu! Na mtazamo wa wazanzibar wengi kama sio wote wanatambua Tanganyika ndio chanzo! Na nyerere ndie adui mkubwa! Nadhani yale maneno alioyasema Nyerere dhidi ya Zenj bado unayakumbuka!
jee kama wewe ni mzenji, ungefurahia maneno yale?
...
So, ingawa wazenji ni wabaguzi mkumbuke chuki mlipandikiza wenyewe!
...
Mimi kama mimi napenda tuwe pamoja bila kuvunja muungano but marekebisho ni lazima yafanyike!
...
Naskitika kukuambia wazenji wengi hawana imani tena na waTanganyika!
...
Embu mwekundu pita hapa!
mY friend si kwamba naichukia Zenj..ila nakuambia kuna Mengi sana yanatia huruma.Wazenj hata utendaji wa kazi na maisha kwa kila siku si productive kabisa.Wazenj wana uzalendo ndio ila wanapoutafsiri kwa vitendo wanafanya ktk twisted ways.Wazenj kimatendo na mitizamo wanazidi fanya maisha yao yawe mabaya zaidi.HAwaaminiki kw kaiasi cha bara kujioa salama Zenj ikiachiwa na mambo yake.

Wazenj wana wanasiasa wanafiki sana,ambao miak ayote wanapenda kupendw ana watu wao na pia kupendwa na mafisadi wenzao pia na watu wa bara.Kuna shida sana hapa..

Wazenj ukiwaangalia ktk siku na mazingira yanayowazunguka utaona mengi sana ambayo bara hakuna,pamoja na fursa nyingi sana ambazo hawazioni kwako km anavyoweza ziona mbara.Wazenj wameishia kuiingalia zenj zaidi ya kuitumia na kuijenga.

Viongozi wao wote wana majumba msasani,wakati wana uchafu kwao, wana miradi kibao bara kuliko vijiwe vya kulia machozi ya mamba ktk maji,wakati wakitaka wapandisha stim watu ili wawatumie.

Zenj hawana elimu sahihi ya ukimwi wanakufa sana huku wakisingiziwa kuwa walio nao ni wageni, wanakula na kuuza unga vibaya sana wakidhani wanwauzia wageni, wazenj hawana kilimo efficiente wala productive, mashamba yao yote ni km mapori tuu.vichaka na mchangyiko uisozingatia nature ya mazao,hakuna hata basic skills za kilimo.Wazenj wanapoteza sna anguvu ktk sehemu isiyo sahihi ktk kilimo.Ufigaji wao ni km haupo na hovyo kabisa.

Sijui kwanini serikali bado inapoteza muda kuwaibia watu wanaozalisha kwa shida chini ya kiwango.


Kuna Mengi ndugu yangu ya watu wa zenj kujifunza bara mikoa fulani ambayo wabara wavivu huichukia, kuna haja ya wazeji kujenga upya familia zao ili sasa maeisha endelevu yawepo.Nachukia baadhi ya matendo yao ila,nawapatia sana huruma, na kusikitika sana hadi lini wanasiasa watahamisha fikra za watu toka ktk issue za kipuuzi za muungano na kurudi ktk issue za kilimo makini,afya(ukimwi,chakula, kuondoa uvivu), elimu itakayosaidia nguvu sahihi zitumike kwa ufanisi na si kupoteza ktk issue zisizo na manufaa.Zenj imejaliwa sana hali nzuri kwa kilimo na green.Ila attitude ,culture, na mitizamo ya watu na wanasiasa,imeligeuza lile taifa kuwa la malalamiko na chuki.

Zenj kuna hazina ya vijana ambao ni rahisi kuwageuza wazalishaji na waliofanikiwa ingawa si wote wana elimu sahihi(simaanishi elimu tuu ya shule).
 
Kiukweli wazenj ingawa sio wote ni walalmishi wakubwa,wamekaa kulalamika bara inawanyonya bila kuangalia ukweli,pia ni wabaguzi wanadai wabara wanachukua ajira zao,wanadai mafuta yawe yao,hawataki wabara waruhusiwe kujenga zanzibar wakati wakidai hayo yote wao ndio wamejazana huku bara,wao ndio wananunua nyumba,mashamba kwa wingi huku bara asilimia kubwa ya chakula kinatoka huku bara hiyo ni pamoja na nyama lakini ukiwaambie na sisi tutaweka sheria ambayo itawazuia wao kujenga huku wanadai wao wako wachachwe hata dar hawawezi kuijaza wakati wanataka uwakili sawa wa bunge la muungano,nafasi za ajira wanadai wao hawawezi kuchangia sawa kwani mapato yao madogo kwa kweli ni
 
Kiukweli wazenj ingawa sio wote ni walalmishi wakubwa,wamekaa kulalamika bara inawanyonya bila kuangalia ukweli,pia ni wabaguzi wanadai wabara wanachukua ajira zao,wanadai mafuta yawe yao,hawataki wabara waruhusiwe kujenga zanzibar wakati wakidai hayo yote wao ndio wamejazana huku bara,wao ndio wananunua nyumba,mashamba kwa wingi huku bara asilimia kubwa ya chakula kinatoka huku bara hiyo ni pamoja na nyama lakini ukiwaambie na sisi tutaweka sheria ambayo itawazuia wao kujenga huku wanadai wao wako wachachwe hata dar hawawezi kuijaza wakati wanataka uwakili sawa wa bunge la muungano,nafasi za ajira wanadai wao hawawezi kuchangia sawa kwani mapato yao madogo kwa kweli ni

Wanalalamika kitu.wakiumwa njaa wanamlaumu mtu,wakichomwa na jua wanamlaumu mtu wasipovuna wanamlaumu mtu.wakifeli darasani wanamlaumu mtu, wakishindwa ongea kiingereza wanalaumu kukosekana kwa English media wanasahau kuwa wana Arabic Medium schools.
 
Yap! Hapo Nicholas umeongea!
Kwa Sera mbovu + uvivu wa Wazenji ni tatizo kubwa linaloikandamiza Zanzibar!
Huwezi amini kuna maeneo Zenji ni mazuri sana kwa kilimo mfano FUONI, aaagh ujengaji holela na uvamizi wa viwanja unaondelea sipati picha baada ya Miaka 30 Zenji watakua tegemezi hata kwa spices!
Ubaya wenyewe kunamaeneo ya jangwa kama Tunguu, Bungi, na maeneo mengine kibao yako wazi na hayana shughuli yoyote! Naskitika hule ujenzi holela haufanyiki maeneo hayo ili zile sehemu zenye rutuba zikatumika kwa kilimo! Huo ni mfano m1 tu, mifano ya sera mbovu ipo mengi tu!
Wacha niachane nayo ili nije kwenye point!
...
Viongozi vibaraka na wabadhirifu vile vile wamejaa Zanzibar!
...
Nadhani wazenji wameanza kuamka for somehow ingawa imani mbovu ya DINI na Elimu mbovu ni tatizo jengine! Na hapa napaacha!
...
Ivi umesahau ule msemo unaosema 'Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni'?
...
Naamini wazenji wengi wa(me/na)amka kwa sasa!
Never think that majority of Zanzibarian supports CCM! Unajua nini, mavibaraka wakubwa ni maCCM! Katiba yao ya chama ndio inayowabana na kujikuta Tanganyika wapo na Zenji wapo!
...
Mageuzi ya Zanzibar kwanza ni kuondoa CCM madarakani!
I believe everything will be alright!
...
Najua na natambua faida za Muungano, but believe me ni Wazenji wachache (includes me) ndio wanafaidika na Muungano!
Majority ya Wazanzibar hawaoni faida zake! Wewe ukiwa huku unaweza ukasema Wazenji wanaokataa Muungano hawana akili! Sio kweli!
...
For somehow Muungano ni Sababu nyingine ya underdevelopment kwa Wazenji walio wengi! Labda nikuee mifano:
1 mambo ya nje!
2 pesa!
3 bandari!
4 malighafi eg karafuu (bv nahisi hili limetatuliwa!)
5 Nafasi za juu/nyeti katika ajira! (sitaki kuamini wazenji wote ni mbumbumbu na hawatoweza kushika nafasi hizo!
N.k...
 
Last edited by a moderator:
moja kwa moja toka katika kichwa cha habari kuna TOFAUTI KUBWA SANA KATI YA JOHN OKELO, ABEID KALUME, NA MWL. J.K NYERERE.
 
Yap! Hapo Nicholas umeongea!
Kwa Sera mbovu + uvivu wa Wazenji ni tatizo kubwa linaloikandamiza Zanzibar!
Huwezi amini kuna maeneo Zenji ni mazuri sana kwa kilimo mfano FUONI, aaagh ujengaji holela na uvamizi wa viwanja unaondelea sipati picha baada ya Miaka 30 Zenji watakua tegemezi hata kwa spices!
Ubaya wenyewe kunamaeneo ya jangwa kama Tunguu, Bungi, na maeneo mengine kibao yako wazi na hayana shughuli yoyote! Naskitika hule ujenzi holela haufanyiki maeneo hayo ili zile sehemu zenye rutuba zikatumika kwa kilimo! Huo ni mfano m1 tu, mifano ya sera mbovu ipo mengi tu!
Wacha niachane nayo ili nije kwenye point!
...
Viongozi vibaraka na wabadhirifu vile vile wamejaa Zanzibar!
...
Nadhani wazenji wameanza kuamka for somehow ingawa imani mbovu ya DINI na Elimu mbovu ni tatizo jengine! Na hapa napaacha!
...
Ivi umesahau ule msemo unaosema 'Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni'?
...
Naamini wazenji wengi wa(me/na)amka kwa sasa!
Never think that majority of Zanzibarian supports CCM! Unajua nini, mavibaraka wakubwa ni maCCM! Katiba yao ya chama ndio inayowabana na kujikuta Tanganyika wapo na Zenji wapo!
...
Mageuzi ya Zanzibar kwanza ni kuondoa CCM madarakani!
I believe everything will be alright!
...
Najua na natambua faida za Muungano, but believe me ni Wazenji wachache (includes me) ndio wanafaidika na Muungano!
Majority ya Wazanzibar hawaoni faida zake! Wewe ukiwa huku unaweza ukasema Wazenji wanaokataa Muungano hawana akili! Sio kweli!
...
For somehow Muungano ni Sababu nyingine ya underdevelopment kwa Wazenji walio wengi! Labda nikuee mifano:
1 mambo ya nje!
2 pesa!
3 bandari!
4 malighafi eg karafuu (bv nahisi hili limetatuliwa!)
5 Nafasi za juu/nyeti katika ajira! (sitaki kuamini wazenji wote ni mbumbumbu na hawatoweza kushika nafasi hizo!
N.k...
Shida kubwa zaidi ya Zenj ni kwamba hata move wanazofanya wanafanya bila kuwa na malengo wafike wapi,kwani hakuna kiongozi mwenye nia safi....ya kuwaongoza ktk mawazo mapya yasiyo na chuki wala hisia potofu za kulalamikia wengine.Wawe na fikra kuwa siku moja nao watahitajika saidia wengine.

Sijasema hawana akili,ila wamepotoshwa sana kufikirishwa kuwa uchumi binafsi utatatuliwa muungano as if hawana cha kuweka kwenye muungano zaidi y akutaka muungano uwape tuu....

Ardhi ya Zenj ni bikra bado, bado kuna vichaka vingi ktk sehemu zisizo na maji sana.Beaches zao ni tupu san ana hazihitaji sana uwekezaji mkubwa ,kwani usalama ni mzuri.

Zenj huwezi amini sehemu nyingi watu hawakataki fanya biashara fulani kwa vile wateja si wazenj....imagine mtu anauza unga,halafu anashindwa uza bia?Kipi ni kibaya zaidi,unga au Bia?

Wazenj hawajui kilimo, na mara zote wanaopelekwa Tengeru,sua, kilosa ,Moshi kujifunza kilimo cha migomba,matunda na ufugaji na kilimo mchangayiko wanakuwa na ni wabunge wanaowania Posho,na wakirudi hawan hata shamba za mfano ambalo litarushusu wageni tembelea.

Ndugu yangu wazenj wanaofanya kazi bara wapo sharp ila wanapofanya Zenj, wanakua slow,hawana motisha,hawana malengo etc..kwa hiyo hata hizo bandari etc zenj wanabebwa sana,ila viongozi wao bado wanapenda umwinyi sana,wanafurahisa kushikilia na kuwaona wazenj wakipa kupigana kulinda himaya zao hao jamaa...

leo wazenj wanauza ardhi zao..ndio hawataki muuzia wa bara ila wanataka uza wakafanye wanachokiita mipango mingine.Sijui ni ipi hiyo wakati wakimaliza ardhi ndio wameaga zenj km mambo hayatakuwa mazuri kiasi cha kuweza warudisha nunua tena.
 
hivi mods walioiingiza hii thread ktk katiba mpya walikuwa wakifikiria nini?
 
Back
Top Bottom