Tusifunge mjadala, Mshahara wa Mbunge kwa mwezi ni 12,892,000

Tusifunge mjadala, Mshahara wa Mbunge kwa mwezi ni 12,892,000

Hawalipi kodi hata senti moja eti wao ni waheshimiwa!!!
Na Thadei Ole Mushi

Kuna Msaidizi mmoja wa Mbunge Kanitumia document hizi ili kufanya Clarification zaidi kwa jamii kuhusu Mishahara ya Mbunge.

Twende sawa hapa.

1. Mbunge hulipwa mshahara kwenye scale ya LSS (P) 2 ambayo mshahara wake ni Shilingi 4,600,000.

2. Atalipwa posho ambazo kwa Mwezi hufikia Shilingi 8,292,000 katika mchang'anuo ufuatao.

✓ Atalipwa posho Kwa ajili ya mafuta ya gari yake Shilingi 3,750,000.

✓Atalipwa Posho Kwa ajili ya Matengenezo ya Gari yake Shilingi 1,500,000.

✓Atalipwa Posho inayoitwa (Posho ya Mbunge na matumizi mengine jimboni) Shilingi 1,000,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu ya siku 10 kama atajisikia kwenda Jimboni Shilingi 450,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu kwa Wasaidizi wake watatu Kwa siku kumi atakazokuwa jimboni Shilingi 900,000 hapa kama atajisikia kwenda Jimboni au kwa mchepuko Dar [emoji23]

✓ Atalipwa Posho ya watumishi watatu kama atajisikia kuajiri (Mhudumu wa Ofisi yake, Katibu wake, na Dereva) katika mchang'anuo ufuatao.

Katibu wake Shilingi 352,000 Mhudumu 170,000, Dereva 170,000. Jumla Shilingi 692,000. Hapa ni kama atajisikia kuajiri sio lazima.

Jumla ya Fedha zote zinafika Shilingi 12,892,000.Fedha hizi zote zinaingia kwenye account yake Mbunge.

Ukiwahoji wanasema mshahara wao unabeba Mishahara ya wasaidizi wao ndio maana unaonekana mkubwa. Kwenye huo mshahara na posho zake ukitoa Mishahara ya wasaidizi watatu niliokutajia hapo juu anabakia na Shilingi 12,200,000. Hapa atakuwa ameshalipa Watumishi wake watatu wote Stahiki zao kama atakuwa kawaajiri kweli.

Na ninyi ni mashahaidi Hawa watu hawana Watumishi ambao ni wasaidizi wao ni wachache Sana ambao wanao.

Mtumishi mwingine wa Umma analipwa Mshahara wake wa Laki Tano ambao atatengenezea pikipiki yake, ataweka mafuta pikipiki yake, atalipia House Girl wake na atalipia ada watoto wake.

Hii sio sawa hizi Posho ni nyingi mno zinapaswa kupunguzwa. Wananchi wanapaswa kufahamu anacholipwa Mbunge wake na alinganishe na Kazi anayoifanya.

Qualification ya kuwa Mbunge Kujua Kusoma na Kuandika.

Share na wananchi wa majimbo Mengine... Ushahidi huo hapo.
 
Wanazidi jeuri na viburi.
Na Thadei Ole Mushi

Kuna Msaidizi mmoja wa Mbunge Kanitumia document hizi ili kufanya Clarification zaidi kwa jamii kuhusu Mishahara ya Mbunge.

Twende sawa hapa.

1. Mbunge hulipwa mshahara kwenye scale ya LSS (P) 2 ambayo mshahara wake ni Shilingi 4,600,000.

2. Atalipwa posho ambazo kwa Mwezi hufikia Shilingi 8,292,000 katika mchang'anuo ufuatao.

✓ Atalipwa posho Kwa ajili ya mafuta ya gari yake Shilingi 3,750,000.

✓Atalipwa Posho Kwa ajili ya Matengenezo ya Gari yake Shilingi 1,500,000.

✓Atalipwa Posho inayoitwa (Posho ya Mbunge na matumizi mengine jimboni) Shilingi 1,000,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu ya siku 10 kama atajisikia kwenda Jimboni Shilingi 450,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu kwa Wasaidizi wake watatu Kwa siku kumi atakazokuwa jimboni Shilingi 900,000 hapa kama atajisikia kwenda Jimboni au kwa mchepuko Dar [emoji23]

✓ Atalipwa Posho ya watumishi watatu kama atajisikia kuajiri (Mhudumu wa Ofisi yake, Katibu wake, na Dereva) katika mchang'anuo ufuatao.

Katibu wake Shilingi 352,000 Mhudumu 170,000, Dereva 170,000. Jumla Shilingi 692,000. Hapa ni kama atajisikia kuajiri sio lazima.

Jumla ya Fedha zote zinafika Shilingi 12,892,000.Fedha hizi zote zinaingia kwenye account yake Mbunge.

Ukiwahoji wanasema mshahara wao unabeba Mishahara ya wasaidizi wao ndio maana unaonekana mkubwa. Kwenye huo mshahara na posho zake ukitoa Mishahara ya wasaidizi watatu niliokutajia hapo juu anabakia na Shilingi 12,200,000. Hapa atakuwa ameshalipa Watumishi wake watatu wote Stahiki zao kama atakuwa kawaajiri kweli.

Na ninyi ni mashahaidi Hawa watu hawana Watumishi ambao ni wasaidizi wao ni wachache Sana ambao wanao.

Mtumishi mwingine wa Umma analipwa Mshahara wake wa Laki Tano ambao atatengenezea pikipiki yake, ataweka mafuta pikipiki yake, atalipia House Girl wake na atalipia ada watoto wake.

Hii sio sawa hizi Posho ni nyingi mno zinapaswa kupunguzwa. Wananchi wanapaswa kufahamu anacholipwa Mbunge wake na alinganishe na Kazi anayoifanya.

Qualification ya kuwa Mbunge Kujua Kusoma na Kuandika.

Share na wananchi wa majimbo Mengine... Ushahidi huo hapo.
 
Na Thadei Ole Mushi

Kuna Msaidizi mmoja wa Mbunge Kanitumia document hizi ili kufanya Clarification zaidi kwa jamii kuhusu Mishahara ya Mbunge.

Twende sawa hapa.

1. Mbunge hulipwa mshahara kwenye scale ya LSS (P) 2 ambayo mshahara wake ni Shilingi 4,600,000.

2. Atalipwa posho ambazo kwa Mwezi hufikia Shilingi 8,292,000 katika mchang'anuo ufuatao.

✓ Atalipwa posho Kwa ajili ya mafuta ya gari yake Shilingi 3,750,000.

✓Atalipwa Posho Kwa ajili ya Matengenezo ya Gari yake Shilingi 1,500,000.

✓Atalipwa Posho inayoitwa (Posho ya Mbunge na matumizi mengine jimboni) Shilingi 1,000,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu ya siku 10 kama atajisikia kwenda Jimboni Shilingi 450,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu kwa Wasaidizi wake watatu Kwa siku kumi atakazokuwa jimboni Shilingi 900,000 hapa kama atajisikia kwenda Jimboni au kwa mchepuko Dar [emoji23]

✓ Atalipwa Posho ya watumishi watatu kama atajisikia kuajiri (Mhudumu wa Ofisi yake, Katibu wake, na Dereva) katika mchang'anuo ufuatao.

Katibu wake Shilingi 352,000 Mhudumu 170,000, Dereva 170,000. Jumla Shilingi 692,000. Hapa ni kama atajisikia kuajiri sio lazima.

Jumla ya Fedha zote zinafika Shilingi 12,892,000.Fedha hizi zote zinaingia kwenye account yake Mbunge.

Ukiwahoji wanasema mshahara wao unabeba Mishahara ya wasaidizi wao ndio maana unaonekana mkubwa. Kwenye huo mshahara na posho zake ukitoa Mishahara ya wasaidizi watatu niliokutajia hapo juu anabakia na Shilingi 12,200,000. Hapa atakuwa ameshalipa Watumishi wake watatu wote Stahiki zao kama atakuwa kawaajiri kweli.

Na ninyi ni mashahaidi Hawa watu hawana Watumishi ambao ni wasaidizi wao ni wachache Sana ambao wanao.

Mtumishi mwingine wa Umma analipwa Mshahara wake wa Laki Tano ambao atatengenezea pikipiki yake, ataweka mafuta pikipiki yake, atalipia House Girl wake na atalipia ada watoto wake.

Hii sio sawa hizi Posho ni nyingi mno zinapaswa kupunguzwa. Wananchi wanapaswa kufahamu anacholipwa Mbunge wake na alinganishe na Kazi anayoifanya.

Qualification ya kuwa Mbunge Kujua Kusoma na Kuandika.

Share na wananchi wa majimbo Mengine... Ushahidi huo hapo.

Sasa izidishe hii 12,892,000 x400 ili tujue kila mwez tunatumia kias gan kuwalipa wapendwa wabunge wetu ambao nusu ya bunge n vit maalumu
 
Na Thadei Ole Mushi

Kuna Msaidizi mmoja wa Mbunge Kanitumia document hizi ili kufanya Clarification zaidi kwa jamii kuhusu Mishahara ya Mbunge.

Twende sawa hapa.

1. Mbunge hulipwa mshahara kwenye scale ya LSS (P) 2 ambayo mshahara wake ni Shilingi 4,600,000.

2. Atalipwa posho ambazo kwa Mwezi hufikia Shilingi 8,292,000 katika mchang'anuo ufuatao.

✓ Atalipwa posho Kwa ajili ya mafuta ya gari yake Shilingi 3,750,000.

✓Atalipwa Posho Kwa ajili ya Matengenezo ya Gari yake Shilingi 1,500,000.

✓Atalipwa Posho inayoitwa (Posho ya Mbunge na matumizi mengine jimboni) Shilingi 1,000,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu ya siku 10 kama atajisikia kwenda Jimboni Shilingi 450,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu kwa Wasaidizi wake watatu Kwa siku kumi atakazokuwa jimboni Shilingi 900,000 hapa kama atajisikia kwenda Jimboni au kwa mchepuko Dar [emoji23]

✓ Atalipwa Posho ya watumishi watatu kama atajisikia kuajiri (Mhudumu wa Ofisi yake, Katibu wake, na Dereva) katika mchang'anuo ufuatao.

Katibu wake Shilingi 352,000 Mhudumu 170,000, Dereva 170,000. Jumla Shilingi 692,000. Hapa ni kama atajisikia kuajiri sio lazima.

Jumla ya Fedha zote zinafika Shilingi 12,892,000.Fedha hizi zote zinaingia kwenye account yake Mbunge.

Ukiwahoji wanasema mshahara wao unabeba Mishahara ya wasaidizi wao ndio maana unaonekana mkubwa. Kwenye huo mshahara na posho zake ukitoa Mishahara ya wasaidizi watatu niliokutajia hapo juu anabakia na Shilingi 12,200,000. Hapa atakuwa ameshalipa Watumishi wake watatu wote Stahiki zao kama atakuwa kawaajiri kweli.

Na ninyi ni mashahaidi Hawa watu hawana Watumishi ambao ni wasaidizi wao ni wachache Sana ambao wanao.

Mtumishi mwingine wa Umma analipwa Mshahara wake wa Laki Tano ambao atatengenezea pikipiki yake, ataweka mafuta pikipiki yake, atalipia House Girl wake na atalipia ada watoto wake.

Hii sio sawa hizi Posho ni nyingi mno zinapaswa kupunguzwa. Wananchi wanapaswa kufahamu anacholipwa Mbunge wake na alinganishe na Kazi anayoifanya.

Qualification ya kuwa Mbunge Kujua Kusoma na Kuandika.

Share na wananchi wa majimbo Mengine... Ushahidi huo hapo.
Waanze kulipa kodi sasa
 
Huu ni wizi mchana kweupe,

Unapokeaje mshahara mkubwa namna hii unaotokana na majasho ya watu maskini ,

Ipo haja ya kureview salary ya Hawa watu.

Kwakweli Rais angalia hili.
 
Huu ni wizi mchana kweupe,

Unapokeaje mshahara mkubwa namna hii unaotokana na majasho ya watu maskini ,

Ipo haja ya kureview salary ya Hawa watu.

Kwakweli Rais angalia hili.
Wewe si hutaki KATIBA MPYA? Bila hiyo Rais hawezi kufanya chochote kwa hiari yake tu, anatakiwa KULAZIMISHWA na takwa la kisheria (KATIBA MPYA).
 
Uzuri wetu waatanzani tutapiga kelele hivi hivi mitandaoni halafu imeisha hiyo, kesho watajiongezea tena na maisha yataendelea.
 
Na Thadei Ole Mushi

Kuna Msaidizi mmoja wa Mbunge Kanitumia document hizi ili kufanya Clarification zaidi kwa jamii kuhusu Mishahara ya Mbunge.

Twende sawa hapa.

1. Mbunge hulipwa mshahara kwenye scale ya LSS (P) 2 ambayo mshahara wake ni Shilingi 4,600,000.

2. Atalipwa posho ambazo kwa Mwezi hufikia Shilingi 8,292,000 katika mchang'anuo ufuatao.

✓ Atalipwa posho Kwa ajili ya mafuta ya gari yake Shilingi 3,750,000.

✓Atalipwa Posho Kwa ajili ya Matengenezo ya Gari yake Shilingi 1,500,000.

✓Atalipwa Posho inayoitwa (Posho ya Mbunge na matumizi mengine jimboni) Shilingi 1,000,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu ya siku 10 kama atajisikia kwenda Jimboni Shilingi 450,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu kwa Wasaidizi wake watatu Kwa siku kumi atakazokuwa jimboni Shilingi 900,000 hapa kama atajisikia kwenda Jimboni au kwa mchepuko Dar [emoji23]

✓ Atalipwa Posho ya watumishi watatu kama atajisikia kuajiri (Mhudumu wa Ofisi yake, Katibu wake, na Dereva) katika mchang'anuo ufuatao.

Katibu wake Shilingi 352,000 Mhudumu 170,000, Dereva 170,000. Jumla Shilingi 692,000. Hapa ni kama atajisikia kuajiri sio lazima.

Jumla ya Fedha zote zinafika Shilingi 12,892,000.Fedha hizi zote zinaingia kwenye account yake Mbunge.

Ukiwahoji wanasema mshahara wao unabeba Mishahara ya wasaidizi wao ndio maana unaonekana mkubwa. Kwenye huo mshahara na posho zake ukitoa Mishahara ya wasaidizi watatu niliokutajia hapo juu anabakia na Shilingi 12,200,000. Hapa atakuwa ameshalipa Watumishi wake watatu wote Stahiki zao kama atakuwa kawaajiri kweli.

Na ninyi ni mashahaidi Hawa watu hawana Watumishi ambao ni wasaidizi wao ni wachache Sana ambao wanao.

Mtumishi mwingine wa Umma analipwa Mshahara wake wa Laki Tano ambao atatengenezea pikipiki yake, ataweka mafuta pikipiki yake, atalipia House Girl wake na atalipia ada watoto wake.

Hii sio sawa hizi Posho ni nyingi mno zinapaswa kupunguzwa. Wananchi wanapaswa kufahamu anacholipwa Mbunge wake na alinganishe na Kazi anayoifanya.

Qualification ya kuwa Mbunge Kujua Kusoma na Kuandika.

Share na wananchi wa majimbo Mengine... Ushahidi huo hapo.
In reality they don't have anything to do, why do they even bother going to Bunge? They have never questioned anything put to them. Bunge liliwekwa Dodoma karibu na Milembe Hospital. Wabunge wote akili ya kuku.
 
Na Thadei Ole Mushi

Kuna Msaidizi mmoja wa Mbunge Kanitumia document hizi ili kufanya Clarification zaidi kwa jamii kuhusu Mishahara ya Mbunge.

Twende sawa hapa.

1. Mbunge hulipwa mshahara kwenye scale ya LSS (P) 2 ambayo mshahara wake ni Shilingi 4,600,000.

2. Atalipwa posho ambazo kwa Mwezi hufikia Shilingi 8,292,000 katika mchang'anuo ufuatao.

✓ Atalipwa posho Kwa ajili ya mafuta ya gari yake Shilingi 3,750,000.

✓Atalipwa Posho Kwa ajili ya Matengenezo ya Gari yake Shilingi 1,500,000.

✓Atalipwa Posho inayoitwa (Posho ya Mbunge na matumizi mengine jimboni) Shilingi 1,000,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu ya siku 10 kama atajisikia kwenda Jimboni Shilingi 450,000.

✓ Atalipwa Posho ya kujikimu kwa Wasaidizi wake watatu Kwa siku kumi atakazokuwa jimboni Shilingi 900,000 hapa kama atajisikia kwenda Jimboni au kwa mchepuko Dar [emoji23]

✓ Atalipwa Posho ya watumishi watatu kama atajisikia kuajiri (Mhudumu wa Ofisi yake, Katibu wake, na Dereva) katika mchang'anuo ufuatao.

Katibu wake Shilingi 352,000 Mhudumu 170,000, Dereva 170,000. Jumla Shilingi 692,000. Hapa ni kama atajisikia kuajiri sio lazima.

Jumla ya Fedha zote zinafika Shilingi 12,892,000.Fedha hizi zote zinaingia kwenye account yake Mbunge.

Ukiwahoji wanasema mshahara wao unabeba Mishahara ya wasaidizi wao ndio maana unaonekana mkubwa. Kwenye huo mshahara na posho zake ukitoa Mishahara ya wasaidizi watatu niliokutajia hapo juu anabakia na Shilingi 12,200,000. Hapa atakuwa ameshalipa Watumishi wake watatu wote Stahiki zao kama atakuwa kawaajiri kweli.

Na ninyi ni mashahaidi Hawa watu hawana Watumishi ambao ni wasaidizi wao ni wachache Sana ambao wanao.

Mtumishi mwingine wa Umma analipwa Mshahara wake wa Laki Tano ambao atatengenezea pikipiki yake, ataweka mafuta pikipiki yake, atalipia House Girl wake na atalipia ada watoto wake.

Hii sio sawa hizi Posho ni nyingi mno zinapaswa kupunguzwa. Wananchi wanapaswa kufahamu anacholipwa Mbunge wake na alinganishe na Kazi anayoifanya.

Qualification ya kuwa Mbunge Kujua Kusoma na Kuandika.

Share na wananchi wa majimbo Mengine... Ushahidi huo hapo.
[emoji3479]WACHA WALIPWE TENA WANGEONGEZEWA IGIKE 20,000,000/=
TUKIWAAMBIA TUPATE KATIBA MPYA TUNABAMBIKIZIWA KESI ZA UGAIDI[emoji3479]
 
Aisee wakati Mimi nakimbizana na laki 8 na mavikao kibao na usumbufu wa kutumwatumwa kila muda na wakuu wa idara

Bora kujiajiri aiseee haya majamaa halafu kila miaka 5 yanalipwa million zaidi ya 200

Na mikopo wakati wa kuingia bungeni kila miaka 5.
Ubunge ni zaidi ya mgodi
 
Waongeze nafasi za Ubunge ili idadi ya wafaidika iongezeke.

Kila Mtaa kuwe na Mbunge.
 
kuendelea kusoma huu uzi ni kujitafutia kupanda pressure na sukari bure na bado corona babe ananisubilia,shubaamit
 
Hivi hakuna namna ya kulipigia kelele hili jambo? Mbona wenzetu wanaishi maisha ya ANASA sana kuliko uhalisia? Halafu bado wanasema eti hiyo pesa haitoshi??? Tunakusanya mikodi kibao halafu watumiaji wa hizo pesa hawafiki hata 2000, shida sana hi
 
Hivi hakuna namna ya kulipigia kelele hili jambo? Mbona wenzetu wanaishi maisha ya ANASA sana kuliko uhalisia? Halafu bado wanasema eti hiyo pesa haitoshi??? Tunakusanya mikodi kibao halafu watumiaji wa hizo pesa hawafiki hata 2000, shida sana hi
Mimi huwa nikifikiria haya huwa natamani nipate njia ya kukwepa kulipa kodi sema tu mifumo inabana
 
Back
Top Bottom