Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hebu punguza japo kwa asilimia 1 ujinga wako.Nafuatilia mjadala wa kijinga unaoendelea kwamba eti kwa nini Yanga inafeli kimataifa wakati Simba inafanikiwa! Ili timu iwe imefanikiwa katika mashindano ni lazima ichukue ubingwa na si vinginevyo kwa hiyo timu zenye mafanikio Afrika ni Al Ahly,Zamalek,Esperance,Raja Casablank,TP Mazembe,Mamelod Sundown na nyingine chache zilizowahi kubeba vikombe vya Afrika. Huu ujinga ndiyo unafanya timu kubweteka kisa imeingia makundi halafu inaenda kupigwa inarudi bila kombe na kubaki wasindikizaji tu! Bora hata Yanga msimu uliopita ilibeba ngao ya hisani, kombe la ligi kuu na kombe la shirikisho la Azam kuliko Simba haina kombe lolote!
Hawa wajinga ndio wanatujazia watoto wa mitaani kwani mafanikio kwao ni kumwaga manii ukeni na kupotea hawajui kwamba kulea watoto ndio uwajabikaji wenye kuleta mafanikio yenye tija ndani yakeKwanza kabla hatujaendelea hebu tupe maana ya mafanikio (success) iwe kwa kiingereza au kiswahili ili twende sawa maana inaonekana ulikimbia somo la civics wewe na hujui maana halisi ya neno mafanikio.
Hawa watabaki kugombea mihogo na nguruwe tu.Ndani ya Tanzania, Simba na Yanga ni giants, ila kwa nje ya Tz yanga maarufu Congo DRC tu labda.
Ungesema kwamba, definition hii ni kwa mujibu wa wewe... Ili timu iwe imefanikiwa katika mashindano ni lazima ichukue ubingwa na si vinginevyo
Nafuatilia mjadala wa kijinga unaoendelea kwamba eti kwa nini Yanga inafeli kimataifa wakati Simba inafanikiwa!
Sawa mama mdogo mla MIHOGONafuatilia mjadala wa kijinga unaoendelea kwamba eti kwa nini Yanga inafeli kimataifa wakati Simba inafanikiwa! Ili timu iwe imefanikiwa katika mashindano ni lazima ichukue ubingwa na si vinginevyo kwa hiyo timu zenye mafanikio Afrika ni Al Ahly,Zamalek,Esperance,Raja Casablank,TP Mazembe,Mamelod Sundown na nyingine chache zilizowahi kubeba vikombe vya Afrika. Huu ujinga ndiyo unafanya timu kubweteka kisa imeingia makundi halafu inaenda kupigwa inarudi bila kombe na kubaki wasindikizaji tu! Bora hata Yanga msimu uliopita ilibeba ngao ya hisani, kombe la ligi kuu na kombe la shirikisho la Azam kuliko Simba haina kombe lolote!
Atakuwa hajala mihogo huyu utopoloUzi umeandikwa kwa hasira sana huu[emoji23]
Siku wakitoka kuchomolewa mwiko nyuma na waarabu wa Tunisia watakula hilo gunia la mihogo