Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Membe? Ni Act wazalendo pureMwanaCCM katuvalia ngozi ya ACTwazalendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe? Ni Act wazalendo pureMwanaCCM katuvalia ngozi ya ACTwazalendo
Ponda kamaliza upande wake, upande wa pili nao wanayonafasi pia ya kuutangazia umma wanayemtaka,Kama Shekhe Ponda anataka meseji yake wapiga kura waipokee vizuri, angeacha kuwagawa kwa misingi ya dini.
Ni bora aombe kura za WaTZ wote kuliko kuja na kauli kama “ninawaomba Waislamu kufanya so and so..”
Hanaga point kabisa huyu jamaa ,vipost vyake vyote Ni pumba tupuStroke umesha strokika wewe
Sawa kabisa..Mambo yote yatakamilika tarehe 28
Tuombeane uzima tukatimize wajibu kwenye sanduku la kura
Kumbe unamjua na weweHanaga point kabisa huyu jamaa ,vipost vyake vyote Ni pumba tupu
Wanaungishwa kuupinga udhalimuPonda na Lisu wote lao moja.
Mitano tena kwa JPM.
Imetishia maslai yao wale wapenda vimisaada vidogovidogo kuendana na thamani zao
Leo hii kauli moja tu ya Ponda imewatoa nyoka wote pangoni