Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nipo kwenye process soon mzigo utakuwa teyaliChapisha t shirt ya jobless pro max 😂
naam ma jobless pro max lazima wapendeze😂O
Mkuu nipo kwenye process soon mzigo utakuwa teyali
Uhai muhimuKikubwa uhai
Kadi yako namba ngapi ewe mwanachama mpya 🤔bora tukutane matajiri watuone watuajiri
Sio nusu Sasa hivi ni robo 3 😆😂Tembea kifua mbere mkuu.. hicho unachomiliki zaidi ya nusu ya binadamu wote duniani hawana 😀
Hata kadi sina yaani n kiwango cha mwsho hukooooKadi yako namba ngapi ewe mwanachama mpya 🤔
Chai, mc laren hakuna zero kilometer mzee.Ngoja nipaki gari yangu Maclaren rangi nyekundu niliyoagiza 0 kilometre kutoka USA na sikutaka ipande meli imepanda ndege Antonov ikiwa peke yake rubani mwenyewe alishangaa ila nikamwambia tulia pesa ipo ni vitu vidogo hivyo
Kiwango Cha mwisho ni raisi wa ma jobless Mimi😂😂Hata kadi sina yaani n kiwango cha mwsho hukoooo
Makamu hapa😂Kiwango Cha mwisho ni raisi wa ma jobless Mimi😂😂
We unajua nimeinunua mwaka gani?Chai, mc laren hakuna zero kilometer mzee.
Last manufacture ili kuwa 2015, sijui pi model
Wewe una angalau, makamu uki muona lazima uzimie😂😂Makamu hapa😂
Asante kunibariki naona hutaki niwe jobless 🤣🤣Wewe una angalau, makamu uki muona lazima uzimie😂😂
U jobless ni kipaji ambacho, uki kipata lazima uji shangae😂😂Asante kunibariki naona hutaki niwe jobless 🤣🤣
Basi nimejitoa🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️U jobless ni kipaji ambacho, uki kipata lazima uji shangae😂😂