Uchaguzi 2020 Tusimuache Lissu atuahidi yasiyowezekana

Tuambie ccm waliwahi kujenga ofisi wapi ktk Tanzania hii labda umezaliwa kwenye miaka ya themanini kuja tisini. Ungekaa tu kimya maanake hakuna unachojua.
 
Ofisi iliyopo inatosha kwani kupitia ofisi hiyo hiyo ndipo chadema anaogopwa na na CCM mpaka kubambikiwa kesi kupigwa risasi, je? Chadema wangekuwa na ofisi kubwa zaidi si wangepigwa na Ndege za kivita? Ruzuku ya chadema inatumika kuimarisha chama na pia inatumika kujihami dhidi ya Kesi kesi za wana chadema Nchi nzima walizobambikiwa na CCM ya kishetani, pesa nyingi ya chadema hutumika kujihami dhidi ya hujuma za CCM,
 
Uzoefu wangu unaniambia hivi,ccm kwa kujua wamewanyima watanzania elimu kwa maana ya ujuzi na maarifa,ccm kwa kujua kuwa watanzania ni mafukara sana hivyo hawana uwezo wa kutoka nje ya Tanzania,kila Jambo jema kwa nchi yetu huwa wanalipiga sana na watanzania huwaamini Ila baada ya miaka mitano ccm huja na Jambo lile lile walilolipinga kwa nguvu zote five years ago Obama Care was excellent,Trump ameipiga chini kwa akili mbovu zake sawa na huyu kichaa wetu anavyofanya kwa miradi iliyoachwa na mtangulizi,lakini pia siyo kila kilichofeli USA lazima kifeli hapa? mbona kwenye Corona hujilinganishi na USA?
 
Tuambie ccm waliwahi kujenga ofisi wapi ktk Tanzania hii labda umezaliwa kwenye miaka ya themanini kuja tisini. Ungekaa tu kimya maanake hakuna unachojua.
Point. CCM hawajawahi kujenga ofisi. Zote zilijengwa na serikali chini ya chama kimoja. Hivi vitoto vya Instagram ilibidi viombwe hata birth certificates kabla ya kuungwa JF. Unaweza kukuta mwingine kamaliza clinic mwaka juzi leo anaparamia JF.Utaumia, huku kuna think tanks. Hawa wanastahili FB na Insta

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
hii 8000000 ni kupelekana peponi ukiwa unaua
Hiyo je
 
SAWA KADA MTIIFU
 
ikabili hoja hapo juu inatekelezeka vip bila jaziba bali kisomi zaidi kwa data na uwaledi bila matusi wala dhiaka
 
Ofisi za CCM ni ofisi za chadema na vyama vingine CCM warejeshe ofisi za wapinzani waache kumiliki majengo viwanja vya vyama vyote, CCM hawana ofisi zao bali wamevamia na kumiliki ofisi za vyama vyote, baada ya mfumo wa vyama vingi kuanza rasmi mwaka 1991 ilipaswa majengo ya CCM yote viwanja vyote na mali zote zigawanywe kwa vyama vyote, cha ajabu mpaka sasa CCM wanaishi na kutumia majengo ya chadema na vyama vingine kinyume cha katiba na Sheria, ruzuku ya CCM haitumiki kwa maendeleo ya CCM bali inatumika kuidhoofisha chadema kuu vyama vingi kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwatengenezea propaganda mbalimbali kwa kuwalipa cyprian Musiba na Le mutuz mabilioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…