Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Wanaotumika walishafahamika na Watanzania,hivyo wataamua kikamilifu.Muheshimiwa Ponda kazingua, mtu mzima na mzuzu wake kakubali kutumika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaotumika walishafahamika na Watanzania,hivyo wataamua kikamilifu.Muheshimiwa Ponda kazingua, mtu mzima na mzuzu wake kakubali kutumika
Samahani wewe ni Alhad Mussa?1. Shekhe Ponda anataka kutanua goli la udini, mkimjibu mnachochea udini, mtazigawa kura zetu bure achaneni naye tujiandae kupiga kura Oktoba 28.
2. Shekha Ponda anataka kuhamisha goli la USHOGA kumjibu ni kukubali kuhama, achaneni nae tujiandae kupiga KURA kupinga ushoga Oktoba 28.
3. Shekhe Ponda anataka kuturudisha katika mijadala ya kihalifu iliyoko mahakamani, kufanya hivyo ni kumsaidia kufikisha ujumbe wake, achaneni nae tutachelewa kuwaelewesha watu wetu juu ya namna bora ya kupiga KURA Oktoba 28.
4. Shekhe Ponda hana cha kuifanya CCM, sio wa leo alijaribu mwaka 2013 tukamshinda, akarudi 2015 tukamshinda na Lowassa amerudi tena 2020 na Tundu Lissu tutamshinda. Tuachane naye tujiandae kupiga KURA za kimbunga Oktoba 28.
5. Shekhe Ponda na Tundu Lissu wote hawapendi Muungano, msihangaike nao Amani na Umoja wa Taifa hili uko mikononi mwetu tujiandae kupiga KURA kwa wingi kuimarisha Muungano wetu. Tuachane nae, tusimjibu kwa maneno tujiandae kupiga KURA Oktoba 28.
6. Shekhe Ponda ameletwa kwa malengo mahsusi mwishoni kuharibu utulivu wa waislamu, tuedelee kumheshimu lkn tumpuuze kwa ajili ya nchi yetu. Msimjibu tujiandae kupiga KURA Oktoba 28, tuna mambo mengi ya kufanya kuliko kujibu maoni ya mtu.
7. Shekhe Ponda anatafuta nafasi ya kulipa kisasi, tusimsaidie kukamilisha mradi wake huo. Kuendelea kijibizana nae ni kumsaidia kulipa kisasi dhidi ya Serikali. Acheni kuvutana nae, KURA ni mhimu kuliko kisasi cha mtu.
8. Shekhe Ponda ni Askofu Mwamakula ni Wanachama wa CHADEMA, waacheni waombe KURA zao hatuwezi kujibu kila mtu, agenda ya CCM iwe kupiga KURA ifikapo Oktoba 28.
9. Shekhe Ponda hastahili kujibiwa mitandaoni isipokuwa katika sanduku la KURA. Jiandaeni tukapige KURA tumefanya mambo mengi mno mazuri kwa muda mfupi hakuna haja ya kuhangaika na watu wabaya.
10. Shekhe Ponda akiendelea kuwaomba waislamu kumpigia KURA Tundu Lissu, SISI tuwaombe kumpigia KURA JPM Oktoba 28. Ni hivyo tu, kurumbana nae haitatusaidia kitu, tutawagawa Waislamu bila sababu.
11. Wana-CCM, msimjibu Ponda. Tujiandae kwenda kupiga KURA ifikapo Oktoba 28, majibu atayasikia kwenye bomba. CCM ni kubwa sana kuliko Shekhe Ponda.
NAOMBA KURA YAKO KWA CCM.
#MitanoTenaKwaJPM.
MenukaJr.
Huyu mleta post ni shehe mkuu wa daa..wa kumjibu Shekhe Ponda ni Mufti wa Bakwata.
..kama Mufti yuko kimya mpaka muda huu, maana yake anamuunga mkono Tundu Lissu.
Mtaimba nyimbo zote mpaka ule wa Halleluyah muende vizuri na noten msiukosee tu1. Shekhe Ponda anataka kutanua goli la udini, mkimjibu mnachochea udini, mtazigawa kura zetu bure achaneni naye tujiandae kupiga kura Oktoba 28.
2. Shekha Ponda anataka kuhamisha goli la USHOGA kumjibu ni kukubali kuhama, achaneni nae tujiandae kupiga KURA kupinga ushoga Oktoba 28.
3. Shekhe Ponda anataka kuturudisha katika mijadala ya kihalifu iliyoko mahakamani, kufanya hivyo ni kumsaidia kufikisha ujumbe wake, achaneni nae tutachelewa kuwaelewesha watu wetu juu ya namna bora ya kupiga KURA Oktoba 28.
4. Shekhe Ponda hana cha kuifanya CCM, sio wa leo alijaribu mwaka 2013 tukamshinda, akarudi 2015 tukamshinda na Lowassa amerudi tena 2020 na Tundu Lissu tutamshinda. Tuachane naye tujiandae kupiga KURA za kimbunga Oktoba 28.
5. Shekhe Ponda na Tundu Lissu wote hawapendi Muungano, msihangaike nao Amani na Umoja wa Taifa hili uko mikononi mwetu tujiandae kupiga KURA kwa wingi kuimarisha Muungano wetu. Tuachane nae, tusimjibu kwa maneno tujiandae kupiga KURA Oktoba 28.
6. Shekhe Ponda ameletwa kwa malengo mahsusi mwishoni kuharibu utulivu wa waislamu, tuedelee kumheshimu lkn tumpuuze kwa ajili ya nchi yetu. Msimjibu tujiandae kupiga KURA Oktoba 28, tuna mambo mengi ya kufanya kuliko kujibu maoni ya mtu.
7. Shekhe Ponda anatafuta nafasi ya kulipa kisasi, tusimsaidie kukamilisha mradi wake huo. Kuendelea kijibizana nae ni kumsaidia kulipa kisasi dhidi ya Serikali. Acheni kuvutana nae, KURA ni mhimu kuliko kisasi cha mtu.
8. Shekhe Ponda ni Askofu Mwamakula ni Wanachama wa CHADEMA, waacheni waombe KURA zao hatuwezi kujibu kila mtu, agenda ya CCM iwe kupiga KURA ifikapo Oktoba 28.
9. Shekhe Ponda hastahili kujibiwa mitandaoni isipokuwa katika sanduku la KURA. Jiandaeni tukapige KURA tumefanya mambo mengi mno mazuri kwa muda mfupi hakuna haja ya kuhangaika na watu wabaya.
10. Shekhe Ponda akiendelea kuwaomba waislamu kumpigia KURA Tundu Lissu, SISI tuwaombe kumpigia KURA JPM Oktoba 28. Ni hivyo tu, kurumbana nae haitatusaidia kitu, tutawagawa Waislamu bila sababu.
11. Wana-CCM, msimjibu Ponda. Tujiandae kwenda kupiga KURA ifikapo Oktoba 28, majibu atayasikia kwenye bomba. CCM ni kubwa sana kuliko Shekhe Ponda.
NAOMBA KURA YAKO KWA CCM.
#MitanoTenaKwaJPM.
MenukaJr.
Mkuu ponda anauchungu na masheikh wasiohukumiwa wala kushtakiwa, vipi yule shehe wa dar hatumiki?Muheshimiwa Ponda kazingua, mtu mzima na mzuzu wake kakubali kutumika
Ukimaliza kupiga kura nakusubilia geto nije nikupe kitu kubwa kama tango sawa eeehh.....maana nitakuwa nimeluhusiwa kukumega rasmi..tarehe 28 Oct kampigie kura TUNDU LISSU.
..mgombea anayesimamia HAKI, na anayesema UKWELI.
Double standards zimezidi ,hats waliokuwa usingizini waneamka,halafu wanajisahau Kuna ujumbe mahsusi wa Uhuru,haki na maendeleo.KWA HALI YA NCHI YETU ILIPOFIKIA,,,SHEH PONDA YUPO SAHIHI.
Hapa jambo sii wingi,Ila haki iko wapi.Waislam na wasio waislamu wapi ni wengi
Mjinga tu wewe, Raila Odinga alisaini MoU na waislamu mwaka ule kina Najib Balala na akashinda uchaguzi.Kama Shekhe Ponda anataka meseji yake wapiga kura waipokee vizuri, angeacha kuwagawa kwa misingi ya dini.
Ni bora aombe kura za WaTZ wote kuliko kuja na kauli kama “ninawaomba Waislamu kufanya so and so..”
Hayo maneno matatu,,,Uhuru , Haki na Maendeleo ni Mwiba wa Maccm.Double standards zimezidi ,hats waliokuwa usingizini waneamka,halafu wanajisahau Kuna ujumbe mahsusi wa Uhuru,haki na maendeleo.
Mleta postAmani gani unayoizungumzia? Ya watu kutekwa ovyo?mawazo kuuawa?mnaubili amani nyuma mmeshika mapanga kama kunuka acha kinuke 2 shubamiti zenu
Uislamu ni dini ya hakii, palipo na haki huko ndipo uelekeo wa waislamu ulipo.Waislam na wasio waislamu wapi ni wengi
Aliposimama bwana alasad juz na kuiombea kura Ccm juzi alikuwa mzalendo. Leo kaja ponds mnawewesekaaa. Pumbav1. Shekhe Ponda anataka kutanua goli la udini, mkimjibu mnachochea udini, mtazigawa kura zetu bure achaneni naye tujiandae kupiga kura Oktoba 28.
2. Shekha Ponda anataka kuhamisha goli la USHOGA kumjibu ni kukubali kuhama, achaneni nae tujiandae kupiga KURA kupinga ushoga Oktoba 28.
3. Shekhe Ponda anataka kuturudisha katika mijadala ya kihalifu iliyoko mahakamani, kufanya hivyo ni kumsaidia kufikisha ujumbe wake, achaneni nae tutachelewa kuwaelewesha watu wetu juu ya namna bora ya kupiga KURA Oktoba 28.
4. Shekhe Ponda hana cha kuifanya CCM, sio wa leo alijaribu mwaka 2013 tukamshinda, akarudi 2015 tukamshinda na Lowassa amerudi tena 2020 na Tundu Lissu tutamshinda. Tuachane naye tujiandae kupiga KURA za kimbunga Oktoba 28.
5. Shekhe Ponda na Tundu Lissu wote hawapendi Muungano, msihangaike nao Amani na Umoja wa Taifa hili uko mikononi mwetu tujiandae kupiga KURA kwa wingi kuimarisha Muungano wetu. Tuachane nae, tusimjibu kwa maneno tujiandae kupiga KURA Oktoba 28.
6. Shekhe Ponda ameletwa kwa malengo mahsusi mwishoni kuharibu utulivu wa waislamu, tuedelee kumheshimu lkn tumpuuze kwa ajili ya nchi yetu. Msimjibu tujiandae kupiga KURA Oktoba 28, tuna mambo mengi ya kufanya kuliko kujibu maoni ya mtu.
7. Shekhe Ponda anatafuta nafasi ya kulipa kisasi, tusimsaidie kukamilisha mradi wake huo. Kuendelea kijibizana nae ni kumsaidia kulipa kisasi dhidi ya Serikali. Acheni kuvutana nae, KURA ni mhimu kuliko kisasi cha mtu.
8. Shekhe Ponda ni Askofu Mwamakula ni Wanachama wa CHADEMA, waacheni waombe KURA zao hatuwezi kujibu kila mtu, agenda ya CCM iwe kupiga KURA ifikapo Oktoba 28.
9. Shekhe Ponda hastahili kujibiwa mitandaoni isipokuwa katika sanduku la KURA. Jiandaeni tukapige KURA tumefanya mambo mengi mno mazuri kwa muda mfupi hakuna haja ya kuhangaika na watu wabaya.
10. Shekhe Ponda akiendelea kuwaomba waislamu kumpigia KURA Tundu Lissu, SISI tuwaombe kumpigia KURA JPM Oktoba 28. Ni hivyo tu, kurumbana nae haitatusaidia kitu, tutawagawa Waislamu bila sababu.
11. Wana-CCM, msimjibu Ponda. Tujiandae kwenda kupiga KURA ifikapo Oktoba 28, majibu atayasikia kwenye bomba. CCM ni kubwa sana kuliko Shekhe Ponda.
NAOMBA KURA YAKO KWA CCM.
#MitanoTenaKwaJPM.
MenukaJr.
1. Shekhe Ponda anataka kutanua goli la udini, mkimjibu mnachochea udini, mtazigawa kura zetu bure achaneni naye tujiandae kupiga kura Oktoba 28.
2. Shekha Ponda anataka kuhamisha goli la USHOGA kumjibu ni kukubali kuhama, achaneni nae tujiandae kupiga KURA kupinga ushoga Oktoba 28.
3. Shekhe Ponda anataka kuturudisha katika mijadala ya kihalifu iliyoko mahakamani, kufanya hivyo ni kumsaidia kufikisha ujumbe wake, achaneni nae tutachelewa kuwaelewesha watu wetu juu ya namna bora ya kupiga KURA Oktoba 28.
4. Shekhe Ponda hana cha kuifanya CCM, sio wa leo alijaribu mwaka 2013 tukamshinda, akarudi 2015 tukamshinda na Lowassa amerudi tena 2020 na Tundu Lissu tutamshinda. Tuachane naye tujiandae kupiga KURA za kimbunga Oktoba 28.
5. Shekhe Ponda na Tundu Lissu wote hawapendi Muungano, msihangaike nao Amani na Umoja wa Taifa hili uko mikononi mwetu tujiandae kupiga KURA kwa wingi kuimarisha Muungano wetu. Tuachane nae, tusimjibu kwa maneno tujiandae kupiga KURA Oktoba 28.
6. Shekhe Ponda ameletwa kwa malengo mahsusi mwishoni kuharibu utulivu wa waislamu, tuedelee kumheshimu lkn tumpuuze kwa ajili ya nchi yetu. Msimjibu tujiandae kupiga KURA Oktoba 28, tuna mambo mengi ya kufanya kuliko kujibu maoni ya mtu.
7. Shekhe Ponda anatafuta nafasi ya kulipa kisasi, tusimsaidie kukamilisha mradi wake huo. Kuendelea kijibizana nae ni kumsaidia kulipa kisasi dhidi ya Serikali. Acheni kuvutana nae, KURA ni mhimu kuliko kisasi cha mtu.
8. Shekhe Ponda ni Askofu Mwamakula ni Wanachama wa CHADEMA, waacheni waombe KURA zao hatuwezi kujibu kila mtu, agenda ya CCM iwe kupiga KURA ifikapo Oktoba 28.
9. Shekhe Ponda hastahili kujibiwa mitandaoni isipokuwa katika sanduku la KURA. Jiandaeni tukapige KURA tumefanya mambo mengi mno mazuri kwa muda mfupi hakuna haja ya kuhangaika na watu wabaya.
10. Shekhe Ponda akiendelea kuwaomba waislamu kumpigia KURA Tundu Lissu, SISI tuwaombe kumpigia KURA JPM Oktoba 28. Ni hivyo tu, kurumbana nae haitatusaidia kitu, tutawagawa Waislamu bila sababu.
11. Wana-CCM, msimjibu Ponda. Tujiandae kwenda kupiga KURA ifikapo Oktoba 28, majibu atayasikia kwenye bomba. CCM ni kubwa sana kuliko Shekhe Ponda.
NAOMBA KURA YAKO KWA CCM.
#MitanoTenaKwaJPM.
MenukaJr.
Usiwasemee Waislamu wote Kenge weweWaislamu wana mahitaji yao maalum na kiongozi wanayemwamini ni Sheikh Ponda..
NAOMBA KURA YAKO KWA
Umekosea!Mambo yote yatakamilika tarehe 27 na wala siyo tarehe 28 kama unavyojinadiMambo yote yatakamilika tarehe 28
Tuombeane uzima tukatimize wajibu kwenye sanduku la kura