johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Kutaka na Kupewa ni Vitu viwili tofauti kabisa Bwashee 🐼Tunataka tume ya Warioba na mchakato wa katiba mpya.
Tunataka Free and Fair Elections.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutaka na Kupewa ni Vitu viwili tofauti kabisa Bwashee 🐼Tunataka tume ya Warioba na mchakato wa katiba mpya.
Tunataka Free and Fair Elections.
Tundu Lissu, ni msomi na anjua fika kuwa ni very unrealistic yeye kuja kuwa Rais wa JMTKimsingi Tundu Lissu asijidanganye kujipa matumaini ya kuwa eti siku moja atakuwa Rais wa Tanzania. ASIJIDANGANYE kabisa, maana tulikuwa na watu WAROPOKAJI na maarufu kuliko yeye na waliishia kuiona Ikulu wakiwa wanakatiza kwenye ferry au wakienda wizara ya elimu pale Magogoni. Mfano ni Christopher Mtikila, Agustino Lyatonga Mrema, Edward Lowassa, Maalim Seif Shariff Hamad etc
Sio wizi wa kura kwanza? Au nchi maana yake ni ccm kukaa madarakani kwa shuruti?Dola tulivu hulindwa kwa njia yoyote iwayo.....
Sudan hapakaliki.....
DRC ndiyo hivyo.....
Wabelgiji wale wa KONGO ya zamani leo wamekuja na mbinu mbadala.... DEMOKRASIA ya rafiki wa Brussels ndg.Tundu Lissu.....
Tanzania ndio "shockabsorber" ya utulivu wa maeneo yetu haya.....wameamua kutuingiza katika matatizo ili kuikomesha hiyo "shockabsorber"....
Demokrasia gani ya kuziingiza nchi katika matatizo makubwa na yenye gharama kubwa?!!
Tuwapuuze wajinga na wapumbavu.....
#Nchi Kwanza !!
Sasa uchaguzi wa Kikatiba ni uhalifu?!Ukisikia ubwege ni kama huu ulioandika.
Yaani unashindwa kujua kuwa katiba yetu inatamka wazi kuwa ni jukumu la kila raia kuzuia uhalifu unapoonekana ni dhahiri.
Wananchi wote wenye akili timamu na wazalendo wa kweli, tuungane kuzuia ushetani wa Mwenyekiti wa CCM na CCM.
Ndio uondoe ujinga wako wakusema Tanzania inaongozwa kwa misingi ya sheria chini ya katiba.Kutaka na Kupewa ni Vitu viwili tofauti kabisa Bwashee 🐼
Kama ni excuse kwanini CCM hawataki kusikia uundwaji wa tume huru ya uchaguzi na upatikanaji katiba mpya itakayoweka migawanyo kwenye mihimili ya utawala kuwa huru?wizi wa kura ni pambio la excuses , kama chama majimbo waliyoshinda hayafiki hata 50 % ya 1/3 ya viti vyote, ndyo unaamini urais alishinda pia? 😎
Ni kweli, rais wa Tanzania ni yule unayemtaka ww.Kimsingi Tundu Lissu asijidanganye kujipa matumaini ya kuwa eti siku moja atakuwa Rais wa Tanzania. ASIJIDANGANYE kabisa, maana tulikuwa na watu WAROPOKAJI na maarufu kuliko yeye na waliishia kuiona Ikulu wakiwa wanakatiza kwenye ferry au wakienda wizara ya elimu pale Magogoni. Mfano ni Christopher Mtikila, Agustino Lyatonga Mrema, Edward Lowassa, Maalim Seif Shariff Hamad etc
Mkapa na Magufuli ni watu wa low profile ndiyo maana walipata. Nchi hii wanaoutaka uRais sana huwa hawapati. Ndiyo hoja yanguHilo la Lisu kuwa Rais linawezekana kwa sababu Mkapa na Magufuli Hakunaga Mtu aliamini wangekuwa Marais 😄😄
Wapiga Kura wa Tanzania humchagua Mtu yoyote yule Ndio sababu Babu Tale yuko Bungeni
jitahidini kufanya kazi kwenye mazingira magumu ili mukomae kisiasaKama ni excuse kwanini CCM hawataki kusikia uundwaji wa tume huru ya uchaguzi na upatikanaji katiba mpya itakayoweka migawanyo kwenye mihimili ya utawala kuwa huru?
Uzuri ni DOLA iko makini kuilinda Katiba na hii siyo kwa Uhuni wa Wapinzani tu bali hata alipokufa Shujaa Magufuli CDF alihakikisha anailinda Katiba ya JMT ya 1977 na marekebisho yake 🐼Ndio uondoe ujinga wako wakusema Tanzania inaongozwa kwa misingi ya sheria chini ya katiba.
Katiba inarepiwa blatantly.
Unataka kusema hapa alijiibia?Uliamini Halima Mdee aliibiwa Kura Kawe? 😂😂😂
Kikwete aliutaka Urais na akaupata 😂Mkapa na Magufuli ni watu wa low profile ndiyo maana walipata. Nchi hii wanaoutaka uRais sana huwa hawapati. Ndiyo hoja yangu
Mifumo ya kidemokrasia ipo kuondoa hilo ombwe la mazingira magumu kila kitu kinakaa kwenye sehemu yake na mipaka inakuwepo.jitahidini kufanya kazi kwenye mazingira magumu ili mukomae kisiasa
Baada ya hapo akaenda kuapishwa na Ndugai 😀😀Unataka kusema hapa alijiibia?
Na kwanini shujaa uchwara alizima internet kuanzia siku ya uchaguzi hadi kuapishwa?
View attachment 3237149
Fear fools. Especially when they band together.Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa misingi ya Sheria Chini ya Katiba ya JMT
Tanzania haina kifungu cha Katiba wala Sheria kinachoruhusu MTU au Kikundi Cha Watu kuzuia Uchaguzi mkuu
Msikubali Kudanganywa Kibwege bwege
Ahsanteni sana 😄
Wananchi wote kugoma kwenda kupiga kura Oktoba 2025 kutokana na elimu wanayopata kutoka kwa viongozi wa Chadema hii tayari ni mbinu ya kuzuia uchaguzi . Ccm mnaweza kulazimisha ushindi kwa wizi wa kura lakini wananchi watakuwa hawamtambui rais na serikali.Pia jumuiya ya kimataifa itakuwa hawamtambui rais.Muda ni mwalimu mzuri na huu ni wakati wa Lissu.Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa misingi ya Sheria Chini ya Katiba ya JMT
Tanzania haina kifungu cha Katiba wala Sheria kinachoruhusu MTU au Kikundi Cha Watu kuzuia Uchaguzi mkuu
Msikubali Kudanganywa Kibwege bwege
Ahsanteni sana 😄
Ati wananchi wote duh ! nimecheka sana, wewe jamaa unaishi Bongo kweli ? Elimu gani ambayo wabongo unaweza kuwaschool na kuwafool kifala.Wananchi wote kugoma kwenda kupiga kura Oktoba 2025 kutokana na elimu wanayopata kutoka kwa viongozi wa Chadema hii tayari ni mbinu ya kuzuia uchaguzi . Ccm mnaweza kulazimisha ushindi kwa wizi wa kura lakini wananchi watakuwa hawamtambui rais na serikali.Pia jumuiya ya kimataifa itakuwa hawamtambui rais.Muda ni mwalimu mzuri na huu ni wakati wa Lissu.
Kwanza tume huru sio jambo la kuikalili tu,hiyo tume huru haigozwi na Malaika wa mbinguni wala Ummoja wa nchi za Ulaya au Marekani. Tume huru ni kundi la watu tena Watanzania wanaongoza taasisi ya serikali.Hakuna jambo jipya mpaka hapo.Hao wabunge wengi wanapatikanaje bila tume huru? Ndivyo mnavyojidanganya?