Tusilifananishe hili la mabadiliko ya Mawaziri na kisa cha aliyekuwa Waziri katika Serikali ya nchi jirani. Zipo sababu za msingi

Tusilifananishe hili la mabadiliko ya Mawaziri na kisa cha aliyekuwa Waziri katika Serikali ya nchi jirani. Zipo sababu za msingi

mavumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2013
Posts
596
Reaction score
328
Miaka kadhaa iliyopita (1980s) Rais wa nchi moja jirani aliyekuwa madarakani alienda ziarani Marekani na Waziri wake wa mambo ya nje (Kwa sasa wote wapate ku RIP). Wakiwa huko walifanya mkutano na waandishi wa habari wa huko. Baadhi ya maswali yaliyoulizwa kwa Rais yalimpa shida sana kujibu na Waziri wake akawa ana interject kumsaidia Rais wake, tena kwa heshima, akisema "On behalf of my President, let me answer this...." na alifanya hivyo mara kadhaa.

Matokeo yake, Wazungu waliokuwepo wakasikika wakisema, 'Huyu mtu anaistahili kuwa Rais wa nchi yao'. Pamoja na kwamba waziri huyo aliokoa jahazi, Mhe Rais mwenyewe lilimuudhi sana hilo na akalichukulia kama amedhalilishwa ingawa ukweli ni kwamba hata lugha ya wazungu ilikuwa inampa shida.

Waliporudi kwao, donge la hasira la Mhe lilipelekea kutoelewana na ukawa mwisho wa Waziri yule. Hilo litokana na udhaifu, na wivu wa kiongozi mkuu. Lakini inaonekana WaTz wengi - na wanaJF tukiwemo tuna liegemeza hili la mabadiliko na hali inayofanana na hii. Hilo si sahihi na binafsi sidhani Mhe Rais kama amekwenda chini kiasi hicho, ati kisa umaarufu.

Tunaruhusiwa kuspeculate, maana ndio hulka ya binadamu, lakini tuone yatakatoendelea maana ukweli utadhihirika tu. Patience!
 
Miaka kadhaa iliyopita (1980s) Rais wa nchi moja jirani aliyekuwa madarakani alienda ziarani Marekani na Waziri wake wa mambo ya nje (Kwa sasa wote wapate ku RIP). Wakiwa huko walifanya mkutano na waandishi wa habari wa huko. Baadhi ya maswali yaliyoulizwa kwa Rais yalimpa shida sana kujibu na Waziri wake akawa ana interject kumsaidia Rais wake, tena kwa heshima, akisema "On behalf of my President, let me answer this...." na alifanya hivyo mara kadhaa.

Matokeo yake, Wazungu waliokuwepo wakasikika wakisema, 'Huyu mtu anaistahili kuwa Rais wa nchi yao'. Pamoja na kwamba waziri huyo aliokoa jahazi, Mhe Rais mwenyewe lilimuudhi sana hilo na akalichukulia kama amedhalilishwa ingawa ukweli ni kwamba hata lugha ya wazungu ilikuwa inampa shida.

Waliporudi kwao, donge la hasira la Mhe lilipelekea kutoelewana na ukawa mwisho wa Waziri yule. Hilo litokana na udhaifu, na wivu wa kiongozi mkuu. Lakini inaonekana WaTz wengi - na wanaJF tukiwemo tuna liegemeza hili la mabadiliko na hali inayofanana na hii. Hilo si sahihi na binafsi sidhani Mhe Rais kama amekwenda chini kiasi hicho, ati kisa umaarufu.

Tunaruhusiwa kuspeculate, maana ndio hulka ya binadamu, lakini tuone yatakatoendelea maana ukweli utadhihirika tu. Patience!
Indeed!do not outsmart your boss!
 
Hongera KWA kutoa majibu mazuri ya sintofahamu ya kilichojiri!!

Next time NAMBA moja watakuwa wanafanyiwa Brush ya kiinglish kabla ya kushika hatamu!!
 
Fanya makosa yote ila usijaribu kumjibia mkuu wako hajakuruhusu kufanya hivyo ,na akikuruhusu usjaribu kutoa jibu tofauti na alilokuwa analitetea.
Nikupe kisa changu, nilihamishwa mara moja baada ya kwenda kwenye kikao na mkuu wangu wa kazi, kilichotokea watu wakawa wanamshambulia mno kana kwamba walimpania mno. Yeye akaniachia mwenyewe nijibu akaondoka zake.
Kosa kubwa nilifanya kwanza ni kuwa msikivu na kuwasilikiliza na kukubaliana na baadhi ya hoja zao na kuahidi zitafanyiwa kazi, kilichotokea wakaanza kupayuka....Kwanini mamlaka hazijakupa cheo cha huyu mwehu??? Mkuu gani hana akili kiasi hiki? Anazidiwa na msaidizi kwa mbali....Kesho yake nikahamishiwa mbali mno tena kwa kushushwa cheo kabisa.
 
Fanya makosa yote ila usijaribu kumjibia mkuu wako hajakuruhusu kufanya hivyo ,na akikuruhusu usjaribu kutoa jibu tofauti na alilokuwa analitetea.
Nikupe kisa changu, nilihamishwa mara moja baada ya kwenda kwenye kikao na mkuu wangu wa kazi, kilichotokea watu wakawa wanamshambulia mno kana kwamba walimpania mno. Yeye akaniachia mwenyewe nijibu akaondoka zake.
Kosa kubwa nilifanya kwanza ni kuwa msikivu na kuwasilikiliza na kukubaliana na baadhi ya hoja zao na kuahidi zitafanyiwa kazi, kilichotokea wakaanza kupayuka....Kwanini mamlaka hazijakupa cheo cha huyu mwehu??? Mkuu gani hana akili kiasi hiki? Anazidiwa na msaidizi kwa mbali....Kesho yake nikahamishiwa mbali mno tena kwa kushushwa cheo kabisa.
Hahahahaaaa
 
Ni tabu sana ukiwa unamzidi boss wako akili na busara
Fanya makosa yote ila usijaribu kumjibia mkuu wako hajakuruhusu kufanya hivyo ,na akikuruhusu usjaribu kutoa jibu tofauti na alilokuwa analitetea.
Nikupe kisa changu, nilihamishwa mara moja baada ya kwenda kwenye kikao na mkuu wangu wa kazi, kilichotokea watu wakawa wanamshambulia mno kana kwamba walimpania mno. Yeye akaniachia mwenyewe nijibu akaondoka zake.
Kosa kubwa nilifanya kwanza ni kuwa msikivu na kuwasilikiliza na kukubaliana na baadhi ya hoja zao na kuahidi zitafanyiwa kazi, kilichotokea wakaanza kupayuka....Kwanini mamlaka hazijakupa cheo cha huyu mwehu??? Mkuu gani hana akili kiasi hiki? Anazidiwa na msaidizi kwa mbali....Kesho yake nikahamishiwa mbali mno tena kwa kushushwa cheo kabisa.
 
Miaka kadhaa iliyopita (1980s) Rais wa nchi moja jirani aliyekuwa madarakani alienda ziarani Marekani na Waziri wake wa mambo ya nje (Kwa sasa wote wapate ku RIP). Wakiwa huko walifanya mkutano na waandishi wa habari wa huko. Baadhi ya maswali yaliyoulizwa kwa Rais yalimpa shida sana kujibu na Waziri wake akawa ana interject kumsaidia Rais wake, tena kwa heshima, akisema "On behalf of my President, let me answer this...." na alifanya hivyo mara kadhaa.

Matokeo yake, Wazungu waliokuwepo wakasikika wakisema, 'Huyu mtu anaistahili kuwa Rais wa nchi yao'. Pamoja na kwamba waziri huyo aliokoa jahazi, Mhe Rais mwenyewe lilimuudhi sana hilo na akalichukulia kama amedhalilishwa ingawa ukweli ni kwamba hata lugha ya wazungu ilikuwa inampa shida.

Waliporudi kwao, donge la hasira la Mhe lilipelekea kutoelewana na ukawa mwisho wa Waziri yule. Hilo litokana na udhaifu, na wivu wa kiongozi mkuu. Lakini inaonekana WaTz wengi - na wanaJF tukiwemo tuna liegemeza hili la mabadiliko na hali inayofanana na hii. Hilo si sahihi na binafsi sidhani Mhe Rais kama amekwenda chini kiasi hicho, ati kisa umaarufu.

Tunaruhusiwa kuspeculate, maana ndio hulka ya binadamu, lakini tuone yatakatoendelea maana ukweli utadhihirika tu. Patience!
Mwandiko wako unafanana na wa Njaa
N
 
Back
Top Bottom