GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
ππππkuna muda namwona kama Mtoto wa Kike tu pia.
Na ndicho mnachokipenda! Siku akiandika msichokipenda, na ni cha kweli, hamuishi kumrushia maneno machafu! Mnapenda kusifiwa tu!Naunga mkono hoja
Unakaribishwa jangwani Mkuu ukiona huelewielewi
Hata kama umefika Robo Fainali ya CAFCL mara Nne bado ni Kazi bure ( Work done Zero ) kwa yule aliyefika Fainali ya CAFCC.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE yule aliyefika Fainali ya CAFCC ndiyo Mwanamume na Yule aliyefika Robo Fainali ya CAFCL namwona ni Mwanaume / Mtoto na kuna muda namwona kama Mtoto wa Kike tu pia.
Ukininunia GENTAMYCINE ambaye sifichi kusema Mimi ni mwana Simba SC lia lia kwa huu Uzi wangu jitahidi utafute Sumu ya Panya Unywe ili Ufe kabisa.
Yanga SC ndiyo Bingwa CAFCC 2023.
Gentamycine ww umetishaHata kama umefika Robo Fainali ya CAFCL mara Nne bado ni Kazi bure ( Work done Zero ) kwa yule aliyefika Fainali ya CAFCC.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE yule aliyefika Fainali ya CAFCC ndiyo Mwanamume na Yule aliyefika Robo Fainali ya CAFCL namwona ni Mwanaume / Mtoto na kuna muda namwona kama Mtoto wa Kike tu pia.
Ukininunia GENTAMYCINE ambaye sifichi kusema Mimi ni mwana Simba SC lia lia kwa huu Uzi wangu jitahidi utafute Sumu ya Panya Unywe ili Ufe kabisa.
Yanga SC ndiyo Bingwa CAFCC 2023.
Umetisha kwa kuwa ww ni mwanasimba lialia ila umeonesha uungwana kuweka tofauti kando na kufocus kwenye ukweliIla Siku nikiwakandia Yanga SC sitishi?
Ni kweli,genta hebu andika kuhusu huyu feitoto ni nini hasa kinamsumbua.?Hata kama umefika Robo Fainali ya CAFCL mara Nne bado ni Kazi bure ( Work done Zero ) kwa yule aliyefika Fainali ya CAFCC.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE yule aliyefika Fainali ya CAFCC ndiyo Mwanamume na Yule aliyefika Robo Fainali ya CAFCL namwona ni Mwanaume / Mtoto na kuna muda namwona kama Mtoto wa Kike tu pia.
Ukininunia GENTAMYCINE ambaye sifichi kusema Mimi ni mwana Simba SC lia lia kwa huu Uzi wangu jitahidi utafute Sumu ya Panya Unywe ili Ufe kabisa.
Yanga SC ndiyo Bingwa CAFCC 2023.