Shanily
JF-Expert Member
- Nov 4, 2024
- 856
- 1,662
Kizuri hakijifichi kinaonekana hata bila kulinganishwa.simba bila yanga hainogi na vise versa ukijua hilo hata hautahangaika! Unataka ujue uzi ni mkali kwa kuangalia au kulinganisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizuri hakijifichi kinaonekana hata bila kulinganishwa.simba bila yanga hainogi na vise versa ukijua hilo hata hautahangaika! Unataka ujue uzi ni mkali kwa kuangalia au kulinganisha?
Labda kukupa Mimba yangu Unizalie.Umetumwa..!
vp mkuu unaweza ukaniunganisha na wakuu wa taasisi hiyo uliyopo na mimi nikapata kazi hata ya kufyeka tu uwanja? (serious)Uganda nitatoka ama 2026 au 2028 au hata 2030 kutegemea na Baraka zake Mwenyezi Mungu ila Desemba nitakuwa Kijijini Musoma (Butiama) na April mwakani (2025) nitarejea Dar es Salaam na Mapinga Bagamoyo Mkoani Pwani kwa Likizo fupi kama ya Wiki Mbili hivi kisha narejea tena hapa Uganda ambako nafanya Kazi Kubwa na Muhimu ya Kuiheshimisha nchi yangu Mama ya Tanzania baada ya Mimi pia kupewa Heshima Kubwa sana ambayo sikuwahi hata Siku Moja kutegemea kama ningeipata. Ashukuriwe sana Mwenyezi Mungu.
jibu ni ndiyo tumehama kuna lingine mpenzi?Watu bhana, Simba blue ni ziada lakini nyeupe na nyekundu zipo. Sasa yanga imetoka kwenye Rangi zake kbsaa, njano hakuna sasa hvi Kuna gold. Kijani sio Ile ya asili. Ndo tunachouliza kwanini mmebadilisha Rangi za asili!??
jibu ni ndiyo tumehama kuna lingine mpenzi?Watu bhana, Simba blue ni ziada lakini nyeupe na nyekundu zipo. Sasa yanga imetoka kwenye Rangi zake kbsaa, njano hakuna sasa hvi Kuna gold. Kijani sio Ile ya asili. Ndo tunachouliza kwanini mmebadilisha Rangi za asili!??
Ndio Nauliza iyo rangi ya bluu imetoka wapi, ata kama ya ziada mbona haipo katika rangi za asili zitumiwazo na Simba!!Watu bhana, Simba blue ni ziada lakini nyeupe na nyekundu zipo. Sasa yanga imetoka kwenye Rangi zake kbsaa, njano hakuna sasa hvi Kuna gold. Kijani sio Ile ya asili. Ndo tunachouliza kwanini mmebadilisha Rangi za asili!??
ili uone kama umefanikiwa lazma ufanye comparison acha utaahira.Kizuri hakijifichi kinaonekana hata bila kulinganishwa.
Umeanza kuifanya kazi yako unayoijua vema. Halafu baadaye ujiite ni mnazi wa Simba. Hamia huko Yanga faster. Haya tangu Barbara aondoshwe kwa kumsagia kunguni, Simba imechukua vikombe vingapi vya ligi na CAFSijazoea Unafiki na najua kwa huu Ukweli wangu nitachukiwa mno na wasiopenda Ukweli na Wadau wa Unafiki.
Yanga SC wametuzidi Simba SC kwa Jezi nzuri katika Michuano ya Kimataifa inayoenda kuanza hivi karibuni.
Hakuna ulazima wa kutumia rangi zile zile kila sikuWatu bhana, Simba blue ni ziada lakini nyeupe na nyekundu zipo. Sasa yanga imetoka kwenye Rangi zake kbsaa, njano hakuna sasa hvi Kuna gold. Kijani sio Ile ya asili. Ndo tunachouliza kwanini mmebadilisha Rangi za asili!??
Hivi unajua kuwa nakujua A to Z kuwa upo TISS na hata Mimi pia unanijua Z to A? Huku nilipo hakuna Mapori ya Kufyeka.vp mkuu unaweza ukaniunganisha na wakuu wa taasisi hiyo uliyopo na mimi nikapata kazi hata ya kufyeka tu uwanja? (serious)
Liangalie 'Juha' hili.Uzuri jezi hazichezi mpira
Umeulizwa?Binafsi si muimini wa jezi kuwa na mambo mengi.
Kwa hiyo hata lile zigo la kichina la yule model wenu hujalielewa.Sijazoea Unafiki na najua kwa huu Ukweli wangu nitachukiwa mno na wasiopenda Ukweli na Wadau wa Unafiki.
Yanga SC wametuzidi Simba SC kwa Jezi nzuri katika Michuano ya Kimataifa inayoenda kuanza hivi karibuni.
Ndiyo Uzuri wa yanga ni kwamba hawakariri kama matimu mengine kwenye swala la rangi wako kivyao vyao wao wanacho angalia mashabiki wanataka nini.Hakuna ulazima wa kutumia rangi zile zile kila siku
Na wewe waambie Mods wanifute kabisa.Ongeza nyingine tafadhali.
Kuchunga mifugo umeacha?Uganda nitatoka ama 2026 au 2028 au hata 2030 kutegemea na Baraka zake Mwenyezi Mungu ila Desemba nitakuwa Kijijini Musoma (Butiama) na April mwakani (2025) nitarejea Dar es Salaam na Mapinga Bagamoyo Mkoani Pwani kwa Likizo fupi kama ya Wiki Mbili hivi kisha narejea tena hapa Uganda ambako nafanya Kazi Kubwa na Muhimu ya Kuiheshimisha nchi yangu Mama ya Tanzania baada ya Mimi pia kupewa Heshima Kubwa sana ambayo sikuwahi hata Siku Moja kutegemea kama ningeipata. Ashukuriwe sana Mwenyezi Mungu.
hahahaha! mimi sio TISS kama wengi wanavyonidhania bali ni Gen Z wa kibongo niliyepigwa na maisha. msalimie mseven mwambie nami nipo mbioni kuja huko uganda kumfuatilia streika hatari kutoka hapo nchini kwake aje kumuongezea nguvu Prince M Dube.Hivi unajua kuwa nakujua A to Z kuwa upo TISS na hata Mimi pia unanijua Z to A? Huku nilipo hakuna Mapori ya Kufyeka.