mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,570
Tupo kibao mkuuHapa JF nadhani ni mimi na wewe tu ambao hatuna magari.
Ahahahahha unaondokaje sasaHaha
Naona umenichoka, ngoja niondoke mie
He he nitakuwa mbeba pochi wako ahahhahaSawa
Najua one day yes!!!! Utanibebea funguo ujue
Ebu nipe ruti ya kwenda escape one from mwenge nimealikwa sikukuu ya kuzaliwa ila hata sijawahi kufika huko, napanda gari za wapi maana naskia iko mikocheni , alafu kuna kiingilio? Kama kipo siendi sina ela mm
Basi sawakatusubiri kwenye Harrier yako tunakujaa...[emoji1][emoji1]
Ndo uote sasaSitaki ndio unanilazimishaje vitu ambavyo sijawahi hata kuviota kuwa navyo
Mpaka nije nilizoee sijui ni mwakaAhahhahah kipya kinyemi unahisi sijui nitaibiwa [emoji1][emoji1]
Kama ifuatavyo[emoji124] [emoji124] [emoji124]Ahahahahha unaondokaje sasa
Halafu unatangulia mbeleHe he nitakuwa mbeba pochi wako ahahhaha
Huyo haendi si umeona alivyosemaNjia rais apo nadhani chukua bajaji pasua njia y coca cola kule utatokezeamo huko escape 1, ila andaa 3000 kwenda, 10000 kuingia na yakutumia 50,000 itapendeza zaid
AmeenNdo uote sasa
Hahah mi naulizia tu sio kwamba na mie nko kundini.Tumejaa
Nilijua niko pekeangu
Na mimiHapa JF nadhani ni mimi na wewe tu ambao hatuna magari.
[emoji1][emoji1][emoji1] mbeba pochi anakaa nyuma ujue huku ameshika funguo za gariHalafu unatangulia mbele
Jamaan hutaniwi [emoji134]♀️Kama ifuatavyo[emoji124] [emoji124] [emoji124]