Wale wote tusio na magari ya kutembelea hapa mjini na mikoani tukutane hapa!
Tuelezane changamoto na faida tuzipatazo tunapotumia public transport hususani daladala
Kwangu mimi kero ni kujazana kwenye basi kama ngombe zizini pia kugombania chansi hasa mida ya jioni na asubuhi kwa wakazi wa gomz, mbagala, mbezi mwisho hii wanaielewa vizuri
lakini pia dharau hapa mjini kwa sisi tusio na gari zimezidi, watoto wengi wa kishua tunawasikia tu
Faida niipatayo ni kukutana na totoz za maana kwenye gari yaani full changanyiko
Pia gharama ndogo hata huwa sioni haja ya kupanda bajaji au bodaboda
Karibuni
Tuelezane changamoto na faida tuzipatazo tunapotumia public transport hususani daladala
Kwangu mimi kero ni kujazana kwenye basi kama ngombe zizini pia kugombania chansi hasa mida ya jioni na asubuhi kwa wakazi wa gomz, mbagala, mbezi mwisho hii wanaielewa vizuri
lakini pia dharau hapa mjini kwa sisi tusio na gari zimezidi, watoto wengi wa kishua tunawasikia tu
Faida niipatayo ni kukutana na totoz za maana kwenye gari yaani full changanyiko
Pia gharama ndogo hata huwa sioni haja ya kupanda bajaji au bodaboda
Karibuni