Uchaguzi 2020 Tusimuache Lissu atuahidi yasiyowezekana

Umetumia akili kuuliza swali au makalio?
Hayo madege yaliyopaki yalipatikana kwa kukusanya kodi na impact yake kwa bibi yako huko kijijini ni kupata maji, barabara, na huduma za afya kwa pesa zitokanazo ma wewe kwa kupanda hizo mdege.

Sisi kama nchi tunahitaji ukusanyaji wa kodi kufikia tirioni tatu hadi tano kwa mwezi ili tuondokane na utegemezi,
Sasa kwa hali ilivyo kwa sasa bado hali hailidhishi kwa makusanyo hayo na ndo maana tunakopa kujazia mahitaji yetu na kulipa kutokana na makusanyo hayo.

Sasa lisu atakapo punguza hiyo kodi ili apate wawekezaji wa nje na aweke mahusiano na hizo nchi, je pesa itapatikanaje maana kiwango cha mapato kitapungua?
Mmekuwa mafundi wa kusema taifa linadaiwa pesa nyingi, je nyie hamtakopa?

Na kwa kuwa deni ni kubwa, sasa hiyo pesa ya kujaza hayo mapengo mtatoa wapi?
Na kama mtakopa ina maana hamjielewi vichwani mwenu mnacho kisimamia?
Hatuwezibkumpa lisu nchi kwa majaribio
Kwa kuwa wawekezaji anao wataka lisu ni wale wa kutunyonya hivy tuaingia utmwani na azima ya ushoga itatimia.
 
Kuandika upuuzi mbele ya jamii ya watu wenye upeo ni kujidhalilisha!Unahisi umeandika cha maana lakini watu timamu tunakuona mpumbav ambaye hujapevuka!JF sio size yako,hamia facebook upeleke mipasho yako!
Tuonyeshe basi matumizi ya hizo pesa, zimefanya nini kama una akiri?
 
Hivi mtaongeza au kupunguza Ajira milioni 8?

Maana miaka 5 ajira zinapungua tu. Au bado hamjaridhika mnataka zipungue zaidi?

Bado tunasubiria 50m hapa.
 
Kuandika upuuzi mbele ya jamii ya watu wenye upeo ni kujidhalilisha!Unahisi umeandika cha maana lakini watu timamu tunakuona mpumbav ambaye hujapevuka!JF sio size yako,hamia facebook upeleke mipasho yako!
Mmezidiwa na CUF amabayo kwa sasa ni ACT wana majengo yao zanziba na hwajawahi kupata ruzuku kama yenu.
 
Bakini kushangilia hata vitu vya kijinga kwa kuwa akili mmemkabidhi T Lisu, kwa hiyo anawaona maboya tu
Kama umeumia basi kunywa dawa utulize maumivu!Karne ya 21 hii na hapa ni JF,msidhani mnaweza kumpangia upande mtu!Tunaojitambua hizi propaganda mfu tunazipuuza!
 
Kwa Hii habari ya chama kikongwe na habari ya kuzalisha ajira milioni 8 ndiyo leo nimeshtuka CCM si wakweli hata kidogo!Mlistahili zaid ya hapa kwenye uhalisia
 
Unadhan katumia makalio kuuliza au Wewe ndo umetumia makalio kufikiri na kujibu? Staha muhimu!
 
Yapo mengi sana waliyo tudanganya hasa lile la walimu kupewa laptop.

Hili ni bomu la kutega ambalo litalipuka muda wowote na wana ccm watalia kilio cha ngamia
Chadema bhana kwa kujipa matumaini😂😂, ilihali mnajua kabisa hamuwezi kushika kukanyaga ikulu😁.
 

Wewe naona ni mgeni hapa nchini kama ni suala la ofisi hata CCM hawana , nenda vijijini utakuta wamekaa kwenye maghala ya ushirika kama ofisi zao.

Jiulize wana miaka mingapi wanapata ruzuku na bado hawana ofisi tangu Uhuru.
 
Wewe naona ni mgeni hapa nchini kama ni suala la ofisi hata ccm hawana , nenda vijijini utakuta wamekaa kwenye maghala ya ushirika kama ofisi zao.
Jiulize wana miaka mingapi wanapata ruzuku na bado hawana ofisi tangu Uhuru.

Atleast they have a main office, nchi ni kubwa atleast ruzuku wanazitumia znaonekana, karibia ofisi zao nyingi zna hadhi ni sehem chache tu zmebaki ila sasa cdm ata main office mtu anaweza dhan ni gesti
 
atleast they have a main office, nchi ni kubwa atleast ruzuku wanazitumia znaonekana, karibia ofisi zao nyingi zna hadhi ni sehem chache tu zmebaki ila sasa cdm ata main office mtu anaweza dhan ni gesti
Approximately a century now and it is atleast as you said , for how long should they remain primitive.
 
Hiyo millioni 50 imezaa zahanati na umeme wa REA kila kijiji..kumbuka kujiungia umeme ilikuwa 170,000 na sasa ni elf 27 tu..upewe nini?
Hivi nyie kichwani kuna nini? REA kaleta Magu? aliahidi hilo? zahanati kila kijiji ni kazi ya wizara ya afya na sio mpaka rais atoe ahadi kwenye kampeni.
 
Hiyo millioni 50 imezaa zahanati na umeme wa REA kila kijiji..kumbuka kujiungia umeme ilikuwa 170,000 na sasa ni elf 27 tu..upewe nini?
Huo ni uongo mtupu, walioko barabara kuu ndio wanapata umeme tu, nyumba ya 10 kutoka barabarani ni gharama za kufa mtu.
 
Chadema bhana kwa kujipa matumaini[emoji23][emoji23], ilihali mnajua kabisa hamuwezi kushika kukanyaga ikulu[emoji16].
Kwani CCM nyinyi ndiyo mna leseni ya kwenda ikulu? Wacheni kujidanganya
 
Hivi alisema kuwa na bima bure au kuwa na bima ya matibabu kwa kila mwananchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…