Tusio na magari tukutane hapa

Dahh!! Umeuchana ukweli wenyewe, gari si lolote linapokuja suala la usafiri wa ndani ya mji au mkoa ni sawa tu na kumiliki pikipiki, gharama zake ni kubwa sana halafu unakuta mmiliki ni ticha wa shule ya msingi lazima akili zimkae vzr, kabla ya kununua gari jenga kwanza nyumba ya kuishi na uwe na biashara iliyonyooka.
 
Kila mtu na kipaumbele chake!
 
Raha na karaha ya ngoma ni kuingia kucheza, Raha na karaha ya ndoa ni kuingia kwenye ndoa...
Ukitaka kujua karaha za kumiliki gari basi miliki gari kwanza. Wenye magari hawawezi kukwambia ukweli wa hizo karaha kwa sababu umiliki wao wa gari ndio umetengeneza status zao kwenye jamii, hivyo watajitahidi kuonyesha kuwa ni watu wenye furaha ili kulinda status. Ni sawa sawa na ndoa. Wanandoa nao wana hiyo tabia.

Ulishawahi kuwaza haya...
1/Motor vehicle insurance.
2/Kodi ya mapato.
3/Bei za Diseal na Petrol.
4/Car Parking fee.
5/Bei za kuoshewa gari.
6/Mafundi Garage.
7/Faini za barabarani.
8/Bei za oil, Filter, Plug.
9/Kuziba pancha.
10/Kusukuma gari.

Miliki gari yako ndio utayajua hayo na utajua gharama zake zikoje na kwa vipi zinaathiri maisha ya mtu ya kila siku.
 
Am impressed with the way you think and approached this thread!!
Most awesome comment I have read today !!! Ever...
Bitter truth.. But truth must be said!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…