MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
yeyw Biwot kwa sasa yupo wp au tayar nae anapambana na hali yake huko mawinguni?
Madikteta huwa hawajifunzi, akina Hitler, Idd Amin hatunao...ila unakuta wanakuja wapya ambao hawasomi historia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeyw Biwot kwa sasa yupo wp au tayar nae anapambana na hali yake huko mawinguni?
kanuni inataka hvo sasa!!hahahaKwa hiyo kwenye issue ya Ouko angenyamaza ili wote waonekani ni watupu kichwani?
Tafuta kitabu che Robert Greene (The 48 Laws of power) ,kisome (Soma Law No. 1 na 4) alafu utaelewa nini kinazumgumzwa. Kuna watu wenye uwezo mkubwa walifikiri kabla yakoThis is just stupidity of highest order.
Huu ni mkakati wa kutengeneza mafala duniani...
Naam!Nakumbuka kulikuwa na mkutano mkubwa sana wa kimataifa hapa Dar es salaam enzi za Mh Kikwete.
Kuna maswali yalikuwa yanamshinda kujibu Mh Kikwete na mama Tibaijuka alimjibia Mh Rais na wala Kikwete hakujisikia vibaya. Ukiwa boss huwezi jibu kila kitu hasa kama ni maswali ambayo hayajaandaliwa kabla hivyo wasaidizi wako ni wajibu wao wakusaidie kama timu moja.