Ukishakuwa mwanaccm kwani unakuwa na akili basiKwani akina Lissu na Mbowe hawakuwahi kuwa Wabunge? Walishinda kwa Tume ipi?
Haya mabadiliko ya Sheria hufanyikia wapi?
Sasa CHADEMA inao Wabunge wa kubadili Sheria kwa sasa?!
Acheni akili za kijinga!
Mimi naona wewe ndiyo bwege la mwisho. Tanzania si ya kikundi Cha matapeli ya kijani. Tanzania ni ya watanzania. Watanzania wanayo haki ya kuzuia uchaguzi endapo wataona Kuna udanganyifu. Wajinga kama wewe ndiyo wanachelewesha maendeleo na reforms katika nchi yetu. Ni jinga peke Yake linaweza ona Kuna mazingira rafiki ya uchaguzi. Jinga kama wewe una faida Gani kwa nchi zaidi ya kufa uoze haraka wabaki werevu. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisaTanzania ni nchi inayoongozwa kwa misingi ya Sheria Chini ya Katiba ya JMT
Tanzania haina kifungu cha Katiba wala Sheria kinachoruhusu MTU au Kikundi Cha Watu kuzuia Uchaguzi mkuu
Msikubali Kudanganywa Kibwege bwege
Ahsanteni sana 😄
Mimi bado sijakuelewa kwani Tundu Lisu anataka Uraisi au anataka Tume huru ya uchaguzi. Kama alikuwa anataka uraisi si angeanzisha kikosi chake kama M23. Sote tumuunge mkono Lisu na CDM kuwe na tyme huru ya uchaguzi ili tupate viongozi halali wanaochaguliwa na wanachi hata kama watakuwa wa CCM.Kimsingi Tundu Lissu asijidanganye kujipa matumaini ya kuwa eti siku moja atakuwa Rais wa Tanzania. ASIJIDANGANYE kabisa, maana tulikuwa na watu WAROPOKAJI na maarufu kuliko yeye na waliishia kuiona Ikulu wakiwa wanakatiza kwenye ferry au wakienda wizara ya elimu pale Magogoni. Mfano ni Christopher Mtikila, Agustino Lyatonga Mrema, Edward Lowassa, Maalim Seif Shariff Hamad etc
Huyo kwa sasa ni malaya wa kisiasa ndio maana alivuliwa uanachama au hujui hilo?Baada ya hapo akaenda kuapishwa na Ndugai 😀😀
Serikali yetu ina Watu Wengi 🐼
Tundu Lissu amekuwa mbunge mara 2, kuanzia 201p-15 na 2015- 20. Je ni Tume gani ambayo ilimuwezesha kushinda??Mimi bado sijakuelewa kwani Tundu Lisu anataka Uraisi au anataka Tume huru ya uchaguzi. Kama alikuwa anataka uraisi si angeanzisha kikosi chake kama M23. Sote tumuunge mkono Lisu na CDM kuwe na tyme huru ya uchaguzi ili tupate viongozi halali wanaochaguliwa na wanachi hata kama watakuwa wa CCM.
Muda huu yupo bar hana akili kabisaNa wewe uneshindwa kumwelewa Lisu!!?hata clip ya dokta slaa pia ulishindwa kuielewa!!
Kule Monduli Kuna kiongozi wa mabaka pia alihamasisha wenzake kuhusu uchaguzi nayo hukuielewa!!?
Kifupi ni kwamba vyombo vya Dola havina msemaji wao kisiasa Kwa Sasa Lisu ndio anaweza kuwa speaker yao rasmi!!
Dola ndio hukipa chama dola kwa mbeleko ya uhalalishaji kupitia uchaguzi!Dola ikigawanyika nani apewe dola kunakua na vurugu na vurugu zitatishia uhai wa sisi ccm kushika dola!!!
Elewa!
Inamaana uoni tofauti kati ya tume ya uchaguzi ya kikwete kurudi nyuma na tume ya magufuli kwenda mbele watanzania tuache unafiki vipunje vya njegere visitutoe ufahamu wote.. Afadhali hata wakati mwingi kama una akili kidogo unakaa kimya tu. Ukitetea upumbavu hata hao wanaokutuma wanakuona boya wala hawezi kumpa mtu boya Cheo chochote kwa sababu wanajua atawaibisha ndiyo maana wakitaka viongozi wanakuja upinzani wana warubuni kisha wanna wapa vyeo nyie mnaachwa hivyo hivyo.Tundu Lissu amekuwa mbunge mara 2, kuanzia 201p-15 na 2015- 20. Je ni Tume gani ambayo ilimuwezesha kushinda??
Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa misingi ya Sheria Chini ya Katiba ya JMT
Tanzania haina kifungu cha Katiba wala Sheria kinachoruhusu MTU au Kikundi Cha Watu kuzuia Uchaguzi mkuu
Msikubali Kudanganywa Kibwege bwege
Ahsanteni sana 😄
Hakuna reform zozote no reform no election. Ni bora muendelee bila chaguzi hizo pesa zikasaidie dawa za ukwimwiReform zilishafanyika kupitia Kikosi Kazi Cha Prof Mkandara Wakati huo nyie Chadema mlikuwa mnalamba Asali ya Maridhiano 😀
Ukiambiwa uende porini unaweza wewe nyumbu!!?Umesikia M23 wako wapi now?
Gaddafi alikuwa na mawazo kama hayo Leo Yuko wapi?
Sio kila kitu cha kutake for granted
Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa misingi ya Sheria Chini ya Katiba ya JMT
Tanzania haina kifungu cha Katiba wala Sheria kinachoruhusu MTU au Kikundi Cha Watu kuzuia Uchaguzi mkuu
Msikubali Kudanganywa Kibwege bwege
Ahsanteni sana 😄
Sisi tutapiga kura wewe endelea na unyumbu wako!Hakuna reform zozote no reform no election. Ni bora muendelee bila chaguzi hizo pesa zikasaidie dawa za ukwimwi
Labda anapendwa huko Ubelgiji lakini siyo hapa TZ. Mwambie aitishe Maandamano ya vurugu tuone kama atapata wafuasi wakutosha wa kumuunga mkono!Kuna watu wapya wanaitwa Lissu na Heche. Mbowe hayupo jipangeni vizuri. Lissu anapedwa na kuaminika kuliko mwanasiasa yeyote kwa sasa. Mkichukilia poa powa itakula kwenu. Sheria zinaheshimika pale tu
Ambapo watekelezaji wanaziheshimu. Sasa sheria ziko wapi kwenye teka teka na wizi wa kura?Watanzania mnafikiri wana support Lissu kwa sababu gani hasa. Ni wajinga😂🤦🏾♂️
Ukiambiwa uende porini unaweza wewe nyumbu!!?
Mkuu Hao wabunge wanaenguliwa mapema hata kabla ya uchaguzi,, CCM wanapita Bila kupingwa,,au mwenzetu mgeni hapa nchini?...CHADEMA kama watu wasiokuwa na akili vile.
Badala ya kutafuta hoja zinazoweza kuwapa ajenda za maana na hatimaye kupata Wabunge wengi wanaoweza kwenda kuleta impact Bungeni kuelekea 2530!
"Mvuvi asiye na maarifa hajui kutumia upepo unaoweza kumsaidia kusukuma jahazi lake"!
CHADEMA Haina uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu 2025!
Ni lini nimewahi kuunga mkono uhayawani wa Magufuli? Hebu chukua time kusoma post zangu search "Stuxnet/ Magufuli" halafu uje urudi hapa.Inamaana uoni tofauti kati ya tume ya uchaguzi ya kikwete kurudi nyuma na tume ya magufuli kwenda mbele watanzania tuache unafiki vipunje vya njegere visitutoe ufahamu wote.. Afadhali hata wakati mwingi kama una akili kidogo unakaa kimya tu. Ukitetea upumbavu hata hao wanaokutuma wanakuona boya wala hawezi kumpa mtu boya Cheo chochote kwa sababu wanajua atawaibisha ndiyo maana wakitaka viongozi wanakuja upinzani wana warubuni kisha wanna wapa vyeo nyie mnaachwa hivyo hivyo.
Shithole!Ulisoma umri wa kujiunga jf?
Au unadhania hapa ni Badoo au fb