meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
- Thread starter
- #81
hatari ni kwamba ule uchafu wote uliopukutika ccm umeenda kujikusanya huko upinzani na unataka kurejea kwa gia hiyo...meningitis
Nimependa sana maoni yako ,nadhani hayakutawaliwa na jazba ya kisiasa,nadhani hoja zako zinaweza zikawa zimesukumwa na uzalendo.Taiafa letu limefika hapalilipo si kwa bahati mbaya,bali tatizo kubwa ni Uongozi.Naukisema uongozi CCMhaiwezi kwepa lawama.Tunaposema C.C.M.haijafanya kitu tunajaribu kujiananisha na wenzetu ambao mazingira yao yanafanana sana nasisi,lakini wenzetu wanapiga hatua.Mfano watu kama Ethiopia Walipata janga kubwa sana la njaa 1985 lakini sasa wanakwenda speed kubwa kimaendeleo sisi pamoja na wimbo wetu mzuri wa AMANI NA UTULIVU tunazidi kuwa masikini kila siku.Hatusemi ndani ya CCM hakuna watu wazuri wapo lakini ndani ya mfumo waCCM hawawezi fanya vizuri.
Mfano watu walikuwa na imani sana na pinda wakati anateuliwa kuwa waziri mkuu wakasema mtoto wa mkulima, hana makandokando na anachukia sana ufisadi.Katika misa yake ya shukrani kwa kuchaguliwa kuwa PM pale stPETER'S aliapa atafanya kila liwezekanalo kuondoa ufisadi.Siku 100 baada ya kukaa ofisini alipo ulizwa amefikia wapi na vita vyake vya ufisadi alisema hii vita ni ngumu sana na ukiingia kwa pupa nchi ita waka moto.Sina Tatizo na Magufuli lakini ndani ya CCM Hakuna kitu .tuungane wote watanzania Wenye nia njema Tuungane tuondoe CCM .Baada ya hapo tujenge mfumo bora .then tupate maendele😵BAMA aliwaambia wakenya Hamuwezi kupata Maendeleo ya Dhati kama hamtakua na Demokrasia ya kweli then utawala bora then Maendeleo.TUUNGANE PAMOJA TUIKOMBOE NCHI YETU.
..