G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Ukishakuwa mwanaccm kwani unakuwa na akili basiKwani akina Lissu na Mbowe hawakuwahi kuwa Wabunge? Walishinda kwa Tume ipi?
Haya mabadiliko ya Sheria hufanyikia wapi?
Sasa CHADEMA inao Wabunge wa kubadili Sheria kwa sasa?!
Acheni akili za kijinga!