meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
- Thread starter
- #21
Honestly tukiwachambua wagombea kwa sifa ya kuwa vizuri upstairs tutakuwa hatujamtendea haki mgombea flani ambaye hata mkewe atam-outsmart!Mpuuuuuuuzi tukuchague wewe basi urafiki wa watu unalihusu nini taifa tunaangalia kichwan km kuko salaaama broo vp ubongo naona umembonji