Uchaguzi 2020 Tusimjibu Shekhe Ponda mitandaoni, tujiandae kupiga kura

Wewe ni hopeless kabisa!
Ccm imewahi kushinda lini?
Huna hoja,. Subiri tarehe 28 ndo mtajua chama cha majambazi kabisa ccm!
Jaribuni tena kupora ushindi wa watanzania wakti huu muone
 
Ponda kakuponda sana kichwa.kila mtu ana kura yake fanya yako acha watu wafanye yao
 
Kwani yule kafiri WA bakwata aloyesimama kumuombea jiwe ulimsikia juzi au unaona ya Ponda tu?
 
NAAMINI 800% hata Leo hii ikipigwa kura ikiwepo tume huru Lissu anashinda kwa zaidi ya 65%
 
Mbona kuna mgombea anatugawa pia anasema usiponichagulia fulani sileti maji hapa hii ni sawa?
 
Hujaandika namba ya simu slow slow atakufanyia vipi muamala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…