Tusilifananishe hili la mabadiliko ya Mawaziri na kisa cha aliyekuwa Waziri katika Serikali ya nchi jirani. Zipo sababu za msingi

Nakumbuka kulikuwa na mkutano mkubwa sana wa kimataifa hapa Dar es salaam enzi za Mh Kikwete.
Kuna maswali yalikuwa yanamshinda kujibu Mh Kikwete na mama Tibaijuka alimjibia Mh Rais na wala Kikwete hakujisikia vibaya. Ukiwa boss huwezi jibu kila kitu hasa kama ni maswali ambayo hayajaandaliwa kabla hivyo wasaidizi wako ni wajibu wao wakusaidie kama timu moja.
 
This is just stupidity of highest order.
Huu ni mkakati wa kutengeneza mafala duniani...
Tafuta kitabu che Robert Greene (The 48 Laws of power) ,kisome (Soma Law No. 1 na 4) alafu utaelewa nini kinazumgumzwa. Kuna watu wenye uwezo mkubwa walifikiri kabla yako
 
Naam!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…