Uchaguzi 2020 Tusimuache Lissu atuahidi yasiyowezekana

Uchaguzi 2020 Tusimuache Lissu atuahidi yasiyowezekana

TataMadiba

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
9,866
Reaction score
5,747
TUSIMWACHE LISU ATUAHIDI YASIYOWEZEKANA.

Na Thadei Ole Mushi.

Kwenye kampeni za Lisu ana Mambo makubwa mawili anayowaomba watanzania wamchague nayo. Moja ni malalamiko yake ya kupigwa risasi hii Kwake Ni Kama Kete ya kuwaomba watanzania wamuonee huruma aingie Ikulu. Jambo la Pili ni Sera zake anazotakiwa awashawishi nazo watanzania ili wamchague kuwa Rais.

Nilishawahi kusema kuwa hakuna siku nitambeza Lisu kwa kupigwa Kwake Risasi na Wala sintoongea nikimuona analalamika kuwa mwili wake una machuma kila Mahali. Kama watanzania wataamua kumchagua kwa kuwa tu aliwahi kushambuliwa na watu wasiojulikana Hilo nimewaachia. Mimi nitajikita kwenye Sera zake ambazo kwangu ndio kipimo Cha kutoa kura yangu kumchagua Kiongozi katika ngazi zote iwe udiwani, Ubunge, au Urais nitazipima Sera kabla ya kuchagua.

Nimesikikiza Sera za mgombea urais Lisu anayo Mambo makuu matatu anayowaahidi watanzania kubwa kabisa ni kila mtanzania kumiki bima ya Afya, kupunguza Makato ya Wanufaika wa Bodi, kuleta maendeleo ya watu badala ya vitu. Haya ndio anayoyarudia kila Mara anaposhika kipaza sauti Leo tuongele moja kesho tutaongele lingine na leo tuanze na Bima ya Afya kwa kila mtanzania.

BIMA BURE

Nimejaribu ku survey nchi nyingi duniani, Ni nchi ipi yenye uwezo wa kuwapa wananchi wake wote Bima BURE sikuona.

Marekani ilijaribu kupitia Obama Care lakini baada ya Muda mfupi walishindwa na Obama care ikafa. Sababu kubwa Ni gharama za uendeshaji. Kutokana na U.S Census Bureau taifa la Marekeni lina watu milioni 28.1 tu ya wasiokuwa na Bima. Hivyo Obama care ilidhamiria kufanya Coverage ya watu milioni 28 tu kuwalipia huduma za Afya lakini wameshindwa kutokana na gharama zake. Hili ni taifa tajiri kuliko yote duniani limeshindwa kuwalipia watu milioni 28 tu je kwa Tanzania wenye Bima hawafikii milioni kumi je milioni Arobaini iliyobakia wanaofanya kazi wataweza kuwalipia gharama hizo?

Sababu nyingine ya wamarekani kukataa Obama care ni kuwa Kama itafanya kazi Kodi ingelipanda sana nchini marekani hivyo wakaamua kuitupilia mbali. Kuna nchi zinazotajwa kuwa na unafuu wa Bima Duniania lakini sio bure naomba kuzitaja:-

1.Ujerumani.

Ujerumani ndio taifa linaloonekana Kama Bima yake angalau Ina unafuu kwa wananchi wake. Lakini pia sio wajerumani wote ambao Wana Bima ya afya. Wafanyakazi wote nchini ujerumani wanalipia Bima zao kwa kushirikiana na waajiri. Wengine waliobakia wanalipia kiasi kidogo Bima zao.

2. Singapore

Singapore wao Wana mfumo wa Bima unaoitwa Medshield ambao serikali kwa asilimia kubwa ndio inabeba gharama za matibabu lakini kila mtu nchini Singapore anatakiwa alipie asilimia 10 ya kipato chako kwenye mfuko huo. Kama ni Mkulima wanakupigia mahesabu asilimia 10 ya unachokipata ulipie kwenye mfuko wa bima, Kama ni mfanyakazi vivyohivyo pamoja na kuwa unaonekaba kuwa mfumo Bora kuliko yote duniani lakini bado unalipiwa na wenye kipato kikubwa bado wanaumia sana kukatwa asilimia 10 kwa ajili ya Bima.

3. Japani

Japani wao Wana mfumo wa Bima unaoitwa SHIS mfumo huu nao watu wanatakiwa kujiandikisha na kulipia.

4. Uingereza.

Wao ndio kwa asilimia kubwa wamefanikiwa kwa kuwa hospital asilimia kubwa zinamilikiwa na serikali na wafanyakazi wote hulipwa na Serikali. Mfumo wao wa Bima wa NHS gharama zake zote hutolewa na Serikali. Ila bado una changamoto na mtu akitaka kutibiwa private ambako Kuna huduma nzuri na za haraka unatakiwa kulipia mwenyewe.

Hizo Zina unafuu Duniania Soma unafuu wake halafu tulinganishe na Tanzania.

Tanzania.

Tuna Bima ya NHIF ambayo huangaika na watumishi wa Umma na wategemezi wao. Huu tunauchangia asilimia Kama mataifa mengine yanavyouchangia. Tena asilimia tatu tu tofauti na mataifa Mengi sana Duniania.

Tuna mfuko mwingine iCHF (Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii ulio Boreshwa), huduma hii ya Bima ni kwa gharama nafuu kabisa kwa Watanzania wote katika Sekta ya Afya kwa Familia ya watu sita yaani Baba, Mama na watoto wanne kwa Tsh. 30,000/- tu kwa mwaka mzima. Una pata huduma zoote za matibabu kuanzia kituo kidogo cha Afya mpaka Hospital ya Mkoa.

Serikali Ina mpango pia wa kuleta Sheria Bungeni ya kuwataka watanzania wote kuingizwa kwenye mfuko wa Bima ya Afya.

Mimi nataka kufahamu Lisu anataka kuifanyaje hiyo Bima yake. Sio kwamba nambeza la hasha nataka kufahamu Bima yake anayoihubiri Ina nini ndani na itakuwa inafanana na ya nchi gani.

Tusimwache Lisu atudanganye Kuna haja ya kuchambua haya yanayoongelewa na wanasiasa. Kesho tutachanbua Sera ya Lisu nyingine.

Hoja yangu CHADEMA naomba muwaeleweshe watanzania hiyo Bima yenu ina package gani?

Ole Mushi
0712702602
 
CCM bwana., Sasa Kama hajui hata package ya bima itakuwaje unasemaje kuwa Ni uongo na haitekelezeki?
Chuoni tunalipia 50,000/= na tunapata Huduma karibu zote labda kama una una kansa ya ubongo na au inahitaji upasuaji mkubwa. Lakini Huduma za afya za kawaida zinapatikana Kama kawaida.
 
TUSIMWACHE LISU ATUAHIDI YASIYOWEZEKANA.

Na Thadei Ole Mushi.

Kwenye kampeni za Lisu ana Mambo makubwa mawili anayowaomba watanzania wamchague nayo. Moja ni malalamiko yake ya kupigwa risasi hii Kwake Ni Kama Kete ya kuwaomba watanzania wamuonee huruma aingie Ikulu. Jambo la Pili ni Sera zake anazotakiwa awashawishi nazo watanzania ili wamchague kuwa Rais.

Nilishawahi kusema kuwa hakuna siku nitambeza Lisu kwa kupigwa Kwake Risasi na Wala sintoongea nikimuona analalamika kuwa mwili wake una machuma kila Mahali. Kama watanzania wataamua kumchagua kwa kuwa tu aliwahi kushambuliwa na watu wasiojulikana Hilo nimewaachia. Mimi nitajikita kwenye Sera zake ambazo kwangu ndio kipimo Cha kutoa kura yangu kumchagua Kiongozi katika ngazi zote iwe udiwani, Ubunge, au Urais nitazipima Sera kabla ya kuchagua.

Nimesikikiza Sera za mgombea urais Lisu anayo Mambo makuu matatu anayowaahidi watanzania kubwa kabisa ni kila mtanzania kumiki bima ya Afya, kupunguza Makato ya Wanufaika wa Bodi, kuleta maendeleo ya watu badala ya vitu. Haya ndio anayoyarudia kila Mara anaposhika kipaza sauti Leo tuongele moja kesho tutaongele lingine na leo tuanze na Bima ya Afya kwa kila mtanzania.

BIMA BURE

Nimejaribu ku survey nchi nyingi duniani, Ni nchi ipi yenye uwezo wa kuwapa wananchi wake wote Bima BURE sikuona.

Marekani ilijaribu kupitia Obama Care lakini baada ya Muda mfupi walishindwa na Obama care ikafa. Sababu kubwa Ni gharama za uendeshaji. Kutokana na U.S Census Bureau taifa la Marekeni lina watu milioni 28.1 tu ya wasiokuwa na Bima. Hivyo Obama care ilidhamiria kufanya Coverage ya watu milioni 28 tu kuwalipia huduma za Afya lakini wameshindwa kutokana na gharama zake. Hili ni taifa tajiri kuliko yote duniani limeshindwa kuwalipia watu milioni 28 tu je kwa Tanzania wenye Bima hawafikii milioni kumi je milioni Arobaini iliyobakia wanaofanya kazi wataweza kuwalipia gharama hizo?

Sababu nyingine ya wamarekani kukataa Obama care ni kuwa Kama itafanya kazi Kodi ingelipanda sana nchini marekani hivyo wakaamua kuitupilia mbali. Kuna nchi zinazotajwa kuwa na unafuu wa Bima Duniania lakini sio bure naomba kuzitaja:-

1.Ujerumani.

Ujerumani ndio taifa linaloonekana Kama Bima yake angalau Ina unafuu kwa wananchi wake. Lakini pia sio wajerumani wote ambao Wana Bima ya afya. Wafanyakazi wote nchini ujerumani wanalipia Bima zao kwa kushirikiana na waajiri. Wengine waliobakia wanalipia kiasi kidogo Bima zao.

2. Singapore

Singapore wao Wana mfumo wa Bima unaoitwa Medshield ambao serikali kwa asilimia kubwa ndio inabeba gharama za matibabu lakini kila mtu nchini Singapore anatakiwa alipie asilimia 10 ya kipato chako kwenye mfuko huo. Kama ni Mkulima wanakupigia mahesabu asilimia 10 ya unachokipata ulipie kwenye mfuko wa bima, Kama ni mfanyakazi vivyohivyo pamoja na kuwa unaonekaba kuwa mfumo Bora kuliko yote duniani lakini bado unalipiwa na wenye kipato kikubwa bado wanaumia sana kukatwa asilimia 10 kwa ajili ya Bima.

3. Japani

Japani wao Wana mfumo wa Bima unaoitwa SHIS mfumo huu nao watu wanatakiwa kujiandikisha na kulipia.

4. Uingereza.

Wao ndio kwa asilimia kubwa wamefanikiwa kwa kuwa hospital asilimia kubwa zinamilikiwa na serikali na wafanyakazi wote hulipwa na Serikali. Mfumo wao wa Bima wa NHS gharama zake zote hutolewa na Serikali. Ila bado una changamoto na mtu akitaka kutibiwa private ambako Kuna huduma nzuri na za haraka unatakiwa kulipia mwenyewe.

Hizo Zina unafuu Duniania Soma unafuu wake halafu tulinganishe na Tanzania.

Tanzania.

Tuna Bima ya NHIF ambayo huangaika na watumishi wa Umma na wategemezi wao. Huu tunauchangia asilimia Kama mataifa mengine yanavyouchangia. Tena asilimia tatu tu tofauti na mataifa Mengi sana Duniania.

Tuna mfuko mwingine iCHF (Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii ulio Boreshwa), huduma hii ya Bima ni kwa gharama nafuu kabisa kwa Watanzania wote katika Sekta ya Afya kwa Familia ya watu sita yaani Baba, Mama na watoto wanne kwa Tsh. 30,000/- tu kwa mwaka mzima. Una pata huduma zoote za matibabu kuanzia kituo kidogo cha Afya mpaka Hospital ya Mkoa.

Serikali Ina mpango pia wa kuleta Sheria Bungeni ya kuwataka watanzania wote kuingizwa kwenye mfuko wa Bima ya Afya.

Mimi nataka kufahamu Lisu anataka kuifanyaje hiyo Bima yake. Sio kwamba nambeza la hasha nataka kufahamu Bima yake anayoihubiri Ina nini ndani na itakuwa inafanana na ya nchi gani.

Tusimwache Lisu atudanganye Kuna haja ya kuchambua haya yanayoongelewa na wanasiasa. Kesho tutachanbua Sera ya Lisu nyingine.

Hoja yangu Chadema naomba muwaeleweshe watanzania hiyo Bima yenu ina package gani?

Ole Mushi
0712702602
MILIONI 50 KILA KIJIJI
 
TUSIMWACHE LISU ATUAHIDI YASIYOWEZEKANA.

Na Thadei Ole Mushi.

Kwenye kampeni za Lisu ana Mambo makubwa mawili anayowaomba watanzania wamchague nayo. Moja ni malalamiko yake ya kupigwa risasi hii Kwake Ni Kama Kete ya kuwaomba watanzania wamuonee huruma aingie Ikulu. Jambo la Pili ni Sera zake anazotakiwa awashawishi nazo watanzania ili wamchague kuwa Rais.

Nilishawahi kusema kuwa hakuna siku nitambeza Lisu kwa kupigwa Kwake Risasi na Wala sintoongea nikimuona analalamika kuwa mwili wake una machuma kila Mahali. Kama watanzania wataamua kumchagua kwa kuwa tu aliwahi kushambuliwa na watu wasiojulikana Hilo nimewaachia. Mimi nitajikita kwenye Sera zake ambazo kwangu ndio kipimo Cha kutoa kura yangu kumchagua Kiongozi katika ngazi zote iwe udiwani, Ubunge, au Urais nitazipima Sera kabla ya kuchagua.

Nimesikikiza Sera za mgombea urais Lisu anayo Mambo makuu matatu anayowaahidi watanzania kubwa kabisa ni kila mtanzania kumiki bima ya Afya, kupunguza Makato ya Wanufaika wa Bodi, kuleta maendeleo ya watu badala ya vitu. Haya ndio anayoyarudia kila Mara anaposhika kipaza sauti Leo tuongele moja kesho tutaongele lingine na leo tuanze na Bima ya Afya kwa kila mtanzania.

BIMA BURE

Nimejaribu ku survey nchi nyingi duniani, Ni nchi ipi yenye uwezo wa kuwapa wananchi wake wote Bima BURE sikuona.

Marekani ilijaribu kupitia Obama Care lakini baada ya Muda mfupi walishindwa na Obama care ikafa. Sababu kubwa Ni gharama za uendeshaji. Kutokana na U.S Census Bureau taifa la Marekeni lina watu milioni 28.1 tu ya wasiokuwa na Bima. Hivyo Obama care ilidhamiria kufanya Coverage ya watu milioni 28 tu kuwalipia huduma za Afya lakini wameshindwa kutokana na gharama zake. Hili ni taifa tajiri kuliko yote duniani limeshindwa kuwalipia watu milioni 28 tu je kwa Tanzania wenye Bima hawafikii milioni kumi je milioni Arobaini iliyobakia wanaofanya kazi wataweza kuwalipia gharama hizo?

Sababu nyingine ya wamarekani kukataa Obama care ni kuwa Kama itafanya kazi Kodi ingelipanda sana nchini marekani hivyo wakaamua kuitupilia mbali. Kuna nchi zinazotajwa kuwa na unafuu wa Bima Duniania lakini sio bure naomba kuzitaja:-

1.Ujerumani.

Ujerumani ndio taifa linaloonekana Kama Bima yake angalau Ina unafuu kwa wananchi wake. Lakini pia sio wajerumani wote ambao Wana Bima ya afya. Wafanyakazi wote nchini ujerumani wanalipia Bima zao kwa kushirikiana na waajiri. Wengine waliobakia wanalipia kiasi kidogo Bima zao.

2. Singapore

Singapore wao Wana mfumo wa Bima unaoitwa Medshield ambao serikali kwa asilimia kubwa ndio inabeba gharama za matibabu lakini kila mtu nchini Singapore anatakiwa alipie asilimia 10 ya kipato chako kwenye mfuko huo. Kama ni Mkulima wanakupigia mahesabu asilimia 10 ya unachokipata ulipie kwenye mfuko wa bima, Kama ni mfanyakazi vivyohivyo pamoja na kuwa unaonekaba kuwa mfumo Bora kuliko yote duniani lakini bado unalipiwa na wenye kipato kikubwa bado wanaumia sana kukatwa asilimia 10 kwa ajili ya Bima.

3. Japani

Japani wao Wana mfumo wa Bima unaoitwa SHIS mfumo huu nao watu wanatakiwa kujiandikisha na kulipia.

4. Uingereza.

Wao ndio kwa asilimia kubwa wamefanikiwa kwa kuwa hospital asilimia kubwa zinamilikiwa na serikali na wafanyakazi wote hulipwa na Serikali. Mfumo wao wa Bima wa NHS gharama zake zote hutolewa na Serikali. Ila bado una changamoto na mtu akitaka kutibiwa private ambako Kuna huduma nzuri na za haraka unatakiwa kulipia mwenyewe.

Hizo Zina unafuu Duniania Soma unafuu wake halafu tulinganishe na Tanzania.

Tanzania.

Tuna Bima ya NHIF ambayo huangaika na watumishi wa Umma na wategemezi wao. Huu tunauchangia asilimia Kama mataifa mengine yanavyouchangia. Tena asilimia tatu tu tofauti na mataifa Mengi sana Duniania.

Tuna mfuko mwingine iCHF (Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii ulio Boreshwa), huduma hii ya Bima ni kwa gharama nafuu kabisa kwa Watanzania wote katika Sekta ya Afya kwa Familia ya watu sita yaani Baba, Mama na watoto wanne kwa Tsh. 30,000/- tu kwa mwaka mzima. Una pata huduma zoote za matibabu kuanzia kituo kidogo cha Afya mpaka Hospital ya Mkoa.

Serikali Ina mpango pia wa kuleta Sheria Bungeni ya kuwataka watanzania wote kuingizwa kwenye mfuko wa Bima ya Afya.

Mimi nataka kufahamu Lisu anataka kuifanyaje hiyo Bima yake. Sio kwamba nambeza la hasha nataka kufahamu Bima yake anayoihubiri Ina nini ndani na itakuwa inafanana na ya nchi gani.

Tusimwache Lisu atudanganye Kuna haja ya kuchambua haya yanayoongelewa na wanasiasa. Kesho tutachanbua Sera ya Lisu nyingine.

Hoja yangu Chadema naomba muwaeleweshe watanzania hiyo Bima yenu ina package gani?

Ole Mushi
0712702602
Jiwe aliahidi kila kijiji mil.50,kila mwalimu lap top hajatimiza na wewe hujahoji.Wewe vipi?
 
Ahadi za TL ni sawa na ahadi za mlevi wa Konyagi, kama wameshindwa kujenga hata ofisi ya chama chao wataweza ya kuwajengea Watanzania mahitaji yao? Ruzuku ya 320+ millioni kila mwezi pamoja na michango ya wabunge wao wameshindwa kuwa na ofisi miaka zaidi ya 20 tangu hiki chama kianzishwe na baba mkwe wa mlevi wa konyagi.
 
CCM bwana., Sasa Kama hajui hata package ya bima itakuwaje unasemaje kuwa Ni uongo na haitekelezeki?
Chuoni tunalipia 50,000/= na tunapata Huduma karibu zote labda kama una una kansa ya ubongo na au inahitaji upasuaji mkubwa. Lakini Huduma za afya za kawaida zinapatikana Kama kawaida.
Unataka utuletee vifurushi vya chuo au sio.?
Itabidi watz wote tuwe wanachuo..
 
Ccm imeahidi ahadi hewa kibao kwa miaka 50 sasa na tumewaacha tu, ngoja tujaribu ahadi za Lissu hata kama haziwezekani

Za kwenu tumezichoka
Kwa sasa hatuahidi, tunafanya..ukitaka hadithi nenda tu kwenye kampeni za lisu.
 
TUSIMWACHE LISU ATUAHIDI YASIYOWEZEKANA.

Na Thadei Ole Mushi.

Kwenye kampeni za Lisu ana Mambo makubwa mawili anayowaomba watanzania wamchague nayo. Moja ni malalamiko yake ya kupigwa risasi hii Kwake Ni Kama Kete ya kuwaomba watanzania wamuonee huruma aingie Ikulu. Jambo la Pili ni Sera zake anazotakiwa awashawishi nazo watanzania ili wamchague kuwa Rais.

Nilishawahi kusema kuwa hakuna siku nitambeza Lisu kwa kupigwa Kwake Risasi na Wala sintoongea nikimuona analalamika kuwa mwili wake una machuma kila Mahali. Kama watanzania wataamua kumchagua kwa kuwa tu aliwahi kushambuliwa na watu wasiojulikana Hilo nimewaachia. Mimi nitajikita kwenye Sera zake ambazo kwangu ndio kipimo Cha kutoa kura yangu kumchagua Kiongozi katika ngazi zote iwe udiwani, Ubunge, au Urais nitazipima Sera kabla ya kuchagua.

Nimesikikiza Sera za mgombea urais Lisu anayo Mambo makuu matatu anayowaahidi watanzania kubwa kabisa ni kila mtanzania kumiki bima ya Afya, kupunguza Makato ya Wanufaika wa Bodi, kuleta maendeleo ya watu badala ya vitu. Haya ndio anayoyarudia kila Mara anaposhika kipaza sauti Leo tuongele moja kesho tutaongele lingine na leo tuanze na Bima ya Afya kwa kila mtanzania.

BIMA BURE

Nimejaribu ku survey nchi nyingi duniani, Ni nchi ipi yenye uwezo wa kuwapa wananchi wake wote Bima BURE sikuona.

Marekani ilijaribu kupitia Obama Care lakini baada ya Muda mfupi walishindwa na Obama care ikafa. Sababu kubwa Ni gharama za uendeshaji. Kutokana na U.S Census Bureau taifa la Marekeni lina watu milioni 28.1 tu ya wasiokuwa na Bima. Hivyo Obama care ilidhamiria kufanya Coverage ya watu milioni 28 tu kuwalipia huduma za Afya lakini wameshindwa kutokana na gharama zake. Hili ni taifa tajiri kuliko yote duniani limeshindwa kuwalipia watu milioni 28 tu je kwa Tanzania wenye Bima hawafikii milioni kumi je milioni Arobaini iliyobakia wanaofanya kazi wataweza kuwalipia gharama hizo?

Sababu nyingine ya wamarekani kukataa Obama care ni kuwa Kama itafanya kazi Kodi ingelipanda sana nchini marekani hivyo wakaamua kuitupilia mbali. Kuna nchi zinazotajwa kuwa na unafuu wa Bima Duniania lakini sio bure naomba kuzitaja:-

1.Ujerumani.

Ujerumani ndio taifa linaloonekana Kama Bima yake angalau Ina unafuu kwa wananchi wake. Lakini pia sio wajerumani wote ambao Wana Bima ya afya. Wafanyakazi wote nchini ujerumani wanalipia Bima zao kwa kushirikiana na waajiri. Wengine waliobakia wanalipia kiasi kidogo Bima zao.

2. Singapore

Singapore wao Wana mfumo wa Bima unaoitwa Medshield ambao serikali kwa asilimia kubwa ndio inabeba gharama za matibabu lakini kila mtu nchini Singapore anatakiwa alipie asilimia 10 ya kipato chako kwenye mfuko huo. Kama ni Mkulima wanakupigia mahesabu asilimia 10 ya unachokipata ulipie kwenye mfuko wa bima, Kama ni mfanyakazi vivyohivyo pamoja na kuwa unaonekaba kuwa mfumo Bora kuliko yote duniani lakini bado unalipiwa na wenye kipato kikubwa bado wanaumia sana kukatwa asilimia 10 kwa ajili ya Bima.

3. Japani

Japani wao Wana mfumo wa Bima unaoitwa SHIS mfumo huu nao watu wanatakiwa kujiandikisha na kulipia.

4. Uingereza.

Wao ndio kwa asilimia kubwa wamefanikiwa kwa kuwa hospital asilimia kubwa zinamilikiwa na serikali na wafanyakazi wote hulipwa na Serikali. Mfumo wao wa Bima wa NHS gharama zake zote hutolewa na Serikali. Ila bado una changamoto na mtu akitaka kutibiwa private ambako Kuna huduma nzuri na za haraka unatakiwa kulipia mwenyewe.

Hizo Zina unafuu Duniania Soma unafuu wake halafu tulinganishe na Tanzania.

Tanzania.

Tuna Bima ya NHIF ambayo huangaika na watumishi wa Umma na wategemezi wao. Huu tunauchangia asilimia Kama mataifa mengine yanavyouchangia. Tena asilimia tatu tu tofauti na mataifa Mengi sana Duniania.

Tuna mfuko mwingine iCHF (Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii ulio Boreshwa), huduma hii ya Bima ni kwa gharama nafuu kabisa kwa Watanzania wote katika Sekta ya Afya kwa Familia ya watu sita yaani Baba, Mama na watoto wanne kwa Tsh. 30,000/- tu kwa mwaka mzima. Una pata huduma zoote za matibabu kuanzia kituo kidogo cha Afya mpaka Hospital ya Mkoa.

Serikali Ina mpango pia wa kuleta Sheria Bungeni ya kuwataka watanzania wote kuingizwa kwenye mfuko wa Bima ya Afya.

Mimi nataka kufahamu Lisu anataka kuifanyaje hiyo Bima yake. Sio kwamba nambeza la hasha nataka kufahamu Bima yake anayoihubiri Ina nini ndani na itakuwa inafanana na ya nchi gani.

Tusimwache Lisu atudanganye Kuna haja ya kuchambua haya yanayoongelewa na wanasiasa. Kesho tutachanbua Sera ya Lisu nyingine.

Hoja yangu Chadema naomba muwaeleweshe watanzania hiyo Bima yenu ina package gani?

Ole Mushi
0712702602

Sawa kabisa mleta mada. Ila unataka watu wakubali yule anayewaambia wasichague wainzani kwani wataiba mataruma ya reli na kuyauza kama chuma chakavu, pia kuwadanganya watu kuwa wapinzani hawajui hata bei ya nondoza ujenzi.
 
TataMadiba,
Kwahyo na miujiza yakee tuipuuzeee??

Nawapongeza chadema kwakumwacha agoombeee nimefurahiii saaana, iliajionee kipigo cha umbwa mkali kwakupata kula sawa na chaumaa. Na hii atawahadithia adi mabeberu.
 
Mkuu ila tuwaache CCM na Magufuli waendelee kutuahidi ajira million 8 wakichaguliwa tena ?. Badala ya kupinga ahadi za Lissu, ungeanza kwanz na Magufuli na CCM yake, ambao wameshindwa kuajiri asilimia kubwa ya wahitim within 5years, watawezaje kutengeneza ajira million 8 ndani ya miaka mitano ijayo? . Kama sector binafsi imenyauka mpaka kufikia kuajiri watu 100k badala ya 500k + 2015 kushuka nyuma, hizo ajira zinatoka wapi ?

Kama watu waliomba Ajira serikalini kupitia secretariat ya Ajira toka 2015_ 2018, walikuwa 600k +, na waliopata kazi wakawa 6567 hizi ajira million 8 zinatoka wapi ? .Kama mabenki hayakopeshi kutoka na capital cost kuwa kubwa, hivo watu kutolipa mikopo na mabeki kuogopa kokopesha, then wanaenda kununua hati fungani za serikali zinazotumia muda mrefu ku mature, hivyo kuipa sector ya fedha badi inflow and outflow, hizo ajira zitatoka wapi ?. kwa mwenye akili ulitakiwa ujiulize kwanza huu ulaghai !
 
Unapenda kudanganyika
CCM bwana., Sasa Kama hajui hata package ya bima itakuwaje unasemaje kuwa Ni uongo na haitekelezeki?
Chuoni tunalipia 50,000/= na tunapata Huduma karibu zote labda kama una una kansa ya ubongo na au inahitaji upasuaji mkubwa. Lakini Huduma za afya za kawaida zinapatikana Kama kawaida.
 
CCM bwana., Sasa Kama hajui hata package ya bima itakuwaje unasemaje kuwa Ni uongo na haitekelezeki?
Chuoni tunalipia 50,000/= na tunapata Huduma karibu zote labda kama una una kansa ya ubongo na au inahitaji upasuaji mkubwa. Lakini Huduma za afya za kawaida zinapatikana Kama kawaida.
Wachana na hao wapambe wa chakubanga
 
Back
Top Bottom