The Night Walker19
Member
- Aug 19, 2020
- 66
- 55
endelea kwa sababu WIKI YA MWANANCHI haikuhusu, wewe baki na mikia yenu hukowenye akili zetu tumeona,tumeendelea na issue zetu
mlivyowafunga vital o mlikuwa hambebwi sioKwa hiki kinachowakuta hawa warundi sio fair kabisa yaani inaonekana kabisa kunakitu kinatafutwa.
Kwasababu haiwezekani Yanga wanacheza rafu za kustahili kadi lakini refa anang'ata firimbi, sio lazima siku ya wananchi au Simba day lazima timu zetu zishinde.
Waamuzi wawe fair na mbungi ipigwe ili akifungwa afungwe kutokana na ubovu waje na sio sababu za waamuzi.....poleni Aigle Noir Fc.
Kachezeshe weweKwa hiki kinachowakuta hawa warundi sio fair kabisa yaani inaonekana kabisa kunakitu kinatafutwa.
Kwasababu haiwezekani Yanga wanacheza rafu za kustahili kadi lakini refa anang'ata firimbi, sio lazima siku ya wananchi au Simba day lazima timu zetu zishinde.
Waamuzi wawe fair na mbungi ipigwe ili akifungwa afungwe kutokana na ubovu waje na sio sababu za waamuzi.....poleni Aigle Noir Fc.
Nmetazama mwanzo mwisho mechi yenu, kwa usajili wenu kwa mbaaaaali sana nmeona kisinda anakitu ila anahitaji watu wakumsapotSimba mshaanza kutetema,Bado tunashusha kitu kesho🤣🤣🤣🤣
Mbumbumbu fc mtapata taabu Saaaaana. Leo wananchi walikua wana test mitambo, kazi yenyewe bado inakuja.
Nmetazama mwanzo mwisho mechi yenu, kwa usajili wenu kwa mbaaaaali sana nmeona kisinda anakitu ila anahitaji watu wakumsapot
Mkuu daaah hahahaha,,jeshi huyo
Hahahaha mtu kapigwa kutokana na uwezo wake mdogo na sio mbeleko mkuumlivyowafunga vital o mlikuwa hambebwi sio
poleni simba
Jeshi kama jeshi hahahahaha