Hallelujah huo mdomo uwe wa heri na mie hatimaye na mm nitembee na gariIle Prado ulihonga au
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Raha na karaha ya ngoma ni kuingia kucheza, Raha na karaha ya ndoa ni kuingia kwenye ndoa...
Ukitaka kujua karaha za kumiliki gari basi miliki gari kwanza. Wenye magari hawawezi kukwambia ukweli wa hizo karaha kwa sababu umiliki wao wa gari ndio umetengeneza status zao kwenye jamii, hivyo watajitahidi kuonyesha kuwa ni watu wenye furaha ili kulinda status. Ni sawa sawa na ndoa. Wanandoa nao wana hiyo tabia.
Ulishawahi kuwaza haya...
1/Motor vehicle insurance.
2/Kodi ya mapato.
3/Bei za Diseal na Petrol.
4/Car Parking fee.
5/Bei za kuoshewa gari.
6/Mafundi Garage.
7/Faini za barabarani.
8/Bei za oil, Filter, Plug.
9/Kuziba pancha.
10/Kusukuma gari.
Miliki gari yako ndio utayajua hayo na utajua gharama zake zikoje na kwa vipi zinaathiri maisha ya mtu ya kila siku.
Sizitaki mbichi hiziMm ndoto ni Nyumba sio gar nataka niitwe baba mwenye nyumba sio baba mwenye gari
Jirani ile Harrier yako ya silver unayokujaga nayo umeshaiuzaa...!?Huku Jf kila mtu ako na gari Mkuu isipokuwa mie, wengine meli wengine wameagiza bombadia tayari...
Wakati wa bwana ukifika tutanunua mwaya kama kuna wenzangu humu?!!
poleMkuu hatimaye na sisi tuna thread yetu tupo wengi ujue nikifikilia kupanda mwendo kasi jamani na huku kwetu zinavyojaza
Ile ni basi bhanaLile gari lako unaloendesha huku umepiga selfie liko wapi kwani
hahaha [emoji23][emoji28] naomba lift chief...Mi gari la kuadithia jf ninalo kichwani ila uku mtaani Sina nakuwaga nalo nyuma ya keyboard
Hebu tuachie uzi wetu bhanaHallelujah huo mdomo uwe wa heri na mie hatimaye na mm nitembee na gari
HahaJirani ile Harrier yako ya silver unayokujaga nayo umeshaiuazaa...!?
Mkuu unamaanisha hata yule Dr angeenda na gari pale angeondoka na mmoja ya wale waliokuwa wanampepea?Kama Huna gari madem wazur mtaishia kuwaona kwenye TV tu
nyie mtaitwa kesho....leo sisi tusio na magariWenye pikipiki na baiskeli tunakaa wapi
na mm nimemuuliza hapo...aseme tuLile gari lako unaloendesha huku umepiga selfie liko wapi kwani
Amina [emoji4][emoji4]Ngoja nimalizie kujenga ndiyo nitakuja kwenye magari.
Jamani tusikate tamaa ipo siku tutapata magari yetu.
Vyuma vikikaza nasi tunakaza mwendo ili tuendane na speed.
Mwisho tutatusua tu.
Mungu tusaidie
wacha bwanaa [emoji1][emoji1]Kama Huna gari madem wazur mtaishia kuwaona kwenye TV tu
ndio wewe wewee...Haha
Jirani angalia vizuri mie ni sakayo ujue
AhahhaahaSawa Dr.Luis naona umehamia huku tajiri