Elections 2015 Tusidanganyane !! Hapa tunachagua mtu wa kuibadilisha system

hatari ni kwamba ule uchafu wote uliopukutika ccm umeenda kujikusanya huko upinzani na unataka kurejea kwa gia hiyo...
..
 
Usije ukabadili ID tu.

Maana nnauhakika baada ya tarehe 25 ID nyingi humu zitayeyuka kama zilivyoyeyuka zile zilizokuwa zinamshambulia Lowassa alipokuwa CCM.
server ya Jf inazidi kujaa tu
 
Kwenye post uliyoninukuu hapo mwanzo, mimi sikuuliza. Nilitoa msimamo wangu. Wewe ndio umenialika. Sasa sijui unataka nini?
bado unaamini hawezi kuubadilisha mfumo??umeona vilio na kusaga meno kutoka kwa wale wale wa karibu??
 
bado unaamini hawezi kuubadilisha mfumo??umeona vilio na kusaga meno kutoka kwa wale wale wa karibu??

Hawezi kubadilisha mfumo hata siku moja. Vilio vya watu haina maana kuwa anabadilisha mfumo. Hata kichaa anaweza kuchukua rungu na kuwatandika watu na vilio vikasikika kila kona. Huko sio kubadilisha mfumo. Ni ugonjwa wa akili.

Na wewe akili zako kama za Koromije. Pumbavu sana. Nilifikiri najadiliana na mtu anayejitambua.
 
ni upi sasa muktadha wako wa "kubadili mfumo" hebu toa sifa za mfumo uliobadilika...matusi hayaui na hayasaidii...njoo na hoja tu.

Mimi nna akili kama "Nahum"
 
ni upi sasa muktadha wako wa "kubadili mfumo" hebu toa sifa za mfumo uliobadilika...matusi hayaui na hayasaidii...njoo na hoja tu.

Mimi nna akili kama "Nahum"
Mimi ningemwona angalau wa maana kidogo kama asingekubali kuwa Mwenyekiti wa chama. Ila alipokubali tu, nikazidi kumtoa maana.

Rais ndiye mtu mwenye mamlaka makubwa kwa mujibu wa katiba yetu. Mwenyekiti wa CCM asingekuwa Rais, anakuwa sawa na Wenyeviti wa vyama vingine. Ule urais ndiyo unampa nguvu Mwenyekiti wa CCM.

Na kama alivyojaribu kujipambanua wakati wa kampeni, tatizo la nchi hii ni CCM. Sasa mtu mwenye nia ya kubadili taifa hili anajifunga kwa chama kilichosababisha haya yote.

Angekuwa nje ya chama, angeweza kufanya mabadiliko kweli. Sasa ona hata mahakama ya ufisadi imedoda; naamini kwa kuwa makada wengi wa sasa na zamani ndiyo wangekuwa wateja. Na kuwashtaki hao kunamaanisha kwenda na wengi.
 
hapa nashindwa kukuelewa ina maana yeye kuwa mwenyekiti wa chama ndio anashindwa kuwawajibisha au ndio imekuwa kazi rahisi kuwawajibisha...
kumbuka mkakati wa kutenganisha hizi kofia mbili ulikuwa ni mkakati wa mafisadi
.
 
hapa nashindwa kukuelewa ina maana yeye kuwa mwenyekiti wa chama ndio anashindwa kuwawajibisha au ndio imekuwa kazi rahisi kuwawajibisha...
kumbuka mkakati wa kutenganisha hizi kofia mbili ulikuwa ni mkakati wa mafisadi
.
Anashindwa kuwawajibisha! Mafisadi ndiyo makada wenyewe, of course wakiongozwa na Magufuli mwenyewe, fisadi mwingine kutoka CCM. Kwa lugha nyingine ndani ya CCM nani ana uwezo wa 'kumfunga paka kengele?'
 
This all started with Bashite.....Just fire him how hard can it be? We love our President na tunamtakia kila la kheri....lakini BASHITE MUST GO!
 
This all started with Bashite.....Just fire him how hard can it be? We love our President na tunamtakia kila la kheri....lakini BASHITE MUST GO!
umesoma hii thread ilianzishwa lini?nadhani bado ulikuwa shuleni ambapo mlikuwa mnakatazwa kumiliki simu.by then tulishamjadili bashite,mange,gwajima na nahum moses
 
umesoma hii thread ilianzishwa lini?nadhani bado ulikuwa shuleni ambapo mlikuwa mnakatazwa kumiliki simu.by then tulishamjadili bashite,mange,gwajima na nahum moses
Uwiiii my bad but still.......point iko palepale!
 
Songa mbele askari wa mwamvuli mpaka system ibadilike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…