Tusidanganyane kwa Kiwango cha Vipers FC, Kiwango cha Wachezaji wa Uganda na Ubora wa Kocha Wao hata Simba SC nayo ingefungwa tu

Nachukiwa na wana Simba SC Wapumbavu na Mataahira kama akina rodrick alexander na tracebongo kwakuwa sina Desturi ya Unafiki kama Wao.
 
Wewe sio Simba ila Kwa kupenda sifa unajifanya ni mshabiki wa Simba, wanasimba tunajijua we mfate mwenzako Manara.
Mbona hivi sasa unakuwa Mpole na unatia sana Huruma? Jifananishe na Wapuuzi Wenzako na siyo Mimi GENTAMYCINE sawa?
 
Kusema kuwa nimeshiriki Ulozi logically hiyo Kwako Wewe damn Moron ndiyo Justification kuwa nimefanya Kweli? Nikisena huna Akili na nikiwa Nakudharau usiwe unachukia sawa?
 
Unanijua hadi nikiwa mpole au mkali unanitambua Leo umeingia choo Cha kike
Choo cha Kike kwa Uncircumcised Baboon kama Wewe?

Itaneni Wote na MImi nipo peke yangu ila hamtoniweza kwa Vita ya Maneno ambayo nina 'Doctorate' nayo sawa?
 
Kusema kuwa nimeshiriki Ulozi logically hiyo Kwako Wewe damn Moron ndiyo Justification kuwa nimefanya Kweli? Nikisena huna Akili na nikiwa Nakudharau usiwe unachukia sawa?
Ndio maana nikasema wewe na Manara hamna tofauti Kwa sababu mnabishana wenyewe Kwa wenyewe mnakana kauli zenu au unataka nilete nyuzi zako za kusifia uchawi halafu unajifanya una exposure
 
Makolo genta. Charming,charismatic, fela sijui fela kuti au mkubwa fela kumbe unaakili sana, hlo uliloongea ndo asili ya mtz og, ss ni watu wa zima moto na wala so watu wa mipango, nafikiri kuwa na makabila zaidi ya 125 zimechangia manake tuna mila na tamaduni zaidi ya 100 ukiongeza na uswahili, endapo Tanzania ingekua na makabila matatu tu wachaga, wakinga, wasukuma ( ntuzu ), Tungekua mbali sana makabila 122 yaliyobaki ndo yanayotuchelewesha, na ndani ya miaka 25 ijayo uchumi wote wa Tanzania utamilikiwa na makabila hayo matatu.
 

Fiston Mayele ataanza kuonekana Mchezaji wa Kawaida na Chukizo kwa wana Yanga SC wote​

Unataka Vita nami wakati Bando huna, Umesha Log Out JF na unategemea Bando la Shemeji yako

Naona hadi waliokuwa Wakikusaidia katika Vita ya Kunishambulia nao Wamekimbia (. Log Out ) na Kusalimu Amri kwa Jeshi la Mtu Mmoja GENTAMYCINE.

Ukitaka Vita nami ujipange hasa Ok?
 
Unatuvunjia heshima aisee! Hatujawahi kudharauliwa kiasi kama hiki kwa mkapa!....... tena utuombe radhi haswa!...... hasira zako zinakuja kuishia kuisema Simba vibaya! et!


Hivi nikuulize hao Vipers wamefika makundi Caf mara ngapi?
 
Yanga amezoea ushindi wa bahasha......

Simba angemkalisha viper mapema sana... yaani kweli ufike nusu fainali ya klabu Africa halafu ushindwe kumfunga viper?

Unaidharau Simba mkuu
Mpira hauko hivyo,kufika robo fainali ya CAF haitoi guarantee ya kuwafunga ambao hawakufika level hiyo,,kumbuka Simba msimu uliopita alifungwa na Prison ambaye sina hakika kama ameshawahi kushiriki kwenye michuano ya CAF
 
Akili yako zero kabisa, unafananisha yanga na simba!!! Jaribu kufukiri zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…