Tusio na magari tukutane hapa

Ngoja nimalizie kujenga ndiyo nitakuja kwenye magari.
Jamani tusikate tamaa ipo siku tutapata magari yetu.

Vyuma vikikaza nasi tunakaza mwendo ili tuendane na speed.
Mwisho tutatusua tu.
Mungu tusaidie
 
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
kwa mwanamke kumiliki gari ni gharama vinginevyo yakupasa uwe na
1. mkoba au hand bag ya maana
2. mavazi yalokwenda shule
3. uwe na reserve ya kutosha ya saloon
4. nk
i.e namaanisha kumiliki gari kunataka uwe na hadhi. usikurupuke, vinginevyo kama ww ni mfanyakazi litaishia kutembea mwisho wa mwezi hadi mwisho mwingine wa mwezi. Pia usinunue gari kwa kukurupuka au kwa sababu marafiki zako wanayo, Nunua kwa sababu unaona una ulazima wa kuwa nalo. Hata hivyo haya ni mawazo yangu kwani kila mmoja ana mtizamo wake.
 
Ngoja nimalizie kujenga ndiyo nitakuja kwenye magari.
Jamani tusikate tamaa ipo siku tutapata magari yetu.

Vyuma vikikaza nasi tunakaza mwendo ili tuendane na speed.
Mwisho tutatusua tu.
Mungu tusaidie
Amina [emoji4][emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…