Tusifunge mjadala, Mshahara wa Mbunge kwa mwezi ni 12,892,000

Tusifunge mjadala, Mshahara wa Mbunge kwa mwezi ni 12,892,000

Aisee wakati Mimi nakimbizana na laki 8 na mavikao kibao na usumbufu wa kutumwatumwa kila muda na wakuu wa idara

Bora kujiajiri aiseee haya majamaa halafu kila miaka 5 yanalipwa million zaidi ya 200

Na mikopo wakati wa kuingia bungeni kila miaka 5.
Heheheh kujiajiri sio kazi rahisi unaweza ukatamani bora ungeendelea kutumwa tu
 
Na Thadei Ole Mushi

Kuna Msaidizi mmoja wa Mbunge Kanitumia document hizi ili kufanya Clarification zaidi kwa jamii kuhusu Mishahara ya Mbunge.

Twende sawa hapa.

1. Mbunge hulipwa mshahara kwenye scale ya LSS (P) 2 ambayo mshahara wake ni Shilingi 4,600,000.

2. Atalipwa posho ambazo kwa Mwezi hufikia Shilingi 8,292,000 katika mchang'anuo ufuatao.

✓ Atalipwa posho Kwa ajili ya mafuta ya gari yake Shilingi 3,750,000.

✓Atalipwa Posho Kwa ajili ya Matengenezo ya Gari yake Shilingi 1,500,000.

✓Atalipwa Posho inayoitwa (Posho ya Mbunge na matumizi mengine jimboni) Shilingi 1,000,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu ya siku 10 kama atajisikia kwenda Jimboni Shilingi 450,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu kwa Wasaidizi wake watatu Kwa siku kumi atakazokuwa jimboni Shilingi 900,000 hapa kama atajisikia kwenda Jimboni au kwa mchepuko Dar [emoji23]

✓ Atalipwa Posho ya watumishi watatu kama atajisikia kuajiri (Mhudumu wa Ofisi yake, Katibu wake, na Dereva) katika mchang'anuo ufuatao.

Katibu wake Shilingi 352,000 Mhudumu 170,000, Dereva 170,000. Jumla Shilingi 692,000. Hapa ni kama atajisikia kuajiri sio lazima.

Jumla ya Fedha zote zinafika Shilingi 12,892,000.Fedha hizi zote zinaingia kwenye account yake Mbunge.

Ukiwahoji wanasema mshahara wao unabeba Mishahara ya wasaidizi wao ndio maana unaonekana mkubwa. Kwenye huo mshahara na posho zake ukitoa Mishahara ya wasaidizi watatu niliokutajia hapo juu anabakia na Shilingi 12,200,000. Hapa atakuwa ameshalipa Watumishi wake watatu wote Stahiki zao kama atakuwa kawaajiri kweli.

Na ninyi ni mashahaidi Hawa watu hawana Watumishi ambao ni wasaidizi wao ni wachache Sana ambao wanao.

Mtumishi mwingine wa Umma analipwa Mshahara wake wa Laki Tano ambao atatengenezea pikipiki yake, ataweka mafuta pikipiki yake, atalipia House Girl wake na atalipia ada watoto wake.

Hii sio sawa hizi Posho ni nyingi mno zinapaswa kupunguzwa. Wananchi wanapaswa kufahamu anacholipwa Mbunge wake na alinganishe na Kazi anayoifanya.

Qualification ya kuwa Mbunge Kujua Kusoma na Kuandika.

Share na wananchi wa majimbo Mengine... Ushahidi huo hapo.
Sawa mi kama mjasiliali sioni kama ni helanyingi ni kuwa vile tuna uchumi mbovu.

Lakini kama bunge limeshindwa kuisimamia serekali kuingua u humu misses Mishahara yao ipungue tu

Tutumie economic growth index ku rationalize Mishahara. Uchumi ukipanda automatically Mishahara ya watumishi na wabunge inaongezeka, uchumi ukishuka hivyo hivyo,

Kuwe na flactuation of salaried as per economic growth index

Hata kwa Raisi na cabinet Ili watu wauguze vichwa kupandisha uchumi
Tuache mazoea tuwe creative

Huenda tukitumia mfumo huu miaka 5 tutakuwa sawa na china
 
Na Thadei Ole Mushi

Kuna Msaidizi mmoja wa Mbunge Kanitumia document hizi ili kufanya Clarification zaidi kwa jamii kuhusu Mishahara ya Mbunge.

Twende sawa hapa.

1. Mbunge hulipwa mshahara kwenye scale ya LSS (P) 2 ambayo mshahara wake ni Shilingi 4,600,000.

2. Atalipwa posho ambazo kwa Mwezi hufikia Shilingi 8,292,000 katika mchang'anuo ufuatao.

✓ Atalipwa posho Kwa ajili ya mafuta ya gari yake Shilingi 3,750,000.

✓Atalipwa Posho Kwa ajili ya Matengenezo ya Gari yake Shilingi 1,500,000.

✓Atalipwa Posho inayoitwa (Posho ya Mbunge na matumizi mengine jimboni) Shilingi 1,000,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu ya siku 10 kama atajisikia kwenda Jimboni Shilingi 450,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu kwa Wasaidizi wake watatu Kwa siku kumi atakazokuwa jimboni Shilingi 900,000 hapa kama atajisikia kwenda Jimboni au kwa mchepuko Dar [emoji23]

✓ Atalipwa Posho ya watumishi watatu kama atajisikia kuajiri (Mhudumu wa Ofisi yake, Katibu wake, na Dereva) katika mchang'anuo ufuatao.

Katibu wake Shilingi 352,000 Mhudumu 170,000, Dereva 170,000. Jumla Shilingi 692,000. Hapa ni kama atajisikia kuajiri sio lazima.

Jumla ya Fedha zote zinafika Shilingi 12,892,000.Fedha hizi zote zinaingia kwenye account yake Mbunge.

Ukiwahoji wanasema mshahara wao unabeba Mishahara ya wasaidizi wao ndio maana unaonekana mkubwa. Kwenye huo mshahara na posho zake ukitoa Mishahara ya wasaidizi watatu niliokutajia hapo juu anabakia na Shilingi 12,200,000. Hapa atakuwa ameshalipa Watumishi wake watatu wote Stahiki zao kama atakuwa kawaajiri kweli.

Na ninyi ni mashahaidi Hawa watu hawana Watumishi ambao ni wasaidizi wao ni wachache Sana ambao wanao.

Mtumishi mwingine wa Umma analipwa Mshahara wake wa Laki Tano ambao atatengenezea pikipiki yake, ataweka mafuta pikipiki yake, atalipia House Girl wake na atalipia ada watoto wake.

Hii sio sawa hizi Posho ni nyingi mno zinapaswa kupunguzwa. Wananchi wanapaswa kufahamu anacholipwa Mbunge wake na alinganishe na Kazi anayoifanya.

Qualification ya kuwa Mbunge Kujua Kusoma na Kuandika.

Share na wananchi wa majimbo Mengine... Ushahidi huo hapo.
Wewe ni kenge kabisa! Unakubaliana na hao majinga?
 
Yn kwamba mbunge ataamua kwenda jimboni kwake au la.! Yn kwamba kwa wakati huo anakuwa anaishi wapi mpaka kwenda jimboni kwake iwe ni option.?
Inamaana kumbe kuwa mbunge wa mahali flani sio lazima uwe ni mkazi wa kudumu wa jimbo husika.?
 
Mm naona mshahara mdogo sana .Nachopinga ni utendaji wao siridhiki nao hii inaanzia kusema kigezo kusoma na kuandika
 
Back
Top Bottom