Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,104
- 2,550
Nafuatilia mjadala wa kijinga unaoendelea kwamba eti kwa nini Yanga inafeli kimataifa wakati Simba inafanikiwa!
Ili timu iwe imefanikiwa katika mashindano ni lazima ichukue ubingwa na si vinginevyo kwa hiyo timu zenye mafanikio Afrika ni Al Ahly,Zamalek,Esperance,Raja Casablank,TP Mazembe,Mamelod Sundown na nyingine chache zilizowahi kubeba vikombe vya Afrika.
Huu ujinga ndiyo unafanya timu kubweteka kisa imeingia makundi halafu inaenda kupigwa inarudi bila kombe na kubaki wasindikizaji tu! Bora hata Yanga msimu uliopita ilibeba ngao ya hisani, kombe la ligi kuu na kombe la shirikisho la Azam kuliko Simba haina kombe lolote!
Ili timu iwe imefanikiwa katika mashindano ni lazima ichukue ubingwa na si vinginevyo kwa hiyo timu zenye mafanikio Afrika ni Al Ahly,Zamalek,Esperance,Raja Casablank,TP Mazembe,Mamelod Sundown na nyingine chache zilizowahi kubeba vikombe vya Afrika.
Huu ujinga ndiyo unafanya timu kubweteka kisa imeingia makundi halafu inaenda kupigwa inarudi bila kombe na kubaki wasindikizaji tu! Bora hata Yanga msimu uliopita ilibeba ngao ya hisani, kombe la ligi kuu na kombe la shirikisho la Azam kuliko Simba haina kombe lolote!