Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!

Yah ila kwasasa ni same same day
 
Kumfukuzisha kazi RM Lindi ni kukosa BUSARA kwa Bashungwa, hajui au hataki kujua historia ya ujenzi wa hii barabara, hii barabara inafanana kabisa na Ile ya Dodoma -iringa na Bagamoyo-Msata! Naamini wakubwa watanielewa
Bora hata Ile ya bagamoyo msata kuliko Dodoma iringa au hiyo ya kusini.
 
Huko kutozingatiwa kwa hali halisi ya ardhi ndio chini ya kiwango kwenyewe.
 
Ni ngumu kuishinda nguvu ya maji...

Ndio maana hata nchi kubwa zinapata shida kama zetu
nchi kubwa ndio zikoje mkuu zina mabawa au?
ivi kweli hata wewe huwezi kufikiria au akili zako kama za niki wa pili aliesema baada ya Mungu ni mzungu halafu yeye niki wa pili, lowest bidder kutokea milima ya uchina anawezaje kujenga barabara ya kuweza kupambana na nguvu ya maji.
 
huyo pm mwenyewe KWAO Kuna gari moja tu hadi leo na njia mbovu vile vile
 
Huu ndio wakati wa serikali kuamka na kufikiri kwa kina.
kila leo masikini Bashungwa yuko barabarani kukagua uozo uliofanywa na watanguizi wake.
Failure in design na viwango hafifu vya barabara zetu sasa zinatucost.
Rushwa imechangia kwa kiasi kikubwa.Pili upeo mdogo, wewe ni msimamizi unamsimamia mkandarasi,unamwita SIr hata akivurunda,hii inferiority complex inatugharimu.
Wataliani ni mafundi wazuri hasa wa madaraja wanaposimamiwa na mtu anayejitambua kama Mwingereza.Lakini Wataliano hao hao wakisimamiwa na akina Boramimi bin Mangungu ni shida,hakuna daraja au mtoto wa daraja.
 
Ni shida
 
Kawaida tu, expansion joint hizo 🤣
 
Hili lina ukweli ndani yake.
Usimamizi wa wahandisi wetu nchini tunaufahamu.
Wengi wanakuwa compromised(kununuiwa) na vihela wanavyopewa na wachina.
Hili tuamini tusiamini lipo.
 
Unaogopa hata kutaja ni waziri gani, tuajuwa vipi; kama waziri huyo huyo kasimamia ujenzi eneo jingine ambalo barabara ni imara tuendelee kusema ni waziri ndiye mhusika?

Nakubaliana na mawazo yako, lakini tabia ya unafiki kufichaficha mambo hata yasiyokuwa na lazima kufichwa haipendezi.
Huyo waziri alikuwa nani, Kawambwa, Magufuli, au rafiki yako sasa m-Pemba ambaye ulimwandikia mada nzima humu JF ukimlalamikia; lakini wakati huu unamwaga sifa kedekede!
 
Huko kuto zingatia hali halisi ya ardhi ndo chini ya kiwango kwenyewe
 
Uko sahihi kabisa
 
U
Unashauri kazi wapewe watu kutoka nchi gani ili tutunge sheria wachina wasiombe kazi ? Unaujuzi na sheria za manunuzi au unafikiri kazi zinagawiwa bila kushindanishwa kwa ushindani wa wazi
 
Halafu hapo mnazi mmoja hadi Masasi ni pa zamani mno na ubovu wake
Sasa kama hadi Muhoro -Somanga pameharibika ,si upuuzi maana pamejengwa juzi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…