Tusio na magari tukutane hapa

Tusio na magari tukutane hapa

Chifyono

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
921
Reaction score
1,659
Wale wote tusio na magari ya kutembelea hapa mjini na mikoani tukutane hapa!

Tuelezane changamoto na faida tuzipatazo tunapotumia public transport hususani daladala

Kwangu mimi kero ni kujazana kwenye basi kama ngombe zizini pia kugombania chansi hasa mida ya jioni na asubuhi kwa wakazi wa gomz, mbagala, mbezi mwisho hii wanaielewa vizuri
lakini pia dharau hapa mjini kwa sisi tusio na gari zimezidi, watoto wengi wa kishua tunawasikia tu



Faida niipatayo ni kukutana na totoz za maana kwenye gari yaani full changanyiko
Pia gharama ndogo hata huwa sioni haja ya kupanda bajaji au bodaboda

Karibuni
 
Ebu nipe ruti ya kwenda escape one from mwenge nimealikwa sikukuu ya kuzaliwa ila hata sijawahi kufika huko, napanda gari za wapi maana naskia iko mikocheni , alafu kuna kiingilio? Kama kipo siendi sina ela mm
 
Ebu nipe ruti ya kwenda escape one from mwenge nimealikwa sikukuu ya kuzaliwa ila hata sijawahi kufika huko, napanda gari za wapi maana naskia iko mikocheni , alafu kuna kiingilio? Kama kipo siendi sina ela mm
Sema naomba nikupe route ya kwenda huko!

Ujasema pia uko wapi ili uelekezwe vzuri
 
Wale wote tusio na magari ya kutembelea hapa mjini na mikoani tukutane hapa!

Tuelezane changamoto na faida tuzipatazo tunapotumia public transport hususani daladala

Kwangu mimi kero ni kujazana kwenye basi kama ngombe zizini pia kugombania chansi hasa mida ya jioni na asubuhi kwa wakazi wa gomz, mbagala, mbezi mwisho hii wanaielewa vizuri
lakini pia dharau hapa mjini kwa sisi tusio na gari zimezidi, watoto wengi wa kishua tunawasikia tu



Faida niipatayo ni kukutana na totoz za maana kwenye gari yaani full changanyiko
Pia gharama ndogo hata huwa sioni haja ya kupanda bajaji au bodaboda

Karibuni
Cheza tatu MZUKA ULAMBE DUME..MIMI Nishajikomboa.
 
Huu uzi na wa wenye gari au
Naomba kuulizia naweza pata sportreem za rav4 ya gari ya hiusegirl wangu? Ananisumbu kweli wakuu mwenye nazo mpya lakini
Umepotea
Jaribunu jukwaa linalofuata
 
Back
Top Bottom