Tusifunge mjadala, Mshahara wa Mbunge kwa mwezi ni 12,892,000

Tusifunge mjadala, Mshahara wa Mbunge kwa mwezi ni 12,892,000

Na Thadei Ole Mushi

Kuna Msaidizi mmoja wa Mbunge Kanitumia document hizi ili kufanya Clarification zaidi kwa jamii kuhusu Mishahara ya Mbunge.

Twende sawa hapa.

1. Mbunge hulipwa mshahara kwenye scale ya LSS (P) 2 ambayo mshahara wake ni Shilingi 4,600,000.

2. Atalipwa posho ambazo kwa Mwezi hufikia Shilingi 8,292,000 katika mchang'anuo ufuatao.

✓ Atalipwa posho Kwa ajili ya mafuta ya gari yake Shilingi 3,750,000.

✓Atalipwa Posho Kwa ajili ya Matengenezo ya Gari yake Shilingi 1,500,000.

✓Atalipwa Posho inayoitwa (Posho ya Mbunge na matumizi mengine jimboni) Shilingi 1,000,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu ya siku 10 kama atajisikia kwenda Jimboni Shilingi 450,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu kwa Wasaidizi wake watatu Kwa siku kumi atakazokuwa jimboni Shilingi 900,000 hapa kama atajisikia kwenda Jimboni au kwa mchepuko Dar [emoji23]

✓ Atalipwa Posho ya watumishi watatu kama atajisikia kuajiri (Mhudumu wa Ofisi yake, Katibu wake, na Dereva) katika mchang'anuo ufuatao.

Katibu wake Shilingi 352,000 Mhudumu 170,000, Dereva 170,000. Jumla Shilingi 692,000. Hapa ni kama atajisikia kuajiri sio lazima.

Jumla ya Fedha zote zinafika Shilingi 12,892,000.Fedha hizi zote zinaingia kwenye account yake Mbunge.

Ukiwahoji wanasema mshahara wao unabeba Mishahara ya wasaidizi wao ndio maana unaonekana mkubwa. Kwenye huo mshahara na posho zake ukitoa Mishahara ya wasaidizi watatu niliokutajia hapo juu anabakia na Shilingi 12,200,000. Hapa atakuwa ameshalipa Watumishi wake watatu wote Stahiki zao kama atakuwa kawaajiri kweli.

Na ninyi ni mashahaidi Hawa watu hawana Watumishi ambao ni wasaidizi wao ni wachache Sana ambao wanao.

Mtumishi mwingine wa Umma analipwa Mshahara wake wa Laki Tano ambao atatengenezea pikipiki yake, ataweka mafuta pikipiki yake, atalipia House Girl wake na atalipia ada watoto wake.

Hii sio sawa hizi Posho ni nyingi mno zinapaswa kupunguzwa. Wananchi wanapaswa kufahamu anacholipwa Mbunge wake na alinganishe na Kazi anayoifanya.

Qualification ya kuwa Mbunge Kujua Kusoma na Kuandika.

Share na wananchi wa majimbo Mengine... Ushahidi huo hapo.
Mi nadhani wangelipwa kipindi tu cha mikutano maana pasipo mikutano ya bunge mbunge anafanya kazi gani zinazompa stahiki hizo?
Mfanyakazi wa umma anafanya kazi masaa 8 kila siku na average ya mshahara kwa siku ni shilingi 22,000-46,000 kwa ofisa na daktari huku mbunge ( hata asiyesoma) akilipwa shilingi 409,700 kwa siku ikiwa ni mara 20 na 10 kwa ofisa na daktari anaefanya kazi saa 8 kila siku.
This is totaly not equitable.
 
Hivi mmerogwa? Si umetuonyesha scale na mshahara wa mbunge sasa posho zinakuwaje mshahara?
Labda afute neno mshahara na badala yake aweke neno kipato Cha Mbunge kwa mwezi kutokana na ubunge wake hata hivyo maana itabaki pale pale kuwa wao wanapata kikubwa kuliko wengine na hawakatwi kodi Kama wengine
 
Na Thadei Ole Mushi

Kuna Msaidizi mmoja wa Mbunge Kanitumia document hizi ili kufanya Clarification zaidi kwa jamii kuhusu Mishahara ya Mbunge.

Twende sawa hapa.

1. Mbunge hulipwa mshahara kwenye scale ya LSS (P) 2 ambayo mshahara wake ni Shilingi 4,600,000.

2. Atalipwa posho ambazo kwa Mwezi hufikia Shilingi 8,292,000 katika mchang'anuo ufuatao.

✓ Atalipwa posho Kwa ajili ya mafuta ya gari yake Shilingi 3,750,000.

✓Atalipwa Posho Kwa ajili ya Matengenezo ya Gari yake Shilingi 1,500,000.

✓Atalipwa Posho inayoitwa (Posho ya Mbunge na matumizi mengine jimboni) Shilingi 1,000,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu ya siku 10 kama atajisikia kwenda Jimboni Shilingi 450,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu kwa Wasaidizi wake watatu Kwa siku kumi atakazokuwa jimboni Shilingi 900,000 hapa kama atajisikia kwenda Jimboni au kwa mchepuko Dar [emoji23]

✓ Atalipwa Posho ya watumishi watatu kama atajisikia kuajiri (Mhudumu wa Ofisi yake, Katibu wake, na Dereva) katika mchang'anuo ufuatao.

Katibu wake Shilingi 352,000 Mhudumu 170,000, Dereva 170,000. Jumla Shilingi 692,000. Hapa ni kama atajisikia kuajiri sio lazima.

Jumla ya Fedha zote zinafika Shilingi 12,892,000.Fedha hizi zote zinaingia kwenye account yake Mbunge.

Ukiwahoji wanasema mshahara wao unabeba Mishahara ya wasaidizi wao ndio maana unaonekana mkubwa. Kwenye huo mshahara na posho zake ukitoa Mishahara ya wasaidizi watatu niliokutajia hapo juu anabakia na Shilingi 12,200,000. Hapa atakuwa ameshalipa Watumishi wake watatu wote Stahiki zao kama atakuwa kawaajiri kweli.

Na ninyi ni mashahaidi Hawa watu hawana Watumishi ambao ni wasaidizi wao ni wachache Sana ambao wanao.

Mtumishi mwingine wa Umma analipwa Mshahara wake wa Laki Tano ambao atatengenezea pikipiki yake, ataweka mafuta pikipiki yake, atalipia House Girl wake na atalipia ada watoto wake.

Hii sio sawa hizi Posho ni nyingi mno zinapaswa kupunguzwa. Wananchi wanapaswa kufahamu anacholipwa Mbunge wake na alinganishe na Kazi anayoifanya.

Qualification ya kuwa Mbunge Kujua Kusoma na Kuandika.

Share na wananchi wa majimbo Mengine... Ushahidi huo hapo.
Nafurahi umelileta hili suala la mishahara ya wabunge kwa mjadala.
Kwenye kipindi cha Cyberlaunge kilichokuwa kinajadili kitabu chake alichokizindua juzi Tundu Lissu aliulizwa swali na Dr Lwaitama kuhusu mishahara ya wabunge. Jibu alilolitoa ni kama ilivyoelezwa hapa yaani mishahara ya watumishi na matumizi mengine ya kiofisi yamewekwa humo ndiyo maana inaonekana mikubwa. Ninamheshimu sana Tundu Lissu kutokana na msimamo wake juu ya masuala mbalimbali lakini kwa hili lazima nikiri tuko mithili ya usiku na mchana. Yeye anasema badala ya Watanzania kulalamikia mishahara ya wabunge wailalamikie serikali iwaongezee mishahara watumishi wengine ili ifanane na ya wabunge. Swali langu ni kwa uchumi gani? Hebu fikiria madaktari na walimu na kada zingine zenye majukumu muhimu ya kitaifa wangelipwa kiasi hicho hela hiyo ingetoka wapi? Na je kuna uhalali gani wa mbunge aliyetumikia nchi kwa miaka 5 kulipwa million 200 na daktari aliyetumikia kwa miaka 30 kulipwa sehemu tu ya kiasi hicho tena wakati mwingine kwa kuchelewa? Inapofika hapo mimi huwa nachelea na kujiuliza hivi hao wanaoonekana kutetea wananchi wanafanya hivyo kwa maslahi ya wananchi kweli ama maslahi yao ya mrefu na mfupi?
 
Hivi mmerogwa? Si umetuonyesha scale na mshahara wa mbunge sasa posho zinakuwaje mshahara?
Wewe acha ubwege. Wamezichomoa kwenye mshahara,wakazipachika kwenye maposho posho kama hayo,ili mjinga kama wewe usishtukie (ndio kama hivi kweli umelala bado). Waambie wampatie na mwalimu na nesi na doctor maposho posho kama hayo na kisha mshahara. Maana hao wana kazi kubwa kuliko hayo mandiooooo
 
Wewe acha ubwege. Wamezichomoa kwenye mshahara,wakazipachika kwenye maposho posho kama hayo,ili mjinga kama wewe usishtukie (ndio kama hivi kweli umelala bado). Waambie wampatie na mwalimu na nesi na doctor maposho posho kama hayo na kisha mshahara. Maana hao wana kazi kubwa kuliko hayo mandiooooo
Ficha upumbavu wako- sasa kama imechomolewa wewe bado unaendelea kuzungusha-si ndio wehu huo.
 
Ndio maana issue ya mishahara ilipwe kodi wanaweza wakasema sawa na wakashusha mishahara hadi elfu 50 kwa mwezi alafu kisiri siri bila kujua wakaongeza posho kwa milioni kadhaa...

Hawa jamaa hata idadi yao tu ni kansa kwa taifa....
 
Na Thadei Ole Mushi

Kuna Msaidizi mmoja wa Mbunge Kanitumia document hizi ili kufanya Clarification zaidi kwa jamii kuhusu Mishahara ya Mbunge.

Twende sawa hapa.

1. Mbunge hulipwa mshahara kwenye scale ya LSS (P) 2 ambayo mshahara wake ni Shilingi 4,600,000.

2. Atalipwa posho ambazo kwa Mwezi hufikia Shilingi 8,292,000 katika mchang'anuo ufuatao.

✓ Atalipwa posho Kwa ajili ya mafuta ya gari yake Shilingi 3,750,000.

✓Atalipwa Posho Kwa ajili ya Matengenezo ya Gari yake Shilingi 1,500,000.

✓Atalipwa Posho inayoitwa (Posho ya Mbunge na matumizi mengine jimboni) Shilingi 1,000,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu ya siku 10 kama atajisikia kwenda Jimboni Shilingi 450,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu kwa Wasaidizi wake watatu Kwa siku kumi atakazokuwa jimboni Shilingi 900,000 hapa kama atajisikia kwenda Jimboni au kwa mchepuko Dar [emoji23]

✓ Atalipwa Posho ya watumishi watatu kama atajisikia kuajiri (Mhudumu wa Ofisi yake, Katibu wake, na Dereva) katika mchang'anuo ufuatao.

Katibu wake Shilingi 352,000 Mhudumu 170,000, Dereva 170,000. Jumla Shilingi 692,000. Hapa ni kama atajisikia kuajiri sio lazima.

Jumla ya Fedha zote zinafika Shilingi 12,892,000.Fedha hizi zote zinaingia kwenye account yake Mbunge.

Ukiwahoji wanasema mshahara wao unabeba Mishahara ya wasaidizi wao ndio maana unaonekana mkubwa. Kwenye huo mshahara na posho zake ukitoa Mishahara ya wasaidizi watatu niliokutajia hapo juu anabakia na Shilingi 12,200,000. Hapa atakuwa ameshalipa Watumishi wake watatu wote Stahiki zao kama atakuwa kawaajiri kweli.

Na ninyi ni mashahaidi Hawa watu hawana Watumishi ambao ni wasaidizi wao ni wachache Sana ambao wanao.

Mtumishi mwingine wa Umma analipwa Mshahara wake wa Laki Tano ambao atatengenezea pikipiki yake, ataweka mafuta pikipiki yake, atalipia House Girl wake na atalipia ada watoto wake.

Hii sio sawa hizi Posho ni nyingi mno zinapaswa kupunguzwa. Wananchi wanapaswa kufahamu anacholipwa Mbunge wake na alinganishe na Kazi anayoifanya.

Qualification ya kuwa Mbunge Kujua Kusoma na Kuandika.

Share na wananchi wa majimbo Mengine... Ushahidi huo hapo.
Nasimamamia hoja ya kwamba Mshahara ni 4,600,000/=. Unless hatujui maana ya "mshahara" ndio inakuwa 12,892,000/=.
 
Nafurahi umelileta hili suala la mishahara ya wabunge kwa mjadala.
Kwenye kipindi cha Cyberlaunge kilichokuwa kinajadili kitabu chake alichokizindua juzi Tundu Lissu aliulizwa swali na Dr Lwaitama kuhusu mishahara ya wabunge. Jibu alilolitoa ni kama ilivyoelezwa hapa yaani mishahara ya watumishi na matumizi mengine ya kiofisi yamewekwa humo ndiyo maana inaonekana mikubwa. Ninamheshimu sana Tundu Lissu kutokana na msimamo wake juu ya masuala mbalimbali lakini kwa hili lazima nikiri tuko mithili ya usiku na mchana. Yeye anasema badala ya Watanzania kulalamikia mishahara ya wabunge wailalamikie serikali iwaongezee mishahara watumishi wengine ili ifanane na ya wabunge. Swali langu ni kwa uchumi gani? Hebu fikiria madaktari na walimu na kada zingine zenye majukumu muhimu ya kitaifa wangelipwa kiasi hicho hela hiyo ingetoka wapi? Na je kuna uhalali gani wa mbunge aliyetumikia nchi kwa miaka 5 kulipwa million 200 na daktari aliyetumikia kwa miaka 30 kulipwa sehemu tu ya kiasi hicho tena wakati mwingine kwa kuchelewa? Inapofika hapo mimi huwa nachelea na kujiuliza hivi hao wanaoonekana kutetea wananchi wanafanya hivyo kwa maslahi ya wananchi kweli ama maslahi yao ya mrefu na mfupi?
Nyongeza tu ni kwamba mbunge baada ya miaka 5 anapewa hizo mil.200+ wakati hakuwa nakatwa PSSF wakati mwalimu, daktari na watumishi wengine wanalipwa kiinua mgongo kinachotokana na makato ya PSSF
 
Back
Top Bottom