Sasa si ataua mtoto kwa kum overdoseAcha visingizio simama kama Baba wewe
Ila vilaza wana raha yake unamdanganya vitu vingine macho makavu kabisaSijaoa tu kilaza, hata kama angekuwa hajui kusoma kabisa wala sio kesi.
Kuna vitu vinafanyika, ukishamjua inakuwa ni sehemu ya utani..
Kama hivyo hapo unamtania nisomee, anakujibu, "mwenzangu we kusoma nimejuliia wapi, ngoja niikutumie watsap 😂"
Ndio mapenzi hayo.
Mimi dereva wa malori muda mwingi niko road mkuuAcha visingizio simama kama Baba wewe
Bibi zetu hawakusoma ila haimaanishi walikuwa vilaxa ,uko sahihiSayansi huwa inakataa kabisa kwamba mtoto huwa anachukua akili nyingi kwa mama ila hili binafsi nalikubali. Mwanaume anachangia kiasi kidogo cha akili ya mtoto, mke kilaza huleta watoto vilaza.
Ila tujue tofauti ya kilaza na ambaye hakwenda shule
Kwangu Hapana,HV intelligence Ni Hereditary trait ?
Ndio hilo halina ubishiHV intelligence Ni Hereditary trait ?