Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Waziri mkuu nipo hapa kikubwa uhai tuheshimiane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro Nita kuhadithia nilivyo yatimba, ila I had an accident Ika niweka nje kwa muda.Safi kabisa kwa kuendelea salama
Demu? Kumbe bado uko kwa umri wa kumiliki "demu"
bali Wana mshukuru, aliye juu by mwana fa.Unalalamika huna viatu wakati kuna ambao hawana miguu na hawalalamiki.
We mbona wa kishua sana, siku uki muona makamu wa raisi una weza hama chama😆😂Waziri mkuu nipo hapa kikubwa uhai tuheshimiane
Watu mna vibunda vya kutosha, Mnatuchora tu mbuzi nyie
Ooh! Pole sana na samahani kwa kukutania ikiwa sifahamu ulikuwa na changamoto gani, Tunafurahi uko salama .Bro Nita kuhadithia nilivyo yatimba, ila I had an accident Ika niweka nje kwa muda.
mkuu nyie ndo mna fanya server za jf zina corrupt .Weweeee kwani jf nzima wote si tuna magari au mambo yamebadilika?
Dah kweli Dunia siyo ya mzungu, Leo na wewe ume jielezea😆🤣Ooh! Pole sana na samahani kwa kukutania ikiwa sifahamu ulikuwa na changamoto gani, Tunafurahi uko salama .
Sasa michongo kwenye chama Cha ma jobless, Ina toka wapi??Kama hakuna michongo,acha tuendelee kujifanya tuna magari
Kawaida kijana,Dah kweli Dunia siyo ya mzungu, Leo na wewe ume jielezea😆🤣
Karibu ewe jobless, raisi wako nime kupokea .Nimefika.
Kikubwa uhai.
Karibu ewe jobless, raisi wako nime kupokea .Nimefika.
Kikubwa uhai.
Halafu ulikuwa wapi mwanaaa...umepotea sanamkuu nyie ndo mna fanya server za jf zina corrupt .
Maana since day one nili kuwa jobless, ila kwa Sasa nime panda cheo niite jobless pro max 😂
Matusi haya, hayo magari mi naya onea wapi??.Kawaida kijana,
Huko hamna ka gari ka dollar hata 10 na mimi nimiliki?
majukumu yali kuwa mengi, lakini pia nili pata ajali.Halafu ulikuwa wapi mwanaaa...umepotea sana
Umeanza!!!!Matusi haya, hayo magari mi naya onea wapi??.
nipo nzila kende village, huku naona fisi tu 😆