Tusimulie love story yako kwa kifupi tujifunze

Tusimulie love story yako kwa kifupi tujifunze

Kweliii mamy...toto nalipenda afu yeye ndo kwanza hata HAELEWI......ila no way nikisema ni move on, nitajidanganya tu ....

BoRA NIWE SINA COUPLE tu, KULIKO kumkosa huyu NJIWA....

SO MUCH PAIN, SO SAD KUWEKEZA SHM AMBAYO HUELEWEKI [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

[emoji117]Nukuu: you know whom you love but you do no who loves you [emoji457]
Pole mpendwa
 
Aisee utakuja ujutie vibaya
[emoji117]KAMA NI MAJUTO NIPO TAYARI KUYAPOKEA, ILA SIYO KUMKOSA AU KUWA NA SHE MWINGINE.......[emoji457]

I LOVE HER,
SIHITAJI MWINGINE ZAIDI YAKE,
NAMPENDA YEYE TUH....
NAPENDA MWONEKANO WAKE TUH, BAADA YA MAMA MZAZ....

NB: watakuja masela Eti wanambie nitafute pesa, (ans; I hv it).
 
Tulitimiza miaka minne kwenye mahusiano,lakini cha kuhuzunisha mm kila sku ndo nilkua naonekana mkosaji kila sku...akikosea yye mm nkakosea kimatamshi bsi linasahaulka la kwanza.Tumeend mwaka jana tukaachan baada ya kumwambia yy n muongo kutokana na tukio husika lililofanyika,akakasilika mm kumwambia hivo ,nikaona hasira zake ilikua kwa chati,nikamuomba msamha hakujbu meseji siku tatu namtafuta hajibu meseji wala kupokea simu.Kutokana na hilo nikaamua tu kukubali kwamba mimi ndo nimeyavunja mahisiano hayu in fact s kweli,miezi miwili mbele akanitafuta na kuniomba msamha na kudai ameahindwa bila mimi na yeye ndo alikua mkosaji na amenikosea sana hivo anaomba nafasi ya kuja kurekebisha makosa yake.Nikamkubalia but mambo yalikua yale yale na mpka sasa tumebrekup na amedai hatuendani kitabia .nimeumia sana koz kaniacha kwenye vipindi viwil tofauti na hali ikawa ngum sana kwangu ila nimeamua kutulia and let her goo.infact alikua mtu wa kwanza kuanza kuyaua mahusiano yetu nilikua nakuja kuonekana mbaya baada ya mimi kuongea kama sehemu ya kunkanya ili tuwe imara kila sku lakin alikua anasubiria neno gan nimeteleza tu ,inakua shida na kuambiwa tuachane tuachane but siku zote nilikua najishusha na kuomba msamha bila kujal nani alkua wa kwanza kukosea .[emoji57]
 
Ngoja na mimi nihadithie kidogo but nilijikuta namkubali mpaka sasa lakini ndio hivyo tuliyamaliza... Kama uko humu... Nakukumbuka Daily....

Nilipokea Simu kutoka kwa Incharge mwenzangu alikwenda kwenye kikao Mimi sikuwa nimeenda alikuwa akinipa taarifa kuwa nahitajika kesho yake niende na kikao kitakuwa siku 2.... Lakini kabla hajakata simu akaniambia kuna Pisi kaiona na kaikubali Ila inamzingua hivyo nikienda nimsaidie kuireview kama iko vyema kisha akakata simu....

Kesho ilipofika asubuhi Incharge mwenzangu akapiga simu kuwa nisisahau kwenda ( kwasababu ninatabia ya kupuuzia seminar na vikao kwasababu ya baadhi mambo hayakuniridhisha yanayotokea kwenye vikao huko) nikamwambia nitaenda na akasisitiza nisisahau kuireview ile Pisi aliyoiona kule jana yake ...

Paap nikaenda (Huwa natabia ya kukaa nyuma japokuwa ni mdogo dogo kiumbo) nikaingia nikaketi... Kikao kikaanza text ikaingia ikinikumbusha kuitizama Pisi kama imekuja.... Sasa kwasababu Incharges tunakuwaga na vikao mara nyingi ni rahisi kujua nani mgeni paap nikagundua kuna mmoja mgeni Pisi, nikamuuliza anaitwa nani akaniambia P ... Ooh nikasubiria muda wa kujitambulisha nikaona akajitaja kwa jina lile lile nililoambiwa... Nikamtonya mdau kuwa nimeiona iko vizuri....

Kikao kikaendelea na kikaisha siku msemesha siku ya kwanza, siku iliyofuata nikawa najibu jibu maswali hatimaye siku ikaisha tulipokuwa tunatoka nikamuona na nikamsalimu nikasepa.....

Ilipita week 2 au 3 hivi

Tuko kwenye Group moja la Mkoa WhatsApp Paap... Kuna scenario ilitumwa ikawa inajibiwa kimzaha, ikabidi niijibu kama ilivyopaswa halafu nikawapiga vijembe ma senior.... Watu wakacheka, sasa kuna namba ilikuwa inanisaidia sana kuongezea madini mule nikajiuliza ni nani? Ikabidi niweke Dp On ili kila mtu akicheki profile aone picha na mimi nione zao...

Paap uzalendo ukanishinda, ikabidi ile namba iliyokuwa inanipa backup ikabidi niifuate inbox haikutegemea, ikanisifia kisha tukaagana .... KUMBE NI YULE PISI WA JAMAA ALIYEMUONA....

Jamaa hizo week zote alikuwa analalamika Pisi haimpi ushirikiano (Jamaa alikuwa anatarajia kuoa soon) nikamwambia ongea naye vizur mtaelewana tu.... Na huku hajui kuwa Pisi accidentally niliicheki WhatsApp na daily inanitumia text au inapiga simu kujua nimeamkaje, nimekula nini au nalalaje.... Daily. .. asubuhi mchana na jioni


Nikakaa week mbili hivi nikaanza kumsifia, paap nikamtongoza (nikamwaga sumu zangu) akazingua kwasababu mimi ni dhehebu tofauti ndicho alichokidai .... Kule jamaa kapigwa pia chini (jamaa ni Dini tofauti pia)....

Nikaona ujinga huu na zimeshapita 2weeks anatuma picha za chakula asubuhi mchana jioni na anasisitiza nimtumie ninachokula pia ila uhusiano ndio hataki kuusikia.... Nikaanza kumpotezea na jamaa akaendelea kumtongoza huku akinipa feedback kuwa anaona hafanikiwi....


NOTE; KIPINDI CHOTE HICHO MSHIKAJI HAJUI KUWA DEMU ANANIAMBIA KUHUSU YEYE, NA DEMU HAJUI ANAYEMZUNGUMZIA DAILY NINAMJUA NA NI MSHIKAJI WANGU.... NA MSHIKAJI WANGU HAJUI KUWA DEMU NINACHATI NAYE KILA SIKU.... KWASABABU NILIMUAMBIA MSHIKAJI WANGU KUWA SINA NAMBA ZA HUYO DEMU NA WALA SIKO INTERESTED NAYE KUMBE NI VERS VESA

Paap, Demu akanikatalia mazima... Nikamuacha kimya akipiga naweza pokea au nisipokee au nijibu text au nisijibu....

Siku moja ijumaa akanipigia simu, nilikuwa nimesafiri niko kwa mzee wangu.... Akaniambia amekorofishana na boss wake ila hajisikii kukaa ofisini hivyo anataka kwenda mbali kurefresh na arudi jioni cz anakaa Jirani na Boss wake... Nikamwambia aende nyumbani kwao anaweza Pata relief (akakataa kwenda Home) akaomba nimchagulie sehemu na hiyo sehemu natakiwa nimpeleke Mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah [emoji22][emoji22][emoji22] Damn You P[emoji22][emoji22][emoji22]

Nilimuacha mzee nikamwambia nimepata Mgonjwa wa dharura [emoji22][emoji22][emoji22] kumbe mpuuzi tu nampeleka sehemu....

Nikamwambia tangulia (ili ufike huko ni 3 to 4 hours) akaenda kupanda gari na Mimi nikamuaga mzee nikasepa [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Nimefika maana nilifika saa kumi na mbili hivi jioni, nikamwambia ikifika saa 1 au 2 inabidi nisepe akasema sawa....

Tukapiga story... Ikafika saa 3 usiku nikamwambia siwezi kuondoka ngoja nitafute Room ya kulala kesho mapema niondoke, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akaomba anisindikize halafu yeye arudi kwao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akanipeleka nikapata Room [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hakuondoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kilichofuata ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] na kelele mingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tukalala ndio mwanzo wa Penzi jpya na Demu wa mshikaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Alikuja kagua simu usiku akagundua kuwa jamaa analalamika so akaona mimi ni mbaya sana....

Tukaongea yakaisha tukasonga miezi kadhaa... Namshukuru Mungu akapata Mimba akaniambia nikafurahi but baada ya 3weeks akaitoa bila kuniambia ila alinijibu Tu kuwa tumbo linamuuma na anashangaa Mimba imetoka...

Nikaona huyu fala, nikamkaripia na nikampiga chini....

Ni 2Years still namkumbuka (mtoto aliyetarajiwa kuja) lakini haikutokea.... Na still namkumbuka cz she's very beautiful and Bright... But her decision is very worse and stupid....
 
Nampenda ila hanikubali kivile
But nitaendelea kumpenda hivyohivyo till end of time..../

Daily mimi ndiyo wa kwanza kumtxt,
Daily mimi ndiyo wa kwanza kumcall,
Daily mimi ndiyo wa kwanza to apologize to her
But I still love her...../

Sometimes anakuwa kama vile ananielewa,
Ila sometimes kama vile kalogwa ama kavurugwa....
Sometimes analeta longolongo kuhusu familia Yao na life la kwao kiujumla and a lot of stories about herself....
But I still love her...../

Namwomba game anarefuse ,
Namwomba meeting at park anakataa,
Namwomba nimtumie hata hela ya soda or water anakataa,
But Bado naendelea kumpenda tu..../

Mapenzi mapenzi mapenzi kwann unanifanyia hivi .....
Napendwa na wadada wacute yaani wakali kinoma ila Kwa bahati mbaya sikuwahi Wala sijawahi kuwa na hisia nao...../

.ILA HUYU NJIWA MSUMBUFU AMBAYE HATAKI KUTUA KIOTANI MWANGU NDIYO AMBAYE ANAUSUMBUA MOYO NA AKILI YANGU...../

daaaaaaaah....mommy njoo bc .....

Au nikufanyie nini , mbona nikikutumia hela unakataa, vizawadi ndiyo usiseme kbs....vipi mamaa!!!

Anyway SIKOMI , SIKOMI NITAENDELEA KUKUPENDA HADI SIKU AMBAYO UPENDO WANGU KWAKO UTAISHA NA KUHAMIA KWA BINTI MWINGINE....../
Man ur being manipulated 😂
 
Tulitimiza miaka minne kwenye mahusiano,lakini cha kuhuzunisha mm kila sku ndo nilkua naonekana mkosaji kila sku...akikosea yye mm nkakosea kimatamshi bsi linasahaulka la kwanza.Tumeend mwaka jana tukaachan baada ya kumwambia yy n muongo kutokana na tukio husika lililofanyika,akakasilika mm kumwambia hivo ,nikaona hasira zake ilikua kwa chati,nikamuomba msamha hakujbu meseji siku tatu namtafuta hajibu meseji wala kupokea simu.Kutokana na hilo nikaamua tu kukubali kwamba mimi ndo nimeyavunja mahisiano hayu in fact s kweli,miezi miwili mbele akanitafuta na kuniomba msamha na kudai ameahindwa bila mimi na yeye ndo alikua mkosaji na amenikosea sana hivo anaomba nafasi ya kuja kurekebisha makosa yake.Nikamkubalia but mambo yalikua yale yale na mpka sasa tumebrekup na amedai hatuendani kitabia .nimeumia sana koz kaniacha kwenye vipindi viwil tofauti na hali ikawa ngum sana kwangu ila nimeamua kutulia and let her goo.infact alikua mtu wa kwanza kuanza kuyaua mahusiano yetu nilikua nakuja kuonekana mbaya baada ya mimi kuongea kama sehemu ya kunkanya ili tuwe imara kila sku lakin alikua anasubiria neno gan nimeteleza tu ,inakua shida na kuambiwa tuachane tuachane but siku zote nilikua najishusha na kuomba msamha bila kujal nani alkua wa kwanza kukosea .[emoji57]
Akirudi hata kwa magoti, mpotezee
 
Haijalishi kama ni la kwako au umeazimwa.Ni pale tu uingiapo JF ni vema ukajiweka kifikra changamfu.Siyo unasoma hoja halafu unatoa komenti kama hauna kichwa unafikiria kwa kutumia mabega.Ingawa,hiyo ni hiyari yako.Najaribu kukubadilisha usiwe mtu wa komenti za kucheka tu.Jenga hoja ukue kiakili.Siyo amri lakini.
Haya bana maendeleo hayana ukabila..
 
Ushauri niliopewaga na mama yangu mkubwa ni kwamba hakikisha ata side chick ni mzuri maana hawa side chicks ndio wanaishia kuwa wake
Hiyo ndo ilikuaga principle yangu mkuu....na ilinisaidia sana kutopelekeshwa na mmoja wao
 
Hiyo ndo ilikuaga principle yangu mkuu....na ilinisaidia sana kutopelekeshwa na mmoja wao
Bwana wee yaani wangejua tunapenda sana tutulie na mmoja mjenge maisha ila bwana bwana hawa viumbe wakishajua wapo wao peke lazima wakuendeshe kma mwendawazimu....dawa yao ni hiyo tuu, uwepo wa mchepuko angalau unapata pakupoza machungu maana hawachelewi hawa kukunyima mbususu
 
Ngoja na mimi nihadithie kidogo but nilijikuta namkubali mpaka sasa lakini ndio hivyo tuliyamaliza... Kama uko humu... Nakukumbuka Daily....

Nilipokea Simu kutoka kwa Incharge mwenzangu alikwenda kwenye kikao Mimi sikuwa nimeenda alikuwa akinipa taarifa kuwa nahitajika kesho yake niende na kikao kitakuwa siku 2.... Lakini kabla hajakata simu akaniambia kuna Pisi kaiona na kaikubali Ila inamzingua hivyo nikienda nimsaidie kuireview kama iko vyema kisha akakata simu....

Kesho ilipofika asubuhi Incharge mwenzangu akapiga simu kuwa nisisahau kwenda ( kwasababu ninatabia ya kupuuzia seminar na vikao kwasababu ya baadhi mambo hayakuniridhisha yanayotokea kwenye vikao huko) nikamwambia nitaenda na akasisitiza nisisahau kuireview ile Pisi aliyoiona kule jana yake ...

Paap nikaenda (Huwa natabia ya kukaa nyuma japokuwa ni mdogo dogo kiumbo) nikaingia nikaketi... Kikao kikaanza text ikaingia ikinikumbusha kuitizama Pisi kama imekuja.... Sasa kwasababu Incharges tunakuwaga na vikao mara nyingi ni rahisi kujua nani mgeni paap nikagundua kuna mmoja mgeni Pisi, nikamuuliza anaitwa nani akaniambia P ... Ooh nikasubiria muda wa kujitambulisha nikaona akajitaja kwa jina lile lile nililoambiwa... Nikamtonya mdau kuwa nimeiona iko vizuri....

Kikao kikaendelea na kikaisha siku msemesha siku ya kwanza, siku iliyofuata nikawa najibu jibu maswali hatimaye siku ikaisha tulipokuwa tunatoka nikamuona na nikamsalimu nikasepa.....

Ilipita week 2 au 3 hivi

Tuko kwenye Group moja la Mkoa WhatsApp Paap... Kuna scenario ilitumwa ikawa inajibiwa kimzaha, ikabidi niijibu kama ilivyopaswa halafu nikawapiga vijembe ma senior.... Watu wakacheka, sasa kuna namba ilikuwa inanisaidia sana kuongezea madini mule nikajiuliza ni nani? Ikabidi niweke Dp On ili kila mtu akicheki profile aone picha na mimi nione zao...

Paap uzalendo ukanishinda, ikabidi ile namba iliyokuwa inanipa backup ikabidi niifuate inbox haikutegemea, ikanisifia kisha tukaagana .... KUMBE NI YULE PISI WA JAMAA ALIYEMUONA....

Jamaa hizo week zote alikuwa analalamika Pisi haimpi ushirikiano (Jamaa alikuwa anatarajia kuoa soon) nikamwambia ongea naye vizur mtaelewana tu.... Na huku hajui kuwa Pisi accidentally niliicheki WhatsApp na daily inanitumia text au inapiga simu kujua nimeamkaje, nimekula nini au nalalaje.... Daily. .. asubuhi mchana na jioni


Nikakaa week mbili hivi nikaanza kumsifia, paap nikamtongoza (nikamwaga sumu zangu) akazingua kwasababu mimi ni dhehebu tofauti ndicho alichokidai .... Kule jamaa kapigwa pia chini (jamaa ni Dini tofauti pia)....

Nikaona ujinga huu na zimeshapita 2weeks anatuma picha za chakula asubuhi mchana jioni na anasisitiza nimtumie ninachokula pia ila uhusiano ndio hataki kuusikia.... Nikaanza kumpotezea na jamaa akaendelea kumtongoza huku akinipa feedback kuwa anaona hafanikiwi....


NOTE; KIPINDI CHOTE HICHO MSHIKAJI HAJUI KUWA DEMU ANANIAMBIA KUHUSU YEYE, NA DEMU HAJUI ANAYEMZUNGUMZIA DAILY NINAMJUA NA NI MSHIKAJI WANGU.... NA MSHIKAJI WANGU HAJUI KUWA DEMU NINACHATI NAYE KILA SIKU.... KWASABABU NILIMUAMBIA MSHIKAJI WANGU KUWA SINA NAMBA ZA HUYO DEMU NA WALA SIKO INTERESTED NAYE KUMBE NI VERS VESA

Paap, Demu akanikatalia mazima... Nikamuacha kimya akipiga naweza pokea au nisipokee au nijibu text au nisijibu....

Siku moja ijumaa akanipigia simu, nilikuwa nimesafiri niko kwa mzee wangu.... Akaniambia amekorofishana na boss wake ila hajisikii kukaa ofisini hivyo anataka kwenda mbali kurefresh na arudi jioni cz anakaa Jirani na Boss wake... Nikamwambia aende nyumbani kwao anaweza Pata relief (akakataa kwenda Home) akaomba nimchagulie sehemu na hiyo sehemu natakiwa nimpeleke Mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah [emoji22][emoji22][emoji22] Damn You P[emoji22][emoji22][emoji22]

Nilimuacha mzee nikamwambia nimepata Mgonjwa wa dharura [emoji22][emoji22][emoji22] kumbe mpuuzi tu nampeleka sehemu....

Nikamwambia tangulia (ili ufike huko ni 3 to 4 hours) akaenda kupanda gari na Mimi nikamuaga mzee nikasepa [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Nimefika maana nilifika saa kumi na mbili hivi jioni, nikamwambia ikifika saa 1 au 2 inabidi nisepe akasema sawa....

Tukapiga story... Ikafika saa 3 usiku nikamwambia siwezi kuondoka ngoja nitafute Room ya kulala kesho mapema niondoke, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akaomba anisindikize halafu yeye arudi kwao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akanipeleka nikapata Room [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hakuondoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kilichofuata ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] na kelele mingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tukalala ndio mwanzo wa Penzi jpya na Demu wa mshikaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Alikuja kagua simu usiku akagundua kuwa jamaa analalamika so akaona mimi ni mbaya sana....

Tukaongea yakaisha tukasonga miezi kadhaa... Namshukuru Mungu akapata Mimba akaniambia nikafurahi but baada ya 3weeks akaitoa bila kuniambia ila alinijibu Tu kuwa tumbo linamuuma na anashangaa Mimba imetoka...

Nikaona huyu fala, nikamkaripia na nikampiga chini....

Ni 2Years still namkumbuka (mtoto aliyetarajiwa kuja) lakini haikutokea.... Na still namkumbuka cz she's very beautiful and Bright... But her decision is very worse and stupid....
Jamaa yako alikuja jua kwamba ulikula huyo dada?
 
Akirudi hata kwa magoti, mpotezee
Hicho nacho nimejifunza pia kaka.kwasababu mara ya kwanza alisema tabia zetu haziendani na kunilaumu mm sana but akarudi ja kuomba msamaha and now again the same stuations.

Kila siku alikuwa ananihukum baada yeye kua mkosaji namba moja and naimn manjua hauwezi kila sku ukawa unaelkeza kwa lugha moja some time jambo likizid lazma usimame kama mtoto wa kiume aasa hapo ndo nilkua naukumiwa nikiteleza kimaneno so was" mistake within a mistake"ni shida kwa kweli
 
Love story yangu ilianzia bafuni miaka ya 1990's wakati naoga ile kujisafisha sehemu za siri nikasikia utaaam flani hv,
basi nikagusa mara imooooooooo
siku inayofuata hata sikuwa na mambo mengi nikaanza kupiga punyeto rasmi na mpaka sasa nina furaha tele kuishi na punyeto wangu mana hajawahi kuni-let me down
IMG-20220418-WA0000.jpg
 
Tulimaliza wote 4m four,tukakutana fb tukapeana no,tukawa tunachati Mara moja moja,akanieleza hisia zake by that time nlikua single nkaona nimkubali anicompany,mapenzi yakawa yakuchati tu for two month,nikasafiri one day tukamit.akaniomba mzigo nkagoma,nlivyotoka hapo akawa hanibembelezi tena anachati km anachat n Dada ake, alafu m ndo nikawa naanza kumtafuta daily nkimtafuta story hazinogi nakuwa km na mlazmisha,n mm hisia zkakata nkamwambia tuachane akakubali .nlichukulia pow but nliumia maumivu yalivyozidi after a weak turudiane akagoma.basi maisha yakasonga hadi sasa ni 4 month hatunamawasiliano yeyote
Kuna dem nilishawahi mpiga chini mapema sana kwa ujinga kama huu....sababu ninaexperience kuwa dem anaekuringia kuna mtu mwingine anakamua tena bila kubembeleza kabisa... Heshima kwa wanaume wanaoweza kubaniwa game wakavumilia kubaki kwenye mahusiano..huenda kuna kitu hawajajua bado
 
Back
Top Bottom