meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
- Thread starter
-
- #21
Honestly tukiwachambua wagombea kwa sifa ya kuwa vizuri upstairs tutakuwa hatujamtendea haki mgombea flani ambaye hata mkewe atam-outsmart!Mpuuuuuuuzi tukuchague wewe basi urafiki wa watu unalihusu nini taifa tunaangalia kichwan km kuko salaaama broo vp ubongo naona umembonji
Ukweli unaitwa matusi siku hizi.Kwa taarifa yako ule upuuzi uliokuwa ukifanywa na wabunge wa ccm kwa kutumia wingi wao hatuko tayari kuuona. Na kwa bahati mbaya sana dalili zinaendelea hata kwenye kampeni hizi. Mbele ya Magufuli tumesikia maneno ya kipuuzi kabisa toka timu yake ya kampeni huku Magufuli akiwa kimya kabisa. Unakumbuka neni mgombea kujinyea? Upuuzi huo wa jukwaani na huku Magufuli akichekelea umeamsha makovu yetu ya jinsi wabunge wa ccm walivyokuwa kero na wasiojua wajibu wao.
Sasa ww leo unatuambia tumchague mtu anayeataka kuingia madarakani kwa kutumia kampeni za matusi, kisha wakienda bungeni waishie kuzomea na kutoa mipasho. Tutawapiga chini wote kwani tunajua tunaletewa uozo uleule kwa maneno matamu. Pole sana
kwani hujui kuwa kikwete alikuwa na majina yake mfukoni! sasa hilo makufuli liliibuka kutoka wapi! shirikisha ubongo kwenye maamzi!
Atakuwa Ana nufaika na CCM
Mwaka huu afe kipa afe bek
We mbaba #meningitis#
C tumesoma ila hatujaelewa
Usitulazimishe we subl kupiga kura au kama umetumwa kawaeleze hali ngum huku wananchi hawaelew alfu ktu kingne c hatuitaki CCM so kumponda lowassa peke yake haisaidii ata wangeweka mawe tungepigia kura #hakuna cha kubadl mfumo wala mfuko ndan ya CCM wote ni wale wale# bushit#
Chonde chonde ndugu yangu kidole na jicho. Kumbuka wanawake na watoto.
Tulia dogo uelimishwe!
Mbwembwe za matusi sio mahala pake hapa...hapa ni hoja ijibiwe kwa hoja.
nifuatilie unijue mimi kama ni mtu wa kutumwa au kusombwa na kelele!!
Wa kunielimisha utakuwa ww
Elimu niliyonayo inanitosha nielimishwe na failure ka ww???
Kk umepotea njia
We kama una maslah na CCM endelea nayo tena upite hivi
Magufuli ni mgombea binafsi
Mantain the focus while smokin dis weeder!!
Ukweli unaitwa matusi siku hizi.
Kumbuka hata aliyesema hayo jukwaani ni yule yule aliyeambatana na kuheshimiwa na EL pale Arusha.
Kujinyea sio tusi bali ni tatizo tu linalomkumba mtu mzima kutokana na ama ugonjwa au uoga!
We umekuwa???
Boyz to men??? Nimewajua kabla yako we c juz ndio umetoka kwa baba na mama yan unatuletea ctory za zaman hapa wawe boyz to men,men to boyz watajua wao....
Tutamchagua lowassa aingie ikulu
Jinsi unavyoandika unaonesha hata umri wa kupiga kura hujafikisha.