Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #161
ruksa kabisa, ila uelewe uki shindwa mjadala. Chama kina kutazama kwa makini.Ngoja kwanza niitishe maandamano. Katiba inasemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ruksa kabisa, ila uelewe uki shindwa mjadala. Chama kina kutazama kwa makini.Ngoja kwanza niitishe maandamano. Katiba inasemaje
Roho mbaya turuksa kabisa, ila uelewe uki shindwa mjadala. Chama kina kutazama kwa makini.
Bro, kuwa raisi wa ma jobless pro max sio mchezoRoho mbaya tu
Fisi wapo ontime sana hakuna muda wa kupoteza sheli na garage.Mimi kwangu goma liko between,Sina gari ila namiliki fisi kama Half american ,mkuu.
Basi acha niwe Rais wa Majobless Mini versionBro, kuwa raisi wa ma jobless pro max sio mchezo
😂 fala sana we jamaa
bro cheo hujipi tu, lazima tuangalie na level ya u jobless wako .Basi acha niwe Rais wa Majobless Mini version
Dah kama hadi unajidoubt 😂😅bro cheo hujipi tu, lazima tuangalie na level ya u jobless wako .
Kuna watu ni ma jobless, hadi raisi nawaza au mimi naigiza😂
Mtu ana kula nusu mlo kwa siku, mixer miluzi mingi.Dah kama hadi unajidoubt 😂😅
Lazima nikununulie, toa Shaka kabisa kumoyo.🤣🤣🤣 naomba uninunulie VIEITEE
Mkuu wewe ni chama Cha ma jobless pro max??
Kwani kutokua na gari ni umaskini?UMASIKINI SIO SIFA WALA SIO KITU CHA KUJIVUNIA
vijana Wana kariri, hawa jui binadamu Wana todautiana vipaumbele na mitazamo.Kwani kutokua na gari ni umaskini?
siku waki kasirika, wata kugeuza mboga 😂😂Fisi wapo ontime sana hakuna muda wa kupoteza sheli na garage.
Chombo si bakuli 😂Mkutane hapa kufanya nini? Sambaeni hapa mara moja mwisho tupite hapa na vyombo vyetu vya usafiri muanze kutuita mkuu, kiongozi!